FLUTTER somo la 21: Jinsi ya kutengeneza faili la apka na faili la aab
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza faili la apk kwa ajili ya ku share app yako, na faili la aab kwa ajili ya ku publih app yako.
Unapotaa u share app yao na watu wa ajl ya utest ama unataa uwea wenye playstore bas somo hl lmeuandaa hatuwa wa hatuwa jns ya utengeneza ap na aab.
Apk ni nini?
Apk ni kifupisho cha maneno Android Package ama Android Package Kit pia inaweza kutumika Android Application Package. Hivyo hili ni faili ambalo hutumika kwa ajili ya ku install app kwenye device. Unaweza kulitumia faili hili kusambaza app yako kwa marafikiz ako na watu wengine. Ama hata kuliweka kwenye website yako ili kuwezesha watu ku download App yako na ku unstall wao wenyewe.
Jinsi ya kutengeneza apk
Sasa ili uweze kutengeneza apk kwanza utaingia kwenye terminal kisha utaandika command hii flutter build apk angalia pichai hapo chini:-
Hiyo namba moja hapo ndio batani ya terminal na hiyo namba mbili ndio command ya kutengeneza apk. Baada ya hapo itachukuwa muda kutengeenzwa. Baada ya mchakato kukamilika apk utaikuta kwenye folda linaloitwa flutter-apk folder hili linapatikana kwenye build -> app -> outputs -> flutter-apk na jina la faili la faili linaitwa app-release.apk utalichukuwa faili hili na kulishare unapotaka.
Aab ni nini?
Aab ni kifupisho cha maneno Android App Bundle. Hili ni fail ambalo hutumika kwa ajili ya ku upload app yako playstore. Kisha wao ndio watatengeneza apk kwa ajili ya kuwezesha watumiaji waweze ku install app.
Jisni ya kutengeneza aab.
Unapotaka kutengeneza aab file utatumia command hii flutter build appbundle au flutter build aab command hii tauwezesha kutengeneza aab file. Kama ulisha sign bas faili linawa na signature yake automatic. Kama bado rejea somo la kuweka sign kwenye app.
Baada ya kukamilika mchakato huo faili lako utalipata kwenye folda linaloitwa release linalopatikana kwenye build -> app -> outputs -> bundle -> release jina la faili ni app-release.aab angalia picha hiyo hapo juu.
Mwisho:
Huu ni mwisho wa mafunzo ya flutter level 1. Tukutane kwenye level 2 ambapo tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye kutengeneza app mbalimbali za flutter.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 web hosting 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Flutter somo la 7: jinsi ya kutumia Widget ya AppBar
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya AppBar. Hata tutaona inavyofanya kazi na baadhi ya property zake.
Soma Zaidi...Flutter somo la 8: Jinsi ya kutumia widget ya column
Katika somo hili utakweda kujifunza kuhsu widget ya column. Widget hii ni moja katika widget zilizo muhimu sana kuzifaham.
Soma Zaidi...Flutter somo la 5: widget ni nini na zinafanya nini kwenye flutter
Katika somo hili uatwkeda kujifunza zaidi kuhusu widget, maana yake, aia zake na kazi zake kwneye flutter.
Soma Zaidi...FLUTTER somo la 2: Jinsi ya kutengeneza App ya flutter
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza App yako ya kwanza ya Flutter hatuwa kwa hatuwa.
Soma Zaidi...FLUTTER somo la 20: Jinsi ya ku sign App ya android kwenye flutter
Somo hili litakufundisha hatuwa kwa hatuwa jinsi ya ku sign app ya android kwenye flutter
Soma Zaidi...Flutter somo la 9: Jinsi ya kutumia widget ya Row
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu row widget. Hii ni widget ambayo ina utofauti na column widget kwa kuwa hii yenyewe inapangilia maudhui kwa safu za mlalo, tofauti na iliyopita inapangilia kwa safu za wima.
Soma Zaidi...