picha

Database seomo la 21: Constraints kwenye Database

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

Constraints kwenye Database

1. Maana ya Constraints

Constraints ni sheria au vikwazo vinavyowekwa kwenye safu (columns) za jedwali katika database ili kuhakikisha kuwa data inayoingizwa ni halali, sahihi, na thabiti. Constraints husaidia kudhibiti aina, muundo, na mahusiano ya data kati ya jedwali tofauti.


2. Aina za Constraints

MySQL inatoa aina mbalimbali za constraints, kila moja ikiwa na kazi maalum:

a) PRIMARY KEY

Mfano wa Primary Key:

CREATE TABLE Wanafunzi (
    mwanafunzi_id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
    jina VARCHAR(50),
    darasa VARCHAR(10)
);

b) FOREIGN KEY

Mfano wa Foreign Key:

CREATE TABLE Madarasa (
    darasa_id INT PRIMARY KEY,
    jina_la_darasa VARCHAR(20)
);

CREATE TABLE Wanafunzi (
    mwanafunzi_id INT PRIMARY KEY,
    jina VARCHAR(50),
    darasa_id INT,
    FOREIGN KEY (darasa_id) REFERENCES Madarasa(darasa_id)
    ON DELETE CASCADE
);

c) UNIQUE

Mfano wa UNIQUE:

CREATE TABLE Walimu (
    mwalimu_id INT PRIMARY KEY,
    barua_pepe VARCHAR(100) UNIQUE
);

d) NOT NULL

Mfano wa NOT NULL:

CREATE TABLE Bidhaa (
    bidhaa_id INT PRIMARY KEY,
    jina VARCHAR(50) NOT NULL,
    bei DECIMAL(10, 2)
);

e) CHECK

Mfano wa CHECK:

CREATE TABLE Wafanyakazi (
    mfanyakazi_id INT PRIMARY KEY,
    umri INT CHECK (umri >= 18)
);

f) DEFAULT

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-22 21:26:15 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF Views 614

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

SQL - MySQL somo la 7: Jinsi ya kubadili jina table na column kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili jina la table na jina la column kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
Database somo la 22: Primary Key na Foreign Key

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key

Soma Zaidi...
SQL somo la 19: Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function

Soma Zaidi...
SQL somo la 17: Jinsi ya kutengeneza variable kwenye mysql

Katika somo ili utakwend akujifunza jinsi ya kuweza kutengeneza variable kwenye database ya mysql

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 10: Kupangilia muonekano wa data wakati wa kuzisoma kwenyed database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.

Soma Zaidi...
Database somo la 24: Transaction kwenye database

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database

Soma Zaidi...