Nguzo za uislamu (EDK form 2; dhana ya elimu ya uislamu)
Funga ya Ramadhani na zinginezo.
Maana ya swaumu (funga).
Kilugha: Kujizuilia kufanya jambo lolote ulilolizoea kulifanya.
Kisheria: Ni kujizuilia na kila chenye kufunguza kuanzia Alfajir ya kweli hadi
kuzama jua.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Uislamu haukuwekabkiwango maalumu cha mahari. Mwanamke anaweza tajabkiasi atakacho. Ila vyema kuzingatia haya wakayi wa kutamka mahari yako.
Soma Zaidi...Lugha ya Swala Lugha ya swala,kuanzia kwenye Takbira ya kuhirimia Swala mpaka kumalizia swala kwa Salaam, ni Kiarabu.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukugundisha jinsi ya kutawadha hatuwa kwa hatuwa.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha namna ya kutwaharisha Najisi.
Soma Zaidi...Masharti ya Utoaji wa Zakat na Swadaqat Utoaji katika njia ya Allah (s.
Soma Zaidi...