Posti hii inahusu zaidi njia za maambukizi ya Homa ya inni, Homa ya inni usababishwa na virusi viitwavyo Hepatitis B, huwapata watu wote hasa wale wenye umri chini ya miaka mitano.
Njia za maambukizi ya Virusi vya Hepatitis B.
1. Njia ambazo virusi vya Hepatitis B uenea ni kama zinafanana na njia za virus vya Ukimwi kwa hiyo tujitahidi kujua namna Homa ya inni inavyoambukizwa tunaweza pia kuepuka ugonjwa huu na kuweza kuishi kawaida pasipo Ugonjwa huu .
Kwa hiyo Tunapaswa kushika masharti katika kupambana na Homa ya inni hasahasa kupata chanjo ya Homa ya inni kwa sababu unatolewa bure kwa watoto Ila watu waziy ni malipo. Kwa hiyo tunapaswa kujua njia za maambukizi kama vile.
2. Kumwongezea mtu damu, kutoka kwa mwenye virusi vya ugonjwa huu kwenda kwa yule ambaye Hana.
Kwa hiyo kabla ya kumwongezea mtu damu kitu Cha kwanza anapaswa kupima Ili kuangalia kama Kuna maambukizi kwenye damu, baada ya kuona kama kuna maambukizi kwenye damu , mtu hasipewa damu hiyo,
3. Mama kwenda kwa mtoto wakati wa kujifungua au mtoto akiwa tumboni kwa mama.
Ugonjwa huu wa inni unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kupitia kwa Mama kwenda kwa mtoto wakati wa kujifungua au wakati mtoto akiwa tumboni kwa mama kwa hiyo mama akiwa anna mimba anashauliwa kupima ugonjwa wa inni Ili kuhakikisha afya yake na kuepuka hali Ile ya kumwambikiza mtoto.
Pia na wakunga wanapaswa kuwa macho wakati wa kumzalisha Mama Ili kuepuka kuendelea kuleta madhara kwa Mtoto na jamii kwa ujumla.
4. Maambukizi ya Homa ya inni yanaweza kupitia kwenye sehemu za uwazi kama vile kwenye vidonda,michubuko na Kuna wengine wanaweza kupata kupitia kwa jasho la mwilini kama likigusana na sehemu ya uwazi.
5. Kufanya ngono zembe.
Pengine ugonjwa huu unaweza kupitia kwenye ngono zembe kutoka mtu mmoja kwenda mwingine kwa kupitia kujamiiana kwa hiyo watu wanapaswa kutumia kondomu wakati wa kujamiiana Ili kuepuka hali ya kusambaa kwa ugonjwa huu kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, na pia elimu inabidi kutolewa kwa jamii Ili kuepuka madhara makubwa zaidi ya kuenea kwa ugonjwa wa Homa ya inni.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa vericose veini
Soma Zaidi...Watoto wachanga ni watoto wenye umri chini ya miaka mitano, watoto hawa hushambulia na maginjwa mara kwa mara na kusababisha ukuaji wao kuwa dunk,
Soma Zaidi...Upungufu wa maji mwilini hutokea unapotumia au kupoteza Majimaji mengi zaidi ya unayonywa, na mwili wako hauna maji ya kutosha na Majimaji mengine ya kufanya kazi zake za kawaida. Usipochukua nafasi ya Vimiminika vilivyopotea, utapungukiwa na maji.
Soma Zaidi...KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI Fanya miadi na daktari wako wa kawaida ikiwa una ishara au dalili zinazokupa wasiwasi.
Soma Zaidi...Kisonono ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria wa zinaa ambao wanaweza kuwaambukiza wanaume na wanawake. Kisonono mara nyingi huathiri urethra, puru au koo. Kwa wanawake, ugonjwa wa kisonono unaweza pia kuambukiza kizazi.
Soma Zaidi...Malaria ni katika maradhi yanayosumbua sana na kusababisha maradhi ya watu wengi sana duniani.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha dalili za ugonjwa wa Vidonda vya kitanda (bed sores)mara nyingi hukua kwenye ngozi ambayo hufunika sehemu za mifupa ya mwili, kama vile visigino, vifundoni, viuno. Vidonda vya kitanda vinaweza kukua haraka na mara nyingi ni vigumu
Soma Zaidi...Maumivu ya mgongo yanaweza kuwa ni dalili inayoonyesha tatizo fulani la kiafya ikiwemo magonjwa au majeraha.
Soma Zaidi...Somk hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo mbalimbali yahusuyo HIV na UKIMWI
Soma Zaidi...