picha
SIMULIZI ZA HADITHI EP 3 PART 3: KISA CHA MKE NA KASUKU

Simulizi za HALIF LELA U LELA kitabu cha kwanza simulizii hii inasimulia kisa cha mke na Kahuku wake....
picha
SIMULIZI ZA HADITHI EP 3 PART 2:  SIMULIZI YA TABIBU WA MFALME

Simulizi ni nzuri sana maana zinafundisha na hazibagui mkubwa wala mdogo... tusikilize na kusoma kisa cha tabibu wa mfalme....kutoka katika kitabu cha kwanza cha HALIF LELA U LELA...
picha
SIMULIZI ZA HADITHI EP 3 PART 1: KISA CHA MVUVI NA JINI

Simulizii hii inapatikana katika kitabu cha kwanza cha HALIF LELA U LELA ....
picha
SIMULIZI ZA HADITHI EP 2 PART 4: HADITHI YA MZEE WA TATU NA MBWA WAKE MWEKUNDU.

Hadithi za HALIF LELA U LELA hii ni moja wapo imetoka katika kitabu cha kwanza imaelezea kisa cha mzee wa tatu....
picha
SIMULIZI ZA HADITHI EP 2 PART 3: HADITHI YA MZEE WA PILI NA MBWA WAWILI WEUSI.

Simulizi za HALIF LELA U LELA ni nziri sana tuwe pamoja kusikiliza kisa cha mzee wa pili na mbwa wawili weusi...
picha
SIMULIZI ZA HADITHI EP 2 PART 2: HADITHI YA MZEE WA KWANZA NA MBUZI WAKE

Simulizi za HALIF LELA U LELA zipo nyingi sana na husikiliwa na kusomwa na wakubwa kwa wadogo pia hadithi hizi zimeenea duniani Kate zikisikilizwa na maelfu ya watu mbalimbali.
picha
SIMULIZI ZA HADITHI EP 2 PART 1: HADITHI YA JINI NA MFANYA BIASHARA.

Hadithi hii ya jina na mfanya biashara imetoka katika kitabu cha kwanza cha simulizi za HALIF LELA U LELA kitabu cha kwanza karibu tusikilize simulizi nzuri na zakusisimua
picha
SIMULIZI ZA HADITHI EP 1 PART 2: SIMULIZI YA KISA CHA MFUGAJI NA MKEWE

Simulizii hii ni inatoka katika kitabu cha kwanza cha HALIF LELA U LELA
picha
SIMULIZI ZA HADITHI EP 1 PART 1: SIMULIZI YA KIAPO CHA SULTAN

Simulizi hii inatoka kwenye kitabu cha kwanza cha hadidhi za HALIF LELA U LELA.
picha
SIMULIZI PART 1: UTANGULIZI WA HADITHI ZA HALIF LELA U LELA

Simulizi za hadithi za HALIF LELA U LELA zimendaliwa katika makundi matutu ambayo ni kitabu cha kwanza, cha pili, na cha tatu. Ndani ya vitabu hivi kuna mengi tutajifunza.
picha
WATU WALIO HATARINI KUPATA UGONJWA WA PUMU

Kila mtu anaweza kupata ugonjwa wa pumu, hata hivyo kuna ambao wapo hatarini zaidi kupata pumu.
picha
NI ZIPI DALILI ZA AWALI ZA PUMU

Kabla ya kubanwa zaidi na pumu, kuna dalili za awali zinzznza kujitokeza, na hapo ndipo utakapoanza kuchukuwa tahadhari. Makala hii itakwenda kukujulisha zaidi kuhusu dalili hizo.
picha
JE UGONJWA WA PUMU UNEWEZA KUSABABISHA KIFO, NA NINI KIFANYIKE KUPUNGUZA MADHARA?

Ugojwa wa pumu ni hatari na unaweza kutokea ghafla. Lakini je unaweza kusababisha kifo, makalahii itakwend akujibu swali hili
picha
NINI HASA CHANZO CHA PUMU, NA JE INARITHIWA?

Ugonjwa wa pumu ni moja katika magonjwa hatari yanayoweza kutokea kwa ghafla, na endapo itacheleweshwa kudhibitiwa inaweza sababisha athari mbaya zaidi
picha
MADHARA YA KUFANYA TENDO LA NDOA NA MWANAMKE AKIWA KATIKA SIKU ZAKE.

Tendo la ndoa wakati wa siku za hedhi ni halia mbayo jamii nying zinakataza. Katika vitabu vya dini pia haviruhusu, hata ki saikolojia utaona kuwa sio jambo jema. Hata hivyo hapa ninakuletea madhara yake kiafya
picha
JINSI YA KUMSAIDIA MTOTO MDOGO ALIYEKABWA NA KITU KOONI

Mfano wa kitu kinachoweza kumaba mtoto kooni ni kama chagula kigumu, pesa ya sarafu, kijiwe na mengineyo. Endapo hili litataokea msaada wa haraka unahitajika kwa ulazima.
picha
HISTORIA YA MTUME MUHAMMAD ﷺ SOMO LA 47: NYUMBA YA ARQAM IBN ABI AL ARQAM NA KAZI ZAKE

Katika somo hili utakwenda kujifunza mchango mkubwa wa nyumba ya Arqam Ibn Abi AL Arqam katika historia nzima ya Uislamu
picha
HISTORIA YA MTUME MUHAMMAD ﷺ SOMO LA 46: HISTORIA FUPI YA AL-ARQAM IBN ABI AL-ARQAM

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuusu historia ya mmoja katika maswahaba wa mwanzoni na mwenye mchango mkubwa sana katika uislamu ambaye ni Al-Arqam ibn Abi al-Arqam
picha
HISTORIA YA MTUME MUHAMMAD ﷺ SOMO LA 45: MKAKATI WA KUFICHA IMANI KWA WASLAMU WAPYA

Katika somo hili utakwend akujifunza mkakati uliohusu kuficha imani ya uislamu kimatendo na kimaneno kwa kuhofia mateso ya Makafiri dhidi ya Waumini wapya
picha
HISTORIA YA MTUME MUHAMMAD ﷺ SOMO LA 44: HISTORIA FUPI YA MKE WA ABU LAHAB - ARWā BINT ḤARB

Katika somo hili utakwenda kujifunza kwa ufupi historia ya mmoja katika maadui wakubwa wa Uislamu wakati Mtume alipokuwa analingania dini.
picha
HISTORIA YA MTUME MUHAMMAD ﷺ SOMO LA 43: MATESO WALYOYAPATA WASLAMU

Katka somo hili utakwenda kujifunza kuhusu mateso ambayo wamepewa Waislamu ili kuachana na uislamu wao
picha
HISTORIA YA MTUME MUHAMMAD ﷺ SOMO LA 42: HISTORIA FUPI YA AL-NAḍR IBN AL-ḤāRITH IBN ʿALQAMA ADUI WA MTUME MUHAMMAD ﷺ

Katika somo hili utakwenda kujifunza historia ya Adui wa Mtume Muhammad ﷺ mwanzoni mwa kuenea kwa Uislamu Makkah.
picha
HISTORIA YA MTUME MUHAMMAD ﷺ SOMO LA 41: MBINU ZA KUKOMESHA KUENEA KWA UISLAMU

Katika somo hili utakwenda kujifunza mambo yaliyofanyika katika harakati za kukomesha kuenea kwa uislamu.
picha
HISTORIA YA MTUME MUHAMMAD ﷺ SOMO LA 40: HISTORIA FUPI YA WALIB IBN AL-MUGHIRA

Katika somo hili utajifunza kuhusu mmoja katika maadui wakubwa wa Mtume Muhammad wakati akilingania watu.



Page 6 of 211

Kuhusu Bongoclass


image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.