picha
PHP SOMO LA 58: STATIC METHOD KWENYE PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP
picha
PHP SOMO LA 57: CLASS TRAITS KWENYE PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance
picha
PHP SOMO LA 56:CLASS INTERFACE NA POLYMORPHISM KWENYE PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.
picha
PHP SOMOL LA 55: PHP ABSTRACT CLASS NA ABSTRACT METHOD

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
picha
PHP SOMO LA 54: PHP OOP CLASS CONSTANT

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
picha
PHP SOMO LA 53: CLASS INHERITANCE KWENYE PHP OBJECT ORIENTED PROGRAMMING

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.
picha
PHP SOMO LA 52: AINA ZA ACCESS MODIFIRE NA ZINAVYOTOFAUTIANA.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.
picha
JINSI YA KUPATA LOCATION YA MTU LWA KUTUMIA IP ADDRESS

Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.
picha
DART SOMO LA 23: JINSI YA KUSOMA MAFAILI KWA KUTUMIA DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma na kuandika faili kwa kutumia Dart programming.
picha
DART SOMO LA 22: JINSI YA KUTUMIA HTML LIBRARY KWENYE DART

Katika somo hili tutakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia library ya html kwenye Dart. somo hili litakupeleka kujifunza jinsi ya ku display dart output kwenye faili la html.
picha
DART SOMO LA 21: JINSI YA KUTENGENEZA LIBRARY KWENYE DART

Katika somo hili utajifunza kuhusu dart library. Pia tutakwend aktengeneza library yetu wennyewe kwa ajili ya kufanya mazoezi zaidi.
picha
SQL SOMO LA 14: JINSI YA KUTAFUTA RANK NA POSITION KWA KUTUMIA SQL

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutafuta rank ama position kwenye data base yako kwa kutumia sql. Pia utajifunza kuhusu table alias
picha
PHP SOMO LA 51: JINSI YA KUTUMIA CONSCTUCT NA DESTRUCT FUNCTION

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
picha
DART SOMO LA 20: METHOD ZINAZOTUMIKA KWENYE MAP DATA TYPE KWENYE DART

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu method ambazo hutumika kwenye map data type
picha
DART SOMO LA 19: METHOD ZINAZOTUMIKA KWENYE SET DATA TYPE KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu set data type pamoja na method ambazo hufanya kazi kwenye set.
picha
SQL - SOMO LA 13: JINSI YA KUTUMIA CASE KWENYE SQL

katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutumia case kwenye databse ili kuchakata taarifa za matokeo
picha
DART SOMO LA 18: DART METHOD ZINAZOTUMIKA KWENYE LIST DATA TYPE

Katika somo hili utakwenda kujifunza method yhinginge zinazofanya kazi kwenye list data type kwenye Dart.
picha
DART SOMO LA 17: METHOD ZA NAMBA ZINAZOTUMIKA KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda kuziona method za dart zinazotumika kwenye namba. pia utajifunzakuhusu math library
picha
DART SOMO LA 16: STRING METHOD ZINAZOTUMIKA KWNEYE DART

Katika somo hili utakwenda kujfunza kuhusu String method zinazotumika kwenye Dart.
picha
DART SOMO LA 15: PARAMETER KWENYE FUNCTION ZA DART

Katika somo hili tutakwenda kuzungumzia kuhusu parameter kwenye Dart function. Pia tutakwenda kuona mambo mengine yanayohusu function
picha
DART SOMO LA 14: AINA ZA FUNCTION KWENYE DART

Katika somo hili tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye somo la function. Hapa tutakwenda kuona aina za function.
picha
DART SOMO LA 13: FUNCTION KWENYE DART

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye dart, jisni ya kziandika na matumizi yake.
picha
DART SOMO LA 12: KUCHUKUWA USER INPUT KWENYE DART

Jinsi ya kuchukuwa user input kwenye Dart kwa ajili ya kuongeza user interaction kwenye program.
picha
DART SOMO LA 11:BREAK AND CONTINUE STATEMENT KWENYE DAT LOOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu break na continue kwenye Dart loop za for loop na while loop.



Page 5 of 197

Kuhusu Bongoclass


image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.