picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA MBEGU ZA MAFENESI

Katia post hii utakwend akujifunza namna ambavyo tunaweza kufaidika kwa kula mbegu za mafenesi mwilini. Fenesi ama jackfruit ni moja katika matunda yanayopatikana katika maeneo ya kitropic.
picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA MBEGU ZA MATANGO

Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula mbegu za matango
picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA MBEGU ZA MATIKITI

Katika post hii utajifunza faida za kula mbegu za tikiti. Baada ya post hii utajifunza kuwa mbegu za tikiti hazitupwi.
picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA MBEGU ZA MABOGA MWILINI

Katika somo hili utakwenda kujufunza faida za kiafya za kula mbegu za maboga katika mwili wako
picha
PHP SOMO LA 70: JINSI YA KUTUMA EMAIL YENYE HTML, PICHA NA ATTACHMENT

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf
picha
PHP SOMOLA 69: JINSI YA KUTUMA EMAIL KWA WATU ZAIDI YA MMOJA KWA KUTUMIA PHPMAILER

Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy
picha
PHP SOMO LA 68: JINSI YA KUTUMA EMAIL KWA KUTUMIA PHPMAILER

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.
picha
ZIJUWE KAZI NA FAIDA ZA VITAMINI C MWILINI

Vitamini C ni moja kati ya vitamini muhimu sana katika kuboresha ufanyaji kazi wa mfumowa kinga mwilini yaani immune system. Katika post hii utakwenda kujifunza kazi za vitamini C mwilini
picha
JINSI YA KUTWAHARISHA AINA MBALIMBALI ZA NAJISI KATIKA UISLAMU

Katika somo hili utakwedna kujifunza jinsi ya kutwaharisha aina mbalimbali za najisi kwa mujibu wa mafundiso ya Mtume Muhammad (s.a.w)
picha
DALILI ZA HOMA YA INI

Kaika post hii utakwenda kujifunz akuhusu dalili za homa ya ini. Dalili hizi sio lazima zitokee zote. Zinaweza zikatokea baadhi tu na ikatosha kuonjesha kuw auna homa ya ini.
picha
AINA ZA TWAHARA NA AINA ZA NAJISI

Katika post hii utakwenda kuzijuwa aina za twahara katika uislamu. Utaviona vigawanyo vya twahara kulingana na maulamaa wa Fiqh
picha
ZIJUWE KAZI ZA INI MWILINI

Katika somo hili na yanayofuata utajifunz akuhusu ini. Post hii ina muendelezo wa post zinazofuat. Katika mfululizo huuutajifunz akuhusu ini na maradhi yake na kujiking nayo.
picha
JINSI YA KUJILINDA NA MARADHI YA INI

Hapa nitakueleza namna ambavyounaweza kupunguza hatari ya kupata maradhi ya ini. Kwa njia hizi unaweza kujikina wewe na wengineo na maradhi haya hatari ya ini.
picha
YAJUWE MARADHI MBALMBALI YA INI NA CHANO CHAKE

Ini ni moja ya ogani za mwili ambazo husumbuliwa na maradhi hatari sana. Katika post hii utakwend akuyajuwa maradh hatari ambayo hushambulia ini. Pia utajifunza jinsi a kujikinga na maradhi hayo.
picha
HOMA YA INI NINI NINI, NA HUSABABISHWA NA NINI

Katika post hii utajifunza maana ya homa ya ini. Pia utajifunza chanzo kinachosababisha homa ya ini. Makala hii itakuwa endelevu hivyo usikose muendelezo wake.
picha
NINI MAANA YA TWAHARA KATIKA UISLAMU

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya twahara katika uislamu. Pia utakwenda kujifunza hukumu za twahara, aina za twahara na mambo mengineyo
picha
MATUNDA YENYE VITAMIN C KWA WINGI

Vitamin C ni katika vitamin vinavyosaidia sana mfumo wa Kinga kulinda mwili dhidi ya vimelea vya maradhi. Hapa nitakuletea orodha ya matunda ambayo yana vitamini C kwa wingi.
picha
NJIA YA HARAKA KU DOWNLOAD VIDEO ZA YOUTUBE

Katika post hii utakwenda kujifunza hatuwa kwa hatuwa za ku download video za Youtube kwa haraka.
picha
VYAKULA VILIVYO HATARI KWA AFYA YA MENO

Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno.
picha
VIGEZO VYA KUZINGATIA UNAPOTAKA KUNUNUA KOMPYUTA KWA AJILI YA PROGRAMMING

hapa ninakuletea vitu vya kuangalia unapotaka kununua kompyuta kwa ajili ya kufanyia programming. Ama kutengeneza software mbalimbali.
picha
UTOFAUTI WA DEEP WEB, DARK WEB NA SURFACE WEB

Umeshawahi kujiuliza Nini hasa tofauti kati ya deep web, surface web na dark web.
picha
JINSI YA KUEPUKA MAGONJWA YA FIGO

Figo ni moja katika orgn zenye umuhimu sana mwilini na endapo itaatirika kwa namna yeyote ile, madhara makubwa kwenye mwili yanaweza kutokea na hata kifo. Katika post hii utajifunza jinsi ya kulinda mwili wako dhidi ya matatizo ya figo
picha
NINI MAANA YA AFYA

Maana ya afya ni pana sana tofauti na vile ambavyo sisi tunajuwa. Afya inahusisha mambo mengi sana.
picha
CHANGAMOTO WANAZOKUTANA NAZO WANAFUNZI WA TEHAMA

Hizi ni baadhi ya changamoto wanazokutana nazo wanafunzi wa tehama kwenye darasa la Bongoclass



Page 6 of 202

Kuhusu Bongoclass


image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.