picha

Database seomo la 21: Constraints kwenye Database

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

Constraints kwenye Database

1. Maana ya Constraints

Constraints ni sheria au vikwazo vinavyowekwa kwenye safu (columns) za jedwali katika database ili kuhakikisha kuwa data inayoingizwa ni halali, sahihi, na thabiti. Constraints husaidia kudhibiti aina, muundo, na mahusiano ya data kati ya jedwali tofauti.


2. Aina za Constraints

MySQL inatoa aina mbalimbali za constraints, kila moja ikiwa na kazi maalum:

a) PRIMARY KEY

Mfano wa Primary Key:

CREATE TABLE Wanafunzi (
    mwanafunzi_id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
    jina VARCHAR(50),
    darasa VARCHAR(10)
);

b) FOREIGN KEY

Mfano wa Foreign Key:

CREATE TABLE Madarasa (
    darasa_id INT PRIMARY KEY,
    jina_la_darasa VARCHAR(20)
);

CREATE TABLE Wanafunzi (
    mwanafunzi_id INT PRIMARY KEY,
    jina VARCHAR(50),
    darasa_id INT,
    FOREIGN KEY (darasa_id) REFERENCES Madarasa(darasa_id)
    ON DELETE CASCADE
);

c) UNIQUE

Mfano wa UNIQUE:

CREATE TABLE Walimu (
    mwalimu_id INT PRIMARY KEY,
    barua_pepe VARCHAR(100) UNIQUE
);

d) NOT NULL

Mfano wa NOT NULL:

CREATE TABLE Bidhaa (
    bidhaa_id INT PRIMARY KEY,
    jina VARCHAR(50) NOT NULL,
    bei DECIMAL(10, 2)
);

e) CHECK

Mfano wa CHECK:

CREATE TABLE Wafanyakazi (
    mfanyakazi_id INT PRIMARY KEY,
    umri INT CHECK (umri >= 18)
);

f) DEFAULT

Mfano wa DEFAULT:

C...
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-22 21:26:15 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF Views 739

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 web hosting     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.

Soma Zaidi...
SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql

Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja

Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge

Soma Zaidi...
SQL somo la 20: Jinsi ya kuunganisha table kwneye database

Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.

Soma Zaidi...
SQL - somo la 13: Jinsi ya kutumia CASE kwenye SQL

katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo

Soma Zaidi...