FLUTTER somo la 21: Jinsi ya kutengeneza faili la apka na faili la aab

FLUTTER somo la 21: Jinsi ya kutengeneza faili la apka na faili la aab

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza faili la apk kwa ajili ya ku share app yako, na faili la aab kwa ajili ya ku publih app yako.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Unapotaa u share app yao na watu wa ajl ya utest ama unataa uwea wenye playstore bas somo hl lmeuandaa hatuwa wa hatuwa jns ya utengeneza ap na aab.

 

Apk ni nini?

Apk ni kifupisho cha maneno Android Package ama Android Package Kit pia inaweza kutumika Android Application Package. Hivyo hili ni faili ambalo hutumika kwa ajili ya ku install app kwenye device. Unaweza kulitumia faili hili kusambaza app yako kwa marafikiz ako na watu wengine. Ama hata kuliweka kwenye website yako ili kuwezesha watu ku download App yako na ku unstall wao wenyewe.

 

Jinsi ya kutengeneza apk

Sasa ili uweze kutengeneza apk kwanza utaingia kwenye terminal kisha utaandika command hii flutter build apk angalia pichai hapo chini:-

Hiyo namba moja hapo ndio batani ya terminal na hiyo namba mbili ndio command ya kutengeneza apk. Baada ya hapo itachukuwa muda kutengeenzwa. Baada ya mchakato kukamilika apk utaikuta kwenye folda linaloitwa flutter-apk folder hili linapatikana kwenye build -> app -> outputs -> flutter-apk na jina la faili la faili linaitwa app-release.apk utalichukuwa faili hili na kulishare unapotaka.




Aab ni nini?

Aab ni kifupisho cha maneno Android App Bundle. Hili ni fail ambalo hutumika kwa ajili ya ku upload app yako playstore. Kisha wao ndio watatengeneza apk kwa ajili ya kuwezesha watumiaji waweze ku install app.

 

Jisni ya kutengeneza aab.

Unapotaka kutengeneza aab file utatumia command hii flutter build appbundle au flutter build aab command hii tauwezesha kutengeneza aab file. Kama ulisha sign bas faili linawa na signature yake automatic. Kama bado rejea somo la kuweka sign kwenye app.

 

Baada ya kukamilika mchakato huo faili lako utalipata kwenye folda linaloitwa release linalopatikana kwenye build -> app -> outputs -> bundle -> release jina la faili ni app-release.aab angalia picha hiyo hapo juu.

 

Mwisho:

Huu ni mwisho wa mafunzo ya flutter level 1. Tukutane kwenye level 2 ambapo tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye kutengeneza app mbalimbali za flutter.

 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Flutter Main: ICT File: Download PDF Views 517

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

FLUTTER somo la 19: jinsi ya kubadili app id ama bundle identifier na configuration nyingine
FLUTTER somo la 19: jinsi ya kubadili app id ama bundle identifier na configuration nyingine

Katika somo hili utajifunza jisni ya kubadili package name ama app id kwenye Android app na Bundle Identifier kwenye iOS app na taarifa nyinginezo.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 8: Jinsi ya kutumia widget ya column
Flutter somo la 8: Jinsi ya kutumia widget ya column

Katika somo hili utakweda kujifunza kuhsu widget ya column. Widget hii ni moja katika widget zilizo muhimu sana kuzifaham.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 9: Jinsi ya kutumia widget ya Row
Flutter somo la 9: Jinsi ya kutumia widget ya Row

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu row widget. Hii ni widget ambayo ina utofauti na column widget kwa kuwa hii yenyewe inapangilia maudhui kwa safu za mlalo, tofauti na iliyopita inapangilia kwa safu za wima.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 1: Nini flutter na nini hasa inafanya
Flutter somo la 1: Nini flutter na nini hasa inafanya

Katika somo hili utajifunza historia fupi ya flutter, kazi zake, nini hasa inafanya. pia utajifunza jinsi ya ku install flutter

Soma Zaidi...
Flutter somo la 7: jinsi ya kutumia Widget ya AppBar
Flutter somo la 7: jinsi ya kutumia Widget ya AppBar

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya AppBar. Hata tutaona inavyofanya kazi na baadhi ya property zake.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 12: widget ya padding
Flutter somo la 12: widget ya padding

Katika somo hili utakweda kujifunza jinsi ya kutumia widget ya padding kwenye App yako.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 6: Scaffold widget, kazi zake na property zake
Flutter somo la 6: Scaffold widget, kazi zake na property zake

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu scaffold widget. Hapa tutakwend kuona properties zake na baadhi ya mifano.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 16: Jinsi ya kuweka drawer menu
Flutter somo la 16: Jinsi ya kuweka drawer menu

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kuweka drawer menu kwenye app ya flutter.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 10: Jinsi ya kutumia widget ya container
Flutter somo la 10: Jinsi ya kutumia widget ya container

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya container pia tutajifunza jinsi widget hii inavyoweza kutumika na widget nyingine.

Soma Zaidi...
FLUTTER somo la 20: Jinsi ya ku sign App ya android kwenye flutter
FLUTTER somo la 20: Jinsi ya ku sign App ya android kwenye flutter

Somo hili litakufundisha hatuwa kwa hatuwa jinsi ya ku sign app ya android kwenye flutter

Soma Zaidi...