Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni njia ambazo mtu anaweza kutumia Ili kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.zifuatazo ni njia zinazoweza kutumika kama mtu amepata uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
1. Kufanya usafi baada ya kujamiiana.
Mwanamke na mwanaume wanapomaliza kujamiiana wanapaswa kufanya usafi hasa kwa mwanamke Ili kuweza kutoa bakteria ambao wanakuwa wameingia kwenye uke kwa kufat hivyo mwanamke anaweza kuepuka kuambukizwa magonjwa yanayosababisha uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, kwa hiyo ni lazima kufanya usafi baada ya kujamiiana.
2. Kuepuka kutumia sabuni za kunukia na marashi kwenye sehemu za mwili.
Kuepuka kutumia sabuni za kunukia na za Siri kwenye sehemu za Siri kwa sababu vitu kama hivyo usababisha kuua bakteria wazuri na kubakiza bakteria wabaya ambao uleta maambukizi kwenye kwa sababu bakteria wazuri wanazuia maambukizi ya Magonjwa na kubakiza wabaya ambao usababisha kila ugonjwa na hatimaye maambukizi kuongezeka, kwa hiyo kwa kutumia sabuni za kawaida hazina kemikali nyingi ambazo uharibifu bakteria wazuri .
3. Unapomaliza kukojoa tu hakikisha unasafisha vizuri Ili kuhakikisha kuwa wadudu wameisha kwenye mwili, unapomaliza kukojoa tu unapaswa kupangusa vizuri Ili kuepuka bakteria kuendelea kuwepo kwenye kibofu Cha mkojo na kuendelea kusababisha maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.
4. Ukihisi kuwa una mkojo hakikisha unakojoa Ili kuacha hali ya bakteria kuendelea kuwepo kwenye sehemu mbalimbali za mwili, kwa sababu bakteria wakiendelea kuwepo kwenye kibofu Cha mkojo wanazaliana na kukua na baadae kuleta maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo na hatimaye kuleta uvimbe Ila tukisafisha vizuri tunaweza kuepusha magonjwa ya uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
5. Safisha kutoka mbele kwenda nyuma.
Tunaposafisha tunapaswa kusafisha kutoka mbele kwenda nyuma Ili kuepuka kutoa bakteria kutoka kwenye sehemu za kinyesi kwenda sehemu za kibofu Cha mkojo, kwa hiyo tunapaswa kusafisha kutoka mbele kwenda nyuma kwa Sababu bakteria wa kwenye kinyesi akiungua kwenye kibofu Cha mkojo anaketa maambukizi kisha uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
6. Daima epuka sana kuvaa nguo zilizobana kwenye sehemu za Siri kwa Sababu hewa hauwezi kupita na kusababisha bakteria kukaa kwenye sehemu mbalimbali za kibofu Cha mkojo lakini tukivaa nguo ambazo hazibani tunaruhusu hewa kuingia kwenye sehemu za Siri na bakteria wanaweza kutoka kwa urahisi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO Kuachwa kwa vidonda vya tumbo bila kutibiwa, vinaweza kusababisha: Kutokwa na damu kwa ndani.
Soma Zaidi...Zijuwe sababu kuu zinazokufanya ukahisi maumivu makali ya tumbo kwa chini upande wa kushoto
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa macho, ni ugonjwa ambao ushambulia zaidi sehemu za nje za macho ambazo kwa kawaida uitwa conjunctiva na cornea hizi sehemu zikipata maambukizi zisipotibiwa mapema uweza kusababisha upofu kwa mgonjwa.
Soma Zaidi...NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO Ili kugundua vidonda, daktari wako anaweza kwanza kuchukua historia ya matibabu na kufanya uchunguzi wa mwili.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kujibu swali linalosema je ni bakteria aina gani husababisha igonjwa wa pumu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu tahadhari za kuchukua ili kujikinga na UTI
Soma Zaidi...DALILI ZA HIV ZA MWANZO NA DALILI ZA UKIMWI ZA MWANZO Kama ilivyo magonjwa mengi hupitia hatua kadha kadha na kuonyesha dalili kadha katika hatua hizo.
Soma Zaidi...NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO Kwa kuwa tumekwisha kuona namna ambavyo minyoo huenezwa, hivyo basi ni rahisi sasa kutaja namna ya kubambana na minyoo.
Soma Zaidi...Kabla ya kubanwa zaidi na pumu, kuna dalili za awali zinzznza kujitokeza, na hapo ndipo utakapoanza kuchukuwa tahadhari. Makala hii itakwenda kukujulisha zaidi kuhusu dalili hizo.
Soma Zaidi...Selulitis ni maambukizi ya ngozi ya bakteria ya kawaida, ambayo yanaweza kuwa mbaya. Cellulitis inaonekana kama sehemu nyekundu ya ngozi iliyovimba na inahisi joto na laini. Inaweza kuenea kwa kasi kwa sehemu nyingine za mwili. Cellulitis haienei kuto
Soma Zaidi...