SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Kujiunga kwa Jedwali (Joining Tables) katika Database

1. Maana ya Kujiunga kwa Jedwali (Join Tables)

Kujiunga kwa jedwali ni mchakato wa kuunganisha data kutoka kwenye jedwali (table) mbili au zaidi kwa kutumia uhusiano uliopo kati ya kolamu zao. Mara nyingi tunajiunga kwa jedwali ili kuchota taarifa ambazo zinahusiana lakini zimetunzwa kwenye jedwali tofauti.

 

2. Kwa Nini Tunajiunga kwa Jedwali?

 

3. Faida za Kujiunga kwa Jedwali

 

4. Aina za Kujiunga kwa Jedwali

 

#NB: Katika  sql tunatumia alama ya dot ( . ) ili ku refer table ama database husika. Mfano  kama table ni duka na ina field kama id, na name , halafu tuna table nyingine bidhaa ina field kama id na name, sasa nikitaka kutumia name kutoka kwenye table duka nitasema duka.name na kama ni name kutoka kwneye table ya bidhaa nitasema bidhaa.name. Hivyo mtindo huu tutakwenda kuutumia zaidi kwneye mifano. Pia katika kuunganisha table tunatumia keyword JOIN ON

 


 

Mfano wa  Jedwali la Bidhaa, Wateja, na Duka

Katika somo hili tutakwenda kuunganisha table 3 ili kuweza kufanyia mazoezi namna za kuunganisha table. Table ya duka hii itatunza taarifa za maduka yetu. Chukulia kuwa mtu anawez akuwa na maduka zaidi ya moja, na kila duka likawa na bidhaa ambazo huwenda zisipatikane katika duka lingine.

 

Table ya pili ni bidhaa, hii itatunza taarifa za bidhaa kama jina la bidhaa pamoja na kuonyesha duka ambalo lina bidhaa iyo. Tutafanya hivi kw akuweka id ya duka hilo.Table ya tatu itatunza taarifa za wateja. Hapa unaweza kuongeza kioengele cha bidhaa walizonunua. Fanya hivi kwa mazoezi zaidi.

5. Muundo wa Jedwali

 

-- Jedwali: duka

CREATE TABLE duka (

    duka_id INT PRIMARY KEY,

    jina_duka VARCHAR(50) NOT NULL,

    eneo VARCHAR(50) NOT NULL

);

 

-- Jedwali: bidhaa

CREATE TABLE bidhaa (

    bidhaa_id INT PRIMARY KEY,

    jina_bidhaa VARCHAR(50) NOT NULL,

    bei DECIMAL(10, 2) NOT NULL,

    duka_id INT,

    FOREIGN KEY (duka_id) REFERENCES duka(duka_id)

);

 

-- Jedwali: wateja

CREATE TABLE wateja (

    mteja_id INT PRIMARY KEY,

    jina_mteja VARCHAR(50) NOT NULL,

    simu VARCHAR(15) NOT NULL

);

 



Sasa kopi code zifuatazo ili kuweka data kwneye table hizo tatu tulizozitengeneza.

INSERT INTO duka (duka_id, jina_duka, eneo) VALUES

(101, 'Duka la Simu', 'Dar es Salaam'),

(102, 'Duka la Kompyuta', 'Arusha'),

(103, 'Duka la Friji', 'Dodoma'),

(104, 'Duka la TV', 'Mwanza'),

(105, 'Duka la Saa', 'Mbeya');



INSERT INTO bidhaa (bidhaa_id, jina_bidhaa, bei, duka_id) VALUES

(1, 'Simu Samsung', 150000.00, 101),

(2, 'Kompyuta Dell', 250000.00, 102),

(3, 'Friji LG', 300000.00, 103),

(4, 'TV Sony', 500000.00, 104),

(5, 'Saa Rolex', 700000.00, 105);



INSERT INTO wateja (mteja_id, jina_mteja, simu) VALUES

(1, 'Halima', '0722000011'),

(2, 'Juma', '0711000022'),">...

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 301

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database
SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.

Soma Zaidi...
Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key
Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database
SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge

Soma Zaidi...
Database somo la 24: Transaction kwenye database
Database somo la 24: Transaction kwenye database

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database
SQL - MySQL somo la 12: Jinsi ya kutafuta wastani, jumla na idadi kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani

Soma Zaidi...
Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data
Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data

Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.

Soma Zaidi...
Database somo la 23: View kwenye Database
Database somo la 23: View kwenye Database

Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.

Soma Zaidi...
SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database
SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database

Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.

Soma Zaidi...
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql  function kwenye mysql
SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database

Soma Zaidi...