Katika somo hili utakwend akujifunz amaana ya json, umuhimu wake na kazi zake.
Katika somo hili utakwend akujifunz anamna ya kuwez akupata taarifa zinazohusu faili
Katika somo hili utakwenda kujifunz ajinsi ya kusoma mafaili na mitindo mbalimbali ya kusoma data
Katika somo hili utajifunz ajinsi ya kutengeneza folda, faili na kuweka data kwneye faili
Katika somo hili utakwend akujifunz akuhusu nadharia ya data abstraction na kazi zake kwenye OOP
Katika somo hili utajifunza maana ya encapsulation na sheria za uandishi wake
Katika somo hili utakwenda kujifunz amaana ya inheritance na sheria za kuiandika inheritance.
Katika somo hili utajifunza maana ya polymorphism na sheria za uandishi wake
Katika somo hili utakwend akujifunza maana ya object, na sheria za kuandika object.
Katika somo hili utajifunza maana ya class, sheria za uandishi wake na mifano halisi
Kijiji cha Lemi kinapata neema baada ya kijana wao kurejea.;
Hatimaye Silo na Lemi wanakwenda kijijini kwa Silo kama safari ya mwisho ya Silo
Katika safari yao ya kurudi bado vijana hawa wanaendelea kukutana na vikwazo
Vijana wanaendelea kutimiza ahadi ya kusaidia wengine.
Baada ya Lemi na Silo kumaliza masomo yao kwenye chumba cha vioo sasa wanaamrishwa kurudi
Hatimaye kijana Jasiri ametimiza jukumu lake la kuleta maji kwneye kijiji chake, na kuleta umoja na mshikamano
HHatimaye maji yanawasili kijijini baada ya matukio mengi yaliotokea.
Kijana anathibitisha matumaini mapya mbele ya kijiji na wanakijiji
Hatimaye baada ya safari ndefu jasiri anafika kisimani, lakini je ataweza kuondoka na maji?
Jasiri anakalibia kuvuna matunda ya safari yake, ila bado kuna changamoto mbeleni
Nini kimefichwa ndani ya huo mlango wa siri
Kadiri safari inavyo endelea ndivyo maajabu zaidi yanatokea
Jasiri anazidi kufichuwa siri za mambo mengi katika safari yake.
Katika lango la giza kwenye mlima wa mbali Jasiri anakutana na vitisho vipya
Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.