picha

FLUTTER somo la 21: Jinsi ya kutengeneza faili la apka na faili la aab

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza faili la apk kwa ajili ya ku share app yako, na faili la aab kwa ajili ya ku publih app yako.

Unapotaa u share app yao na watu wa ajl ya utest ama unataa uwea wenye playstore bas somo hl lmeuandaa hatuwa wa hatuwa jns ya utengeneza ap na aab.

 

Apk ni nini?

Apk ni kifupisho cha maneno Android Package ama Android Package Kit pia inaweza kutumika Android Application Package. Hivyo hili ni faili ambalo hutumika kwa ajili ya ku install app kwenye device. Unaweza kulitumia faili hili kusambaza app yako kwa marafikiz ako na watu wengine. Ama hata kuliweka kwenye website yako ili kuwezesha watu ku download App yako na ku unstall wao wenyewe.

 

Jinsi ya kutengeneza apk

Sasa ili uweze kutengeneza apk kwanza utaingia kwenye terminal kisha utaandika command hii flutter build apk angalia pichai hapo chini:-

Hiyo namba moja hapo ndio batani ya terminal na hiyo namba mbili ndio command ya kutengeneza apk. Baada ya hapo itachukuwa muda kutengeenzwa. Baada ya mchakato kukamilika apk utaikuta kwenye folda linaloitwa flutter-apk folder hili linapatikana kwenye build -> app -> outputs -> flutter-apk na jina la faili la faili linaitwa app-release.apk utalichukuwa faili hili na kulishare unapotaka.




Aab ni nini?

Aab ni kifupisho cha maneno Android App Bundle. Hili ni fail ambalo hutumika kwa ajili ya ku upload app yako playstore. Kisha wao ndio watatengeneza apk kwa ajili ya kuwezesha watumiaji waweze ku install app.

 

Jisni ya kutengeneza aab.

Unapotaka kutengeneza aab file utatumia command hii flutter build appbundle au flutter build aab command hii tauwezesha kutengeneza aab file. Kama ulisha sign bas faili linawa na signature yake automatic. Kama bado rejea somo la kuweka sign kwenye app.

 

Baada ya kukamilika mchakato huo faili lako utalipata kwenye folda linaloitwa release linalopatikana kwenye build -> app -> outputs -> bundle -> release jina la faili ni app-release.aab angalia picha hiyo hapo juu.

 

Mwisho:

Huu ni mwisho wa mafunzo ya flutter level 1. Tukutane kwenye level 2 ambapo tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye kutengeneza app mbalimbali za flutter.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-07-26 12:34:55 Topic: Flutter Main: Masomo File: Download PDF Views 1123

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

FLUTTER somo la 18: Jinsi yakubadili App name kwenye flutter

Katika somo hili utakwenda kujifunzajinsi ya kubadilisha, jinala App yaani App name.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 9: Jinsi ya kutumia widget ya Row

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu row widget. Hii ni widget ambayo ina utofauti na column widget kwa kuwa hii yenyewe inapangilia maudhui kwa safu za mlalo, tofauti na iliyopita inapangilia kwa safu za wima.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 7: jinsi ya kutumia Widget ya AppBar

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya AppBar. Hata tutaona inavyofanya kazi na baadhi ya property zake.

Soma Zaidi...
FLUTTER somo la 2: Jinsi ya kutengeneza App ya flutter

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza App yako ya kwanza ya Flutter hatuwa kwa hatuwa.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 14: Jinsi ya kuweka picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu widget ya Image ambayo hutumika kuonyesha picha kwenye App.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 16: Jinsi ya kuweka drawer menu

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kuweka drawer menu kwenye app ya flutter.

Soma Zaidi...