Swali kutoka kwa muulizaji wetu kupitia whatsapp
Mwaka wa 10 toka kupata utume, Mtume Muhammad (S.A.W) anaanza kulingania dini nje ya Mji wa Makkah
Hatimaye Lemi na Silo wanakutana na majaribu na changamoto mpya, kufa na kupona
Lemi anapata rafiki mpya na kuendelea na safari yake wakiwa wawili.
Nani kama mama? Hadithi hii itakufunza umuhimu wa kuwa muwazi kuhusu familia yako.
Sasa Kijana Lemi anaamiwa kuanza upya kusaidia kijiji hiki kwa kuelekea kijito cha siri ambako nduio kuna suluhisho la matatizo ya kijiji hiki.
Trojan ni Moja ya maneno tunayoyasikia sana kwneye tehama. Leo nitakupa maana yake
Hadithi iliyopata kusimuliwa zamani, kuhusu Nyuki na Mchwa katika Msitu
Hapa tunaendelea na safari ya Lemi na mzee wakiwa msituni kuelekea kwenye kijiji kinachofuata
Hii ni hadithi fupi ya Mfunzo kuhusu watu wenye viburi na kutosikiza ushauri
Lemi meanza majukumu rasmi ya kusaidia watu wengine.
Lemi anakutana na chemchem ya ajabu, hapa anaishia kupata zawadi nono zaidi
Hadithi hii ina sehemu tatu, kila moja ikijaa mafunzo na matukio ya kusisimua.
Kijana Lemi anaamuwa kuanza safari asioijuwa mwanzo wake na mwisho wake.
Hili ni swali lililowahi kuulizwa na moja ya wasomaji wetu
Baada ya kupambana kwa Muda Mrefu kumsaidia Mtume Muhammad, na hatimaye Mzee Abu Talib na Khadija Mke wa Mtume wanafariki
Wakati yali ya Afya ya Mzee Abu Talib inaendelea kudhoofu, Maquraish walifanya nae kikao kikubwa cha mwisho kuhusu Makubaliano na Mtume Muhammad.
Kijana Lemi anaokota pete ya Ajabu, sasa anajiuliza je ni ya baraka au ya laana
Baada ya Baini Abd Manaf kukubaliana kumlinda Mtume Muhammad basi Maquraish wakaweka mkataba wa udhalimu utakaozuia kutoshirikiana na banu abd Manaf kwa lolote lile.
Wana wa Abd Manaf wanaungana kumlinda Mtume Muhammad isipokuwa Abu Lahab yeye amekataa kuungana na ndugu zake.
Baada ya Quraish kufeli mbinu zao za mateso, sasa wanaanza mbinu za diplomasi, wanajaribu kumshawishi Mtume kwa kumpa mali nauongozi
Hii ni historia fupi ya kuslimu kwa Umar na kuanza kwa taswira mpya ya waislamu na uislamu katika mji wa makkah
Hii ni hadithi fupi ambayo inaweza kutoa funzo kuhusu maisha, wakati mwingine unaweza ukajitisha mwenyewe.
tumeishia kuawa Taji anataka kutaja maovu ya Dhamana na kufichua siri ya utajiri wake. Sasa wacha tuone kilichojiri kwenye kikao
Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.