SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

Kujiunga kwa Jedwali (Joining Tables) katika Database

1. Maana ya Kujiunga kwa Jedwali (Join Tables)

Kujiunga kwa jedwali ni mchakato wa kuunganisha data kutoka kwenye jedwali (table) mbili au zaidi kwa kutumia uhusiano uliopo kati ya kolamu zao. Mara nyingi tunajiunga kwa jedwali ili kuchota taarifa ambazo zinahusiana lakini zimetunzwa kwenye jedwali tofauti.

 

2. Kwa Nini Tunajiunga kwa Jedwali?

 

3. Faida za Kujiunga kwa Jedwali

 

4. Aina za Kujiunga kwa Jedwali

 

#NB: Katika  sql tunatumia alama ya dot ( . ) ili ku refer table ama database husika. Mfano  kama table ni duka na ina field kama id, na name , halafu tuna table nyingine bidhaa ina field kama id na name, sasa nikitaka kutumia name kutoka kwenye table duka nitasema duka.name na kama ni name kutoka kwneye table ya bidhaa nitasema bidhaa.name. Hivyo mtindo huu tutakwenda kuutumia zaidi kwneye mifano. Pia katika kuunganisha table tunatumia keyword JOIN ON

 


 

Mfano wa  Jedwali la Bidhaa, Wateja, na Duka

Katika somo hili tutakwenda kuunganisha table 3 ili kuweza kufanyia mazoezi namna za kuunganisha table. Table ya duka hii itatunza taarifa za maduka yetu. Chukulia kuwa mtu anawez akuwa na maduka zaidi ya moja, na kila duka likawa na bidhaa ambazo huwenda zisipatikane katika duka lingine.

 

Table ya pili ni bidhaa, hii itatunza taarifa za bidhaa kama jina la bidhaa pamoja na kuonyesha duka ambalo lina bidhaa iyo. Tutafanya hivi kw akuweka id ya duka hilo.Table ya tatu itatunza taarifa za wateja. Hapa unaweza kuongeza kioengele cha bidhaa walizonunua. Fanya hivi kwa mazoezi zaidi.

5. Muundo wa Jedwali

 

-- Jedwali: duka

CREATE TABLE duka (

    duka_id INT PRIMARY KEY,

    jina_duka VARCHAR(50) NOT NULL,

    eneo VARCHAR(50) NOT NULL

);

 

-- Jedwali: bidhaa

CREATE TABLE bidhaa (

    bidhaa_id INT PRIMARY KEY,

    jina_bidhaa VARCHAR(50) NOT NULL,

    bei DECIMAL(10, 2) NOT NULL,

    duka_id INT,

    FOREIGN KEY (duka_id) REFERENCES duka(duka_id)

);

 

-- Jedwali: wateja

CREATE TABLE wateja (

    mteja_id INT PRIMARY KEY,

    jina_mteja VARCHAR(50) NOT NULL,

    simu VARCHAR(15) NOT NULL

);

 



Sasa kopi code zifuatazo ili kuweka data kwneye table hizo tatu tulizozitengeneza.

INSERT INTO duka (duka_id, jina_duka, eneo) VALUES

(101, 'Duka la Simu', 'Dar es Salaam'),

(102, 'Duka la Kompyuta', 'Arusha'),

(103, 'Duka la Friji', 'Dodoma'),

(104, 'Duka la TV', 'Mwanza'),

(105, 'Duka la Saa', 'Mbeya');



INSERT INTO bidhaa (bidhaa_id, jina_bidhaa, bei, duka_id) VALUES

(1, 'Simu Samsung', 150000.00, 101),

(2, 'Kompyuta Dell', 250000.00, 102),

(3, 'Friji LG', 300000.00, 103),

(4, 'TV Sony', 500000.00, 104),

(5, 'Saa Rolex', 700000.00, 105);



INSERT INTO wateja (mteja_id, jina_mteja, simu) VALUES

(1, 'Halima', '0722000011'),

(2, 'Juma', '0711000022'),">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Database Main: ICT File: Download PDF Views 489

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Database somo la 23: View kwenye Database

Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.

Soma Zaidi...
Database somo la 24: Transaction kwenye database

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database

Soma Zaidi...
Database somo la 25: Utangulizi wa Database ya sqlite

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge

Soma Zaidi...
SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql

Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql

Soma Zaidi...
Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data

Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 11: Kudhibiti muonekano wa usomaji wa data kwenye database.

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.

Soma Zaidi...