SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

Kujiunga kwa Jedwali (Joining Tables) katika Database

1. Maana ya Kujiunga kwa Jedwali (Join Tables)

Kujiunga kwa jedwali ni mchakato wa kuunganisha data kutoka kwenye jedwali (table) mbili au zaidi kwa kutumia uhusiano uliopo kati ya kolamu zao. Mara nyingi tunajiunga kwa jedwali ili kuchota taarifa ambazo zinahusiana lakini zimetunzwa kwenye jedwali tofauti.

 

2. Kwa Nini Tunajiunga kwa Jedwali?

 

3. Faida za Kujiunga kwa Jedwali

 

4. Aina za Kujiunga kwa Jedwali

 

#NB: Katika  sql tunatumia alama ya dot ( . ) ili ku refer table ama database husika. Mfano  kama table ni duka na ina field kama id, na name , halafu tuna table nyingine bidhaa ina field kama id na name, sasa nikitaka kutumia name kutoka kwenye table duka nitasema duka.name na kama ni name kutoka kwneye table ya bidhaa nitasema bidhaa.name. Hivyo mtindo huu tutakwenda kuutumia zaidi kwneye mifano. Pia katika kuunganisha table tunatumia keyword JOIN ON

 


 

Mfano wa  Jedwali la Bidhaa, Wateja, na Duka

Katika somo hili tutakwenda kuunganisha table 3 ili kuweza kufanyia mazoezi namna za kuunganisha table. Table ya duka hii itatunza taarifa za maduka yetu. Chukulia kuwa mtu anawez akuwa na maduka zaidi ya moja, na kila duka likawa na bidhaa ambazo huwenda zisipatikane katika duka lingine.

 

Table ya pili ni bidhaa, hii itatunza taarifa za bidhaa kama jina la bidhaa pamoja na kuonyesha duka ambalo lina bidhaa iyo. Tutafanya hivi kw akuweka id ya duka hilo.Table ya tatu itatunza taarifa za wateja. Hapa unaweza kuongeza kioengele cha bidhaa walizonunua. Fanya hivi kwa mazoezi zaidi.

5. Muundo wa Jedwali

 

-- Jedwali: duka

CREATE TABLE duka (

    duka_id INT PRIMARY KEY,

    jina_duka VARCHAR(50) NOT NULL,

    eneo VARCHAR(50) NOT NULL

);

 

-- Jedwali: bidhaa

CREATE TABLE bidhaa (

    bidhaa_id INT PRIMARY KEY,

    jina_bidhaa VARCHAR(50) NOT NULL,

    bei DECIMAL(10, 2) NOT NULL,

    duka_id INT,

    FOREIGN KEY (duka_id) REFERENCES duka(duka_id)

);

 

-- Jedwali: wateja

CREATE TABLE wateja (

    mteja_id INT PRIMARY KEY,

    jina_mteja VARCHAR(50) NOT NULL,

    simu VARCHAR(15) NOT NULL

);

 



Sasa kopi code zifuatazo ili kuweka data kwneye table hizo tatu tulizozitengeneza.

INSERT INTO duka (duka_id, jina_duka, eneo) VALUES

(101, 'Duka la Simu', 'Dar es Salaam'),

(102, 'Duka la Kompyuta', 'Arusha'),

(103, 'Duka la Friji', 'Dodoma'),

(104, 'Duka la TV', 'Mwanza'),

(105, 'Duka la Saa', 'Mbeya');



INSERT INTO bidhaa (bidhaa_id, jina_bidhaa, bei, duka_id) VALUES

(1, 'Simu Samsung', 150000.00, 101),

(2, 'Kompyuta Dell', 250000.00, 102),

(3, 'Friji LG', 300000.00, 103),

(4, 'TV Sony', 500000.00, 104),

(5, 'Saa Rolex', 700000.00, 105);



INSERT INTO wateja (mteja_id, jina_mteja, simu) VALUES

(1, 'Halima', '0722000011'),

(2, 'Juma', '0711000022'),">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 570

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 web hosting    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.

Soma Zaidi...
Database seomo la 21: Constraints kwenye Database

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

Soma Zaidi...
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja

Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database

Soma Zaidi...
Database somo la 23: View kwenye Database

Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.

Soma Zaidi...