Navigation Menu



image

SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

Kujiunga kwa Jedwali (Joining Tables) katika Database

1. Maana ya Kujiunga kwa Jedwali (Join Tables)

Kujiunga kwa jedwali ni mchakato wa kuunganisha data kutoka kwenye jedwali (table) mbili au zaidi kwa kutumia uhusiano uliopo kati ya kolamu zao. Mara nyingi tunajiunga kwa jedwali ili kuchota taarifa ambazo zinahusiana lakini zimetunzwa kwenye jedwali tofauti.

 

2. Kwa Nini Tunajiunga kwa Jedwali?

 

3. Faida za Kujiunga kwa Jedwali

 

4. Aina za Kujiunga kwa Jedwali

 

#NB: Katika  sql tunatumia alama ya dot ( . ) ili ku refer table ama database husika. Mfano  kama table ni duka na ina field kama id, na name , halafu tuna table nyingine bidhaa ina field kama id na name, sasa nikitaka kutumia name kutoka kwenye table duka nitasema duka.name na kama ni name kutoka kwneye table ya bidhaa nitasema bidhaa.name. Hivyo mtindo huu tutakwenda kuutumia zaidi kwneye mifano. Pia katika kuunganisha table tunatumia keyword JOIN ON

 


 

Mfano wa  Jedwali la Bidhaa, Wateja, na Duka

Katika somo hili tutakwenda kuunganisha table 3 ili kuweza kufanyia mazoezi namna za kuunganisha table. Table ya duka hii itatunza taarifa za maduka yetu. Chukulia kuwa mtu anawez akuwa na maduka zaidi ya moja, na kila duka likawa na bidhaa ambazo huwenda zisipatikane katika duka lingine.

 

Table ya pili ni bidhaa, hii itatunza taarifa za bidhaa kama jina la bidhaa pamoja na kuonyesha duka ambalo lina bidhaa iyo. Tutafanya hivi kw akuweka id ya duka hilo.Table ya tatu itatunza taarifa za wateja. Hapa unaweza kuongeza kioengele cha bidhaa walizonunua. Fanya hivi kwa mazoezi zaidi.

5. Muundo wa Jedwali

 

-- Jedwali: duka

CREATE TABLE duka (

    duka_id INT PRIMARY KEY,

    jina_duka VARCHAR(50) NOT NULL,

    eneo VARCHAR(50) NOT NULL

);

 

-- Jedwali: bidhaa

CREATE TABLE bidhaa (

    bidhaa_id INT PRIMARY KEY,

    jina_bidhaa VARCHAR(50) NOT NULL,

    bei DECIMAL(10, 2) NOT NULL,

    duka_id INT,

    FOREIGN KEY (duka_id) REFERENCES duka(duka_id)

);

 

-- Jedwali: wateja

CREATE TABLE wateja (

    mteja_id INT PRIMARY KEY,

    jina_mteja VARCHAR(50) NOT NULL,

    simu VARCHAR(15) NOT NULL

);

 



Sasa kopi code zifuatazo ili kuweka data kwneye table hizo tatu tulizozitengeneza.

INSERT INTO duka (duka_id, jina_duka, eneo) VALUES

(101, 'Duka la Simu', 'Dar es Salaam'),

(102, 'Duka la Kompyuta', 'Arusha'),

(103, 'Duka la Friji', 'Dodoma'),

(104, 'Duka la TV', 'Mwanza'),

(105, 'Duka la Saa', 'Mbeya');



INSERT INTO bidhaa (bidhaa_id, jina_bidhaa, bei, duka_id) VALUES

(1, 'Simu Samsung', 150000.00, 101),

(2, 'Kompyuta Dell', 250000.00, 102),

(3, 'Friji LG', 300000.00, 103),

(4, 'TV Sony', 500000.00, 104),

(5, 'Saa Rolex', 700000.00, 105);



INSERT INTO wateja (mteja_id, jina_mteja, simu) VALUES

(1, 'Halima', '0722000011'),

(2, 'Juma', '0711000022'),

(3, 'Mar">...



Nicheki WhatsApp kwa maswali





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-12-16 09:59:29 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 109


Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias Soma Zaidi...

SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database
Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code. Soma Zaidi...

Database somo la 23: View kwenye Database
Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view. Soma Zaidi...

Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana. Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 2: Maana ya database na ina za database na kazi zake
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake Soma Zaidi...

SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja
Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database Soma Zaidi...

SQL somo la 16: Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database
Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla. Soma Zaidi...

SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function Soma Zaidi...

SQL - MySQL somo la 1: Jinsi ya kutumia database
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database Soma Zaidi...