picha

Database seomo la 21: Constraints kwenye Database

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuhusu nadharia ya Constraints kwenye Database

Constraints kwenye Database

1. Maana ya Constraints

Constraints ni sheria au vikwazo vinavyowekwa kwenye safu (columns) za jedwali katika database ili kuhakikisha kuwa data inayoingizwa ni halali, sahihi, na thabiti. Constraints husaidia kudhibiti aina, muundo, na mahusiano ya data kati ya jedwali tofauti.


2. Aina za Constraints

MySQL inatoa aina mbalimbali za constraints, kila moja ikiwa na kazi maalum:

a) PRIMARY KEY

Mfano wa Primary Key:

CREATE TABLE Wanafunzi (
    mwanafunzi_id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
    jina VARCHAR(50),
    darasa VARCHAR(10)
);

b) FOREIGN KEY

Mfano wa Foreign Key:

CREATE TABLE Madarasa (
    darasa_id INT PRIMARY KEY,
    jina_la_darasa VARCHAR(20)
);

CREATE TABLE Wanafunzi (
    mwanafunzi_id INT PRIMARY KEY,
    jina VARCHAR(50),
    darasa_id INT,
    FOREIGN KEY (darasa_id) REFERENCES Madarasa(darasa_id)
    ON DELETE CASCADE
);

c) UNIQUE

Mfano wa UNIQUE:

CREATE TABLE Walimu (
    mwalimu_id INT PRIMARY KEY,
    barua_pepe VARCHAR(100) UNIQUE
);

d) NOT NULL

Mfano wa NOT NULL:

CREATE TABLE Bidhaa (
    bidhaa_id INT PRIMARY KEY,
    jina VARCHAR(50) NOT NULL,
    bei DECIMAL(10, 2)
);

e) CHECK

Mfano wa CHECK:

CREATE TABLE Wafanyakazi (
    mfanyakazi_id INT PRIMARY KEY,
    umri INT CHECK (umri >= 18)
);

f) DEFAULT

Mfano wa DEFAULT:

C...
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-12-22 21:26:15 Topic: Database Main: Masomo File: Download PDF Views 731

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

SQL somo la 15: Jinsi ya kutumia sql function kwenye mysql

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function kwenye sql na jinsi ya kuzitumia.

Soma Zaidi...
Database somo la 25: Utangulizi wa Database ya sqlite

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu aina nyingine ya database inayoitwa sqlite. Hii haihitaji server, na ni faili moja tu.

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 5: Aina za data zinazotumika kwenye Mysql Database

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina mbalimbali za data zinazotumika kwenye mysql database

Soma Zaidi...
SQL - MySQL somo la 6: Jinsibya kutengeneza table kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table za database

Soma Zaidi...
SQL somo la 14: Jinsi ya kutafuta rank na position kwa kutumia sql

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias

Soma Zaidi...
SQL -MySQL somo la 4; Jinsi ya kufuta database, kuitumia database na kubadili jina la database pamoja

Katika somo hili utajifunza kupata orodha ya database, kubadilibjina la database, kufuta database

Soma Zaidi...