Posti hii inahusu zaidi njia za maambukizi ya Homa ya inni, Homa ya inni usababishwa na virusi viitwavyo Hepatitis B, huwapata watu wote hasa wale wenye umri chini ya miaka mitano.
Njia za maambukizi ya Virusi vya Hepatitis B.
1. Njia ambazo virusi vya Hepatitis B uenea ni kama zinafanana na njia za virus vya Ukimwi kwa hiyo tujitahidi kujua namna Homa ya inni inavyoambukizwa tunaweza pia kuepuka ugonjwa huu na kuweza kuishi kawaida pasipo Ugonjwa huu .
Kwa hiyo Tunapaswa kushika masharti katika kupambana na Homa ya inni hasahasa kupata chanjo ya Homa ya inni kwa sababu unatolewa bure kwa watoto Ila watu waziy ni malipo. Kwa hiyo tunapaswa kujua njia za maambukizi kama vile.
2. Kumwongezea mtu damu, kutoka kwa mwenye virusi vya ugonjwa huu kwenda kwa yule ambaye Hana.
Kwa hiyo kabla ya kumwongezea mtu damu kitu Cha kwanza anapaswa kupima Ili kuangalia kama Kuna maambukizi kwenye damu, baada ya kuona kama kuna maambukizi kwenye damu , mtu hasipewa damu hiyo,
3. Mama kwenda kwa mtoto wakati wa kujifungua au mtoto akiwa tumboni kwa mama.
Ugonjwa huu wa inni unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kupitia kwa Mama kwenda kwa mtoto wakati wa kujifungua au wakati mtoto akiwa tumboni kwa mama kwa hiyo mama akiwa anna mimba anashauliwa kupima ugonjwa wa inni Ili kuhakikisha afya yake na kuepuka hali Ile ya kumwambikiza mtoto.
Pia na wakunga wanapaswa kuwa macho wakati wa kumzalisha Mama Ili kuepuka kuendelea kuleta madhara kwa Mtoto na jamii kwa ujumla.
4. Maambukizi ya Homa ya inni yanaweza kupitia kwenye sehemu za uwazi kama vile kwenye vidonda,michubuko na Kuna wengine wanaweza kupata kupitia kwa jasho la mwilini kama likigusana na sehemu ya uwazi.
5. Kufanya ngono zembe.
Pengine ugonjwa huu unaweza kupitia kwenye ngono zembe kutoka mtu mmoja kwenda mwingine kwa kupitia kujamiiana kwa hiyo watu wanapaswa kutumia kondomu wakati wa kujamiiana Ili kuepuka hali ya kusambaa kwa ugonjwa huu kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, na pia elimu inabidi kutolewa kwa jamii Ili kuepuka madhara makubwa zaidi ya kuenea kwa ugonjwa wa Homa ya inni.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa vericose veini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya makende kushindwa t, hiki ni tatizo na huleta madhara
Soma Zaidi...Coma ni hali ya kupoteza fahamu kwa muda mrefu ambayo inaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali Jeraha la Kichwa, Kiharusi, Uvimbe kwenye ubongo, ulevi wa dawa za kulevya au pombe, au hata ugonjwa wa msingi,
Soma Zaidi...posti hii inahusu dalili za aratani ya damu au ubobo ambayo kwa jina lingine hujulikana Kama Acute lymphocytic Leukemia (ALL) ni aina ya Saratani ya damu na uboho tishu zenye sponji ndani ya mifupa ambapo seli za damu hutengenezwa.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya viungo vinavyoathiriwa na ugonjwa wa malaria
Soma Zaidi...Ugonjwa huu hupelekea kuvimba kwenye ini yako ambayo hutokea wakati mfumo wa kinga ya mwili wako unaposhambulia ini lako.
Soma Zaidi...NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO Kwa kuwa tumekwisha kuona namna ambavyo minyoo huenezwa, hivyo basi ni rahisi sasa kutaja namna ya kubambana na minyoo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za VVU/ UKIMWI
Soma Zaidi...Muda gani ukimwi huweza kuonekana mwilini ama kugundulika kama umeathirika, ni dalili zipo hujitokeza punde tu utakapoathirika
Soma Zaidi...Post hii Ina onyesha DALILI za Homa ya matumbo (typhoid fever) huenea kupitia chakula na maji machafu au kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu aliyeambukizwa. Dalili na ishara kwa kawaida hujumuisha Homa kali, maumivu ya kichwa, maumi
Soma Zaidi...