Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database
Constraints ni sheria au vikwazo vinavyowekwa kwenye safu (columns) za jedwali katika database ili kuhakikisha kuwa data inayoingizwa ni halali, sahihi, na thabiti. Constraints husaidia kudhibiti aina, muundo, na mahusiano ya data kati ya jedwali tofauti.
MySQL inatoa aina mbalimbali za constraints, kila moja ikiwa na kazi maalum:
Mfano wa Primary Key:
CREATE TABLE Wanafunzi (
mwanafunzi_id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(50),
darasa VARCHAR(10)
);
ON DELETE CASCADE
au ON DELETE SET NULL
.Mfano wa Foreign Key:
CREATE TABLE Madarasa (
darasa_id INT PRIMARY KEY,
jina_la_darasa VARCHAR(20)
);
CREATE TABLE Wanafunzi (
mwanafunzi_id INT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(50),
darasa_id INT,
FOREIGN KEY (darasa_id) REFERENCES Madarasa(darasa_id)
ON DELETE CASCADE
);
Mfano wa UNIQUE:
CREATE TABLE Walimu (
mwalimu_id INT PRIMARY KEY,
barua_pepe VARCHAR(100) UNIQUE
);
Mfano wa NOT NULL:
CREATE TABLE Bidhaa (
bidhaa_id INT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(50) NOT NULL,
bei DECIMAL(10, 2)
);
CHECK
, inafanya kazi katika matoleo ya MySQL 8.0 na kuendelea.Mfano wa CHECK:
CREATE TABLE Wafanyakazi (
mfanyakazi_id INT PRIMARY KEY,
umri INT CHECK (umri >= 18)
);
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database katika mitindo mbalimbali kama kutoka kubwa kwenda ndogo, ama ndogo kwenda kubwa na mingineyo.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias
Soma Zaidi...katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.
Soma Zaidi...Somo hili ni muendelezo wa pale tulipoishia katika somo lililopita, hapa tutakwenda kusoma Stored Procedure katika MySQL na Tofauti na Function
Soma Zaidi...Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge
Soma Zaidi...