Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database
Constraints ni sheria au vikwazo vinavyowekwa kwenye safu (columns) za jedwali katika database ili kuhakikisha kuwa data inayoingizwa ni halali, sahihi, na thabiti. Constraints husaidia kudhibiti aina, muundo, na mahusiano ya data kati ya jedwali tofauti.
MySQL inatoa aina mbalimbali za constraints, kila moja ikiwa na kazi maalum:
Mfano wa Primary Key:
CREATE TABLE Wanafunzi (
mwanafunzi_id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(50),
darasa VARCHAR(10)
);
ON DELETE CASCADE
au ON DELETE SET NULL
.Mfano wa Foreign Key:
CREATE TABLE Madarasa (
darasa_id INT PRIMARY KEY,
jina_la_darasa VARCHAR(20)
);
CREATE TABLE Wanafunzi (
mwanafunzi_id INT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(50),
darasa_id INT,
FOREIGN KEY (darasa_id) REFERENCES Madarasa(darasa_id)
ON DELETE CASCADE
);
Mfano wa UNIQUE:
CREATE TABLE Walimu (
mwalimu_id INT PRIMARY KEY,
barua_pepe VARCHAR(100) UNIQUE
);
Mfano wa NOT NULL:
CREATE TABLE Bidhaa (
bidhaa_id INT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(50) NOT NULL,
bei DECIMAL(10, 2)
);
CHECK
, inafanya kazi katika matoleo ya MySQL 8.0 na kuendelea.Mfano wa CHECK:
CREATE TABLE Wafanyakazi (
mfanyakazi_id INT PRIMARY KEY,
umri INT CHECK (umri >= 18)
);
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za database, lugha ya sql pamoja kuzijuwa kazi zake
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandaa kompyuta ama simu yako kwa ajili ya mafunzo ya database
Soma Zaidi...Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya mahesabu mbalimbali kwenye database. Kwa mfano kutafuta jumla, idadi na wastani
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database. Pia utajifunza jinsi ya ku limit kiasi cha data ambazo zitaonekana.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.
Soma Zaidi...