Kipengele hiki kinaelezea nguzo mbalimbali za kuswali.
- Ni vile vipengele vinavyokamilisha swala kama ifuatavyo;
- Ukiondoa nguzo ya ‘Nia’ na ‘kufuata utaratibu’ zilizobaki ni nguzo za vitendo.
.Kufuata utaratibu
- Ni yale mambo akiyafanya mwenye kuswali, hupandisha daraja ya swala yake
Rejea EDK Kitabu cha 1, Sekondari, Uk. 100-110
Aya za sijda ndani ya Qur’an ziko 15.
(7:206), (13:15), (16:50), (17:109), (19:58), (22:18), (22:77), (25:60), (27:26), (32:15), (38:24), (41:38), (53:62), (84:21) na (96:19).
Ni jambo la tatu katika kusimamisha swala
Maana ya Khushui – Ni kujituliza kimwili na kifikra na kuzingatia yale mja anayotenda na kusema katika swala.
- Utulivu wa mwili hupatikana kwa kutojipapasa papasa, kutochezesha viungo na kuangalia pale tu unaposujudia.
2.Kuzituliza fikra (moyo)
- Fikra hutulia kwa kurejesha na kubakisha mawazo yote ndani ya swala kuanzia mwanzo hadi mwisho wa swala.
3.Kuwa na mazingatio
- Mazingatio hupatikana kwa kujua maana pamoja na kuwa makini na kile unachokisema au unachokitenda ndani ya swala.
- Ni kutekeleza sharti zote za Swala kikamilifu kabla ya kuanza kuswali.
- Ni kutekeleza kikamilifu nguzo zote za swala kuanzia mwanzo hadi mwisho wa swala.
Rejea Qur’an (29:45), (20:14), (7:205), (107:4-6).
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 1804
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 Kitau cha Fiqh
👉4 kitabu cha Simulizi
Sanda ya mwanaume na namna ya kumkafini
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Hii ndio namna ya kuswali kama alivyoswali Mtume s.a.w
Mtume (s. Soma Zaidi...
Umuhimu wa funga ya ramadhan
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Vituo vya kunuia hijjah au umrah
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Namna ya kutawadha yaani kuchukuwa udhu
Kuchukuwavudhu ni ibada, lakini pia ni matendo ya kuufanya mwilivuwe safi. Katika post nitakwenda kukifundisha namna ya kutia udhu katika uislamu. Soma Zaidi...
Je ni nani mwenye haki ya kutaliki
Hapabutajifunza endapp mwanamke anahitaji kuachwa ni nini anatakiwa afanye. Soma Zaidi...
Jinsi ya kujitwaharisha Najisi hafifu na najisi ndogo
Post hii inakwenda kukufundisha jinsi ya kujitwaharisha kutokana na najisi hafifu na najisi ndogo. Soma Zaidi...
Hukumu na taratibu za ndoa katika uislamu
Soma Zaidi...
umuhimu wa swala katika uislamu
Soma Zaidi...
benki za kiislamu na njia zake za kuingiza kipato
Benki za KiislamuBenki za Kiislamu ambazo hutoa huduma kama benki nyingine zinaendeshwa katika msingi wa biashara na sio ule wa riba. Soma Zaidi...
Tofauti kati ya hijjah na umrah
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Funga za kafara, aina zake na sababu za funga hizi za kafara na hukumu zake
Soma Zaidi...