Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni njia ambazo mtu anaweza kutumia Ili kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.zifuatazo ni njia zinazoweza kutumika kama mtu amepata uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
1. Kufanya usafi baada ya kujamiiana.
Mwanamke na mwanaume wanapomaliza kujamiiana wanapaswa kufanya usafi hasa kwa mwanamke Ili kuweza kutoa bakteria ambao wanakuwa wameingia kwenye uke kwa kufat hivyo mwanamke anaweza kuepuka kuambukizwa magonjwa yanayosababisha uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, kwa hiyo ni lazima kufanya usafi baada ya kujamiiana.
2. Kuepuka kutumia sabuni za kunukia na marashi kwenye sehemu za mwili.
Kuepuka kutumia sabuni za kunukia na za Siri kwenye sehemu za Siri kwa sababu vitu kama hivyo usababisha kuua bakteria wazuri na kubakiza bakteria wabaya ambao uleta maambukizi kwenye kwa sababu bakteria wazuri wanazuia maambukizi ya Magonjwa na kubakiza wabaya ambao usababisha kila ugonjwa na hatimaye maambukizi kuongezeka, kwa hiyo kwa kutumia sabuni za kawaida hazina kemikali nyingi ambazo uharibifu bakteria wazuri .
3. Unapomaliza kukojoa tu hakikisha unasafisha vizuri Ili kuhakikisha kuwa wadudu wameisha kwenye mwili, unapomaliza kukojoa tu unapaswa kupangusa vizuri Ili kuepuka bakteria kuendelea kuwepo kwenye kibofu Cha mkojo na kuendelea kusababisha maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.
4. Ukihisi kuwa una mkojo hakikisha unakojoa Ili kuacha hali ya bakteria kuendelea kuwepo kwenye sehemu mbalimbali za mwili, kwa sababu bakteria wakiendelea kuwepo kwenye kibofu Cha mkojo wanazaliana na kukua na baadae kuleta maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo na hatimaye kuleta uvimbe Ila tukisafisha vizuri tunaweza kuepusha magonjwa ya uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
5. Safisha kutoka mbele kwenda nyuma.
Tunaposafisha tunapaswa kusafisha kutoka mbele kwenda nyuma Ili kuepuka kutoa bakteria kutoka kwenye sehemu za kinyesi kwenda sehemu za kibofu Cha mkojo, kwa hiyo tunapaswa kusafisha kutoka mbele kwenda nyuma kwa Sababu bakteria wa kwenye kinyesi akiungua kwenye kibofu Cha mkojo anaketa maambukizi kisha uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
6. Daima epuka sana kuvaa nguo zilizobana kwenye sehemu za Siri kwa Sababu hewa hauwezi kupita na kusababisha bakteria kukaa kwenye sehemu mbalimbali za kibofu Cha mkojo lakini tukivaa nguo ambazo hazibani tunaruhusu hewa kuingia kwenye sehemu za Siri na bakteria wanaweza kutoka kwa urahisi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu Maambukizi kwenye tumbo na kwenye utumbo mdogo,ni Maambukizi ambayo uwa kwenye tumbo na utumbo mdogo.
Soma Zaidi...Kabla ya kubanwa zaidi na pumu, kuna dalili za awali zinzznza kujitokeza, na hapo ndipo utakapoanza kuchukuwa tahadhari. Makala hii itakwenda kukujulisha zaidi kuhusu dalili hizo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma anayopaswa kupata mgonjwa wa ndengue, kwa sababu tunafahamu wazi Ugonjwa huu hauna dawa ila kuna huduma muhimu ambayo anaweza kupata na akaendelea vizuri.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza zaidi khusu dalili za ukimwi ama HIV kwa wanaume
Soma Zaidi...SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO Sababu za kawaida za vidonda vya tumbo ni maambukizo na bakteria Helicobacter pylori (H.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu minyoo na athari zao kiafya
Soma Zaidi...Selulitis ni maambukizi ya ngozi ya bakteria ya kawaida, ambayo yanaweza kuwa mbaya. Cellulitis inaonekana kama sehemu nyekundu ya ngozi iliyovimba na inahisi joto na laini. Inaweza kuenea kwa kasi kwa sehemu nyingine za mwili. Cellulitis haienei kuto
Soma Zaidi...