picha

Database seomo la 21: Constraints kwenye Database

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

Constraints kwenye Database

1. Maana ya Constraints

Constraints ni sheria au vikwazo vinavyowekwa kwenye safu (columns) za jedwali katika database ili kuhakikisha kuwa data inayoingizwa ni halali, sahihi, na thabiti. Constraints husaidia kudhibiti aina, muundo, na mahusiano ya data kati ya jedwali tofauti.


2. Aina za Constraints

MySQL inatoa aina mbalimbali za constraints, kila moja ikiwa na kazi maalum:

a) PRIMARY KEY

Mfano wa Primary Key:

CREATE TABLE Wanafunzi (
    mwanafunzi_id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
    jina VARCHAR(50),
    darasa VARCHAR(10)
);

b) FOREIGN KEY

Mfano wa Foreign Key:

CREATE TABLE Madarasa (
    darasa_id INT PRIMARY KEY,
    jina_la_darasa VARCHAR(20)
);

CREATE TABLE Wanafunzi (
    mwanafunzi_id INT PRIMARY KEY,
    jina VARCHAR(50),
    darasa_id INT,
    FOREIGN KEY (darasa_id) REFERENCES Madarasa(darasa_id)
    ON DELETE CASCADE
);

c) UNIQUE

Mfano wa UNIQUE:

CREATE TABLE Walimu (
    mwalimu_id INT PRIMARY KEY,
    barua_pepe VARCHAR(100) UNIQUE
);

d) NOT NULL

Mfano wa NOT NULL:

CREATE TABLE Bidhaa (
    bidhaa_id INT PRIMARY KEY,
    jina VARCHAR(50) NOT NULL,
    bei DECIMAL(10, 2)
);

e) CHECK

Mfano wa CHECK:

CREATE TABLE Wafanyakazi (
    mfanyakazi_id INT PRIMARY KEY,
    umri INT CHECK (umri >= 18)
);

f) DEFAULT

Mfano wa DEFAULT:

C...
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-22 21:26:15 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF Views 717

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 ai web app     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data

Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 3: Jinsi ya kutengeneza database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 9: Jinsi ya kusoma data kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 8: Jinsi ya kuweka data (taarifa) kwenye database

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database

Soma Zaidi...