Nguzo za uislamu (EDK form 2; dhana ya elimu ya uislamu)
Funga ya Ramadhani na zinginezo.
Maana ya swaumu (funga).
Kilugha: Kujizuilia kufanya jambo lolote ulilolizoea kulifanya.
Kisheria: Ni kujizuilia na kila chenye kufunguza kuanzia Alfajir ya kweli hadi
kuzama jua.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Swala ya Dhuha ni swala ya sunna inayosaliwa wakati wa asubuhi baada ya jua kuchomoza na kupanda angalau kiasi cha mkuki (takribani dakika 15 baada ya jua kuchomoza) mpaka kabla ya adhuhuri. Ingawa hakuna sura maalum zilizowekwa kisheria, Mtume ï·º alisoma baadhi ya sura zenye maana ya kuhimiza kheri na shukrani.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Kwa nini ni muhimu kuswali? Post hii itakwenda kukufundisha kuhusu umuhimu wa kusimamisha swala.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha taratibu zinazofanyika katika kuzuru kaburi la muislamu.
Soma Zaidi...