Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database
Constraints ni sheria au vikwazo vinavyowekwa kwenye safu (columns) za jedwali katika database ili kuhakikisha kuwa data inayoingizwa ni halali, sahihi, na thabiti. Constraints husaidia kudhibiti aina, muundo, na mahusiano ya data kati ya jedwali tofauti.
MySQL inatoa aina mbalimbali za constraints, kila moja ikiwa na kazi maalum:
Mfano wa Primary Key:
CREATE TABLE Wanafunzi (
mwanafunzi_id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(50),
darasa VARCHAR(10)
);
ON DELETE CASCADE
au ON DELETE SET NULL
.Mfano wa Foreign Key:
CREATE TABLE Madarasa (
darasa_id INT PRIMARY KEY,
jina_la_darasa VARCHAR(20)
);
CREATE TABLE Wanafunzi (
mwanafunzi_id INT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(50),
darasa_id INT,
FOREIGN KEY (darasa_id) REFERENCES Madarasa(darasa_id)
ON DELETE CASCADE
);
Mfano wa UNIQUE:
CREATE TABLE Walimu (
mwalimu_id INT PRIMARY KEY,
barua_pepe VARCHAR(100) UNIQUE
);
Mfano wa NOT NULL:
CREATE TABLE Bidhaa (
bidhaa_id INT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(50) NOT NULL,
bei DECIMAL(10, 2)
);
CHECK
, inafanya kazi katika matoleo ya MySQL 8.0 na kuendelea.Mfano wa CHECK:
CREATE TABLE Wafanyakazi (
mfanyakazi_id INT PRIMARY KEY,
umri INT CHECK (umri >= 18)
);
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa data kutoka kwenye database, kwa kudhibiti mpangilio wake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database
Soma Zaidi...