picha
AINA ZA TWAHARA NA AINA ZA NAJISI

Katika post hii utakwenda kuzijuwa aina za twahara katika uislamu. Utaviona vigawanyo vya twahara kulingana na maulamaa wa Fiqh
picha
ZIJUWE KAZI ZA INI MWILINI

Katika somo hili na yanayofuata utajifunz akuhusu ini. Post hii ina muendelezo wa post zinazofuat. Katika mfululizo huuutajifunz akuhusu ini na maradhi yake na kujiking nayo.
picha
JINSI YA KUJILINDA NA MARADHI YA INI

Hapa nitakueleza namna ambavyounaweza kupunguza hatari ya kupata maradhi ya ini. Kwa njia hizi unaweza kujikina wewe na wengineo na maradhi haya hatari ya ini.
picha
YAJUWE MARADHI MBALMBALI YA INI NA CHANO CHAKE

Ini ni moja ya ogani za mwili ambazo husumbuliwa na maradhi hatari sana. Katika post hii utakwend akuyajuwa maradh hatari ambayo hushambulia ini. Pia utajifunza jinsi a kujikinga na maradhi hayo.
picha
HOMA YA INI NINI NINI, NA HUSABABISHWA NA NINI

Katika post hii utajifunza maana ya homa ya ini. Pia utajifunza chanzo kinachosababisha homa ya ini. Makala hii itakuwa endelevu hivyo usikose muendelezo wake.
picha
NINI MAANA YA TWAHARA KATIKA UISLAMU

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya twahara katika uislamu. Pia utakwenda kujifunza hukumu za twahara, aina za twahara na mambo mengineyo
picha
MATUNDA TENURE VITAMIN C KWA WINGI

Vitamin C ni katika vitamin vinavyosaidia sana mfumo wa Kinga kulinda mwili dhidi ya vimelea vya maradhi. Hapa nitakuletea orodha ya matunda ambayo yana vitamini C kwa wingi.
picha
NJIA YA HARAKA KU DOWNLOAD VIDEO ZA YOUTUBE

Katika post hii utakwenda kujifunza hatuwa kwa hatuwa za ku download video za Youtube kwa haraka.
picha
VYAKULA VILIVYO HATARI KWA AFYA YA MENO

Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno.
picha
VIGEZO VYA KUZINGATIA UNAPOTAKA KUNUNUA KOMPYUTA KWA AJILI YA PROGRAMMING

hapa ninakuletea vitu vya kuangalia unapotaka kununua kompyuta kwa ajili ya kufanyia programming. Ama kutengeneza software mbalimbali.
picha
UTOFAUTI WA DEEP WEB, DARK WEB NA SURFACE WEB

Umeshawahi kujiuliza Nini hasa tofauti kati ya deep web, surface web na dark web.
picha
JINSI YA KUEPUKA MAGONJWA YA FIGO

Figo ni moja katika orgn zenye umuhimu sana mwilini na endapo itaatirika kwa namna yeyote ile, madhara makubwa kwenye mwili yanaweza kutokea na hata kifo. Katika post hii utajifunza jinsi ya kulinda mwili wako dhidi ya matatizo ya figo
picha
NINI MAANA YA AFYA

Maana ya afya ni pana sana tofauti na vile ambavyo sisi tunajuwa. Afya inahusisha mambo mengi sana.
picha
CHANGAMOTO WANAZOKUTANA NAZO WANAFUNZI WA TEHAMA

Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass
picha
PHP SOMO LA 54: CLASS CONSTANT KWENYE PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
picha
VYAKULA VYA KUONGEZA MAZIWA KWA MAMA ANAYENYONYESHA

Post hii itakwenda kukufundisha vyakula ambavyo ni vizuri kwa mwanamke anayenyonyesha ili kumsaidia kupata maziwa kwa wingi.
picha
HISTORIA FUPI YA KUINGIA KWA WAKOLONI TANZANIA

Hapa utakwenda kujifunza namna ambavyo ukoloni uliingia Tanzania na vipindi vyake. Utajifunza hatuwa ambazo ukoloni uliweza kupiti na hatimay kuitawala Tanzania
picha
UGONJWA WA MALARIA DALILI ZAKE NA CHANZO CHAKE.

Malaria ni moja ya magonjwa hatari yanayoongoza katika vifo vya watoto wengi duniani walio chni ya umri wa miaka 5. Katika post hii utakwend akujifunza kuhusuugonjwa huu jinsi unavyotokea, hatuwa zake na dalili zake.
picha
JE UNAHITAJI KUTENGENEZEWA ANDROID APP

Bongoclass tunatoa Fursa ya kupata huduma ya kutengenezewa App
picha
FLUTTER SOMO LA 15: JINSI YA KUWEKA ICON KWENYE APP YA FLUTTER

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia icon yaani kuweka icon kwenye App ya flutter.
picha
FLUTTER SOMO LA 14: JINSI YA KUWEKA PICHA

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu widget ya Image ambayo hutumika kuonyesha picha kwenye App.
picha
FLUTTER SOMO LA 13: WIDGET YA BATANI

Katika somo hili uatakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia batani na kuweka maumbo mbalimbali ya batani.
picha
FLUTTER SOMO LA 12: WIDGET YA PADDING

Katika somo hili utakweda kujifunza jinsi ya kutumia widget ya padding kwenye App yako.
picha
FLUTTER SOMO LA 11: MATUMIZI YA TEXT WIDGET

Katika Flutter, Text Widget ni kipengele kinachotumiwa kuonyesha maandishi kwenye programu. Kwa kawaida, hutumiwa kama sehemu ya muundo wa UI ya programu za Flutter.



Page 1 of 197

Kuhusu Bongoclass


image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.