picha

Database seomo la 21: Constraints kwenye Database

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

Constraints kwenye Database

1. Maana ya Constraints

Constraints ni sheria au vikwazo vinavyowekwa kwenye safu (columns) za jedwali katika database ili kuhakikisha kuwa data inayoingizwa ni halali, sahihi, na thabiti. Constraints husaidia kudhibiti aina, muundo, na mahusiano ya data kati ya jedwali tofauti.


2. Aina za Constraints

MySQL inatoa aina mbalimbali za constraints, kila moja ikiwa na kazi maalum:

a) PRIMARY KEY

Mfano wa Primary Key:

CREATE TABLE Wanafunzi (
    mwanafunzi_id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
    jina VARCHAR(50),
    darasa VARCHAR(10)
);

b) FOREIGN KEY

Mfano wa Foreign Key:

CREATE TABLE Madarasa (
    darasa_id INT PRIMARY KEY,
    jina_la_darasa VARCHAR(20)
);

CREATE TABLE Wanafunzi (
    mwanafunzi_id INT PRIMARY KEY,
    jina VARCHAR(50),
    darasa_id INT,
    FOREIGN KEY (darasa_id) REFERENCES Madarasa(darasa_id)
    ON DELETE CASCADE
);

c) UNIQUE

Mfano wa UNIQUE:

CREATE TABLE Walimu (
    mwalimu_id INT PRIMARY KEY,
    barua_pepe VARCHAR(100) UNIQUE
);

d) NOT NULL

Mfano wa NOT NULL:

CREATE TABLE Bidhaa (
    bidhaa_id INT PRIMARY KEY,
    jina VARCHAR(50) NOT NULL,
    bei DECIMAL(10, 2)
);

e) CHECK

Mfano wa CHECK:

CREATE TABLE Wafanyakazi (
    mfanyakazi_id INT PRIMARY KEY,
    umri INT CHECK (umri >= 18)
);

f) DEFAULT

Mfano wa DEFAULT:

C...
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-22 21:26:15 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF Views 704

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 web hosting     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

SQL somo la 18: Jinsi ya kutengeneza function kwenye mysql database

Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.

Soma Zaidi...
SQL somo la 16: Jinsi ya kuandaa matokeo ya Mtihani kwa kutumia database

Katika somo hili tutakwenda kumalizia program yetu ya kutengeneza matokeo ya wanafunzi kwa kuweka position kwa kila somo na position ya ujumla.

Soma Zaidi...
Database somo la 25: Utangulizi wa Database ya sqlite

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.

Soma Zaidi...
Database somo la 24: Transaction kwenye database

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu nadharia ya transaction kwenye database

Soma Zaidi...
Database somo la 26: Baadhi ya function za SQL ambayo hutumika kubadili data

Function hizi ni muhimu katika kubadili data kabla ya kuzionyesha. Hii ni muhimu ili kupata structure maalum ya data.

Soma Zaidi...
Database somo la 23: View kwenye Database

Katika somo hili utakwend akujifunza nadharia nzima ya view.

Soma Zaidi...