Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database
Constraints ni sheria au vikwazo vinavyowekwa kwenye safu (columns) za jedwali katika database ili kuhakikisha kuwa data inayoingizwa ni halali, sahihi, na thabiti. Constraints husaidia kudhibiti aina, muundo, na mahusiano ya data kati ya jedwali tofauti.
MySQL inatoa aina mbalimbali za constraints, kila moja ikiwa na kazi maalum:
Mfano wa Primary Key:
CREATE TABLE Wanafunzi (
mwanafunzi_id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(50),
darasa VARCHAR(10)
);
ON DELETE CASCADE
au ON DELETE SET NULL
.Mfano wa Foreign Key:
CREATE TABLE Madarasa (
darasa_id INT PRIMARY KEY,
jina_la_darasa VARCHAR(20)
);
CREATE TABLE Wanafunzi (
mwanafunzi_id INT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(50),
darasa_id INT,
FOREIGN KEY (darasa_id) REFERENCES Madarasa(darasa_id)
ON DELETE CASCADE
);
Mfano wa UNIQUE:
CREATE TABLE Walimu (
mwalimu_id INT PRIMARY KEY,
barua_pepe VARCHAR(100) UNIQUE
);
Mfano wa NOT NULL:
CREATE TABLE Bidhaa (
bidhaa_id INT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(50) NOT NULL,
bei DECIMAL(10, 2)
);
CHECK
, inafanya kazi katika matoleo ya MySQL 8.0 na kuendelea.Mfano wa CHECK:
CREATE TABLE Wafanyakazi (
mfanyakazi_id INT PRIMARY KEY,
umri INT CHECK (umri >= 18)
);
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza database kwenye mysql kwa kutumia interface ya mysql na kwa kutumia sql langauge
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz akuunganisha table zaidi ya moja kwneye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu Primary Key na Foreign Key
Soma Zaidi...katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuweka data kwenye database, ku edit pamoja na kufuta kwa kutumia SQL na Myql interface
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias
Soma Zaidi...Wakati mwingne utahitaji kuwa na function ili kurahisisha uchakataji wa data nyingi bila ya kurudia rudia kuandika code.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.
Soma Zaidi...