Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni njia ambazo mtu anaweza kutumia Ili kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.zifuatazo ni njia zinazoweza kutumika kama mtu amepata uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
1. Kufanya usafi baada ya kujamiiana.
Mwanamke na mwanaume wanapomaliza kujamiiana wanapaswa kufanya usafi hasa kwa mwanamke Ili kuweza kutoa bakteria ambao wanakuwa wameingia kwenye uke kwa kufat hivyo mwanamke anaweza kuepuka kuambukizwa magonjwa yanayosababisha uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, kwa hiyo ni lazima kufanya usafi baada ya kujamiiana.
2. Kuepuka kutumia sabuni za kunukia na marashi kwenye sehemu za mwili.
Kuepuka kutumia sabuni za kunukia na za Siri kwenye sehemu za Siri kwa sababu vitu kama hivyo usababisha kuua bakteria wazuri na kubakiza bakteria wabaya ambao uleta maambukizi kwenye kwa sababu bakteria wazuri wanazuia maambukizi ya Magonjwa na kubakiza wabaya ambao usababisha kila ugonjwa na hatimaye maambukizi kuongezeka, kwa hiyo kwa kutumia sabuni za kawaida hazina kemikali nyingi ambazo uharibifu bakteria wazuri .
3. Unapomaliza kukojoa tu hakikisha unasafisha vizuri Ili kuhakikisha kuwa wadudu wameisha kwenye mwili, unapomaliza kukojoa tu unapaswa kupangusa vizuri Ili kuepuka bakteria kuendelea kuwepo kwenye kibofu Cha mkojo na kuendelea kusababisha maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.
4. Ukihisi kuwa una mkojo hakikisha unakojoa Ili kuacha hali ya bakteria kuendelea kuwepo kwenye sehemu mbalimbali za mwili, kwa sababu bakteria wakiendelea kuwepo kwenye kibofu Cha mkojo wanazaliana na kukua na baadae kuleta maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo na hatimaye kuleta uvimbe Ila tukisafisha vizuri tunaweza kuepusha magonjwa ya uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
5. Safisha kutoka mbele kwenda nyuma.
Tunaposafisha tunapaswa kusafisha kutoka mbele kwenda nyuma Ili kuepuka kutoa bakteria kutoka kwenye sehemu za kinyesi kwenda sehemu za kibofu Cha mkojo, kwa hiyo tunapaswa kusafisha kutoka mbele kwenda nyuma kwa Sababu bakteria wa kwenye kinyesi akiungua kwenye kibofu Cha mkojo anaketa maambukizi kisha uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
6. Daima epuka sana kuvaa nguo zilizobana kwenye sehemu za Siri kwa Sababu hewa hauwezi kupita na kusababisha bakteria kukaa kwenye sehemu mbalimbali za kibofu Cha mkojo lakini tukivaa nguo ambazo hazibani tunaruhusu hewa kuingia kwenye sehemu za Siri na bakteria wanaweza kutoka kwa urahisi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Zijuwe sababu za kutokea kwa vidonda vya tumbo. Sababu kuu za vidonda vya tumbo hizi hapa
Soma Zaidi...Mapacha walioungana ni watoto wawili wanaozaliwa wakiwa wameunganishwa kimwili. Mapacha walioungana hukua wakati kiinitete cha mapema kinapojitenga na kuunda watu wawili. Ingawa vijusi viwili vitakua kutoka kwa kiinitete hiki, wataendelea kushikamana mar
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna Maambukizi kwenye milija na ovari ambayo yanatokea,Mara nyingi usababisha na bakteria wanaoweza kuingia kupitia sehemu mbalimbali.
Soma Zaidi...Muda ambao maambukizi ya virusi vya ukimwi kuonyesha dalili unaweza kutofautiana kutika mtu hadi mwingine.
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi njia mbali mbali ambazo uweza kitumiwa na wataalamu ili kuweza kugundua tatizo la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia mtoto akiwa na ugonjwa wa UTI.
Soma Zaidi...Makala hii itakufundisha maradho makuu ya macho, matibabu yake na tiba zake
Soma Zaidi...HOMA YA MANJANO (yellow fever)Homa ya manjano ni maradhi yanayosababishwa na virusi na husambazwa na mbu.
Soma Zaidi...Ijuwe historia ya VVu, Dalili zake, tiba na vipimo vyake pia njia za kueneza VVU na UKIMWI
Soma Zaidi...Vidonda vya tumbo ni vidonda vilivyo wazi vinavyotokea kwenye utando wa ndani wa umio, tumbo na sehemu ya juu ya utumbo wako. Dalili ya kawaida ya Peptic ulcer ni maumivu ya tumbo. Vidonda vya tumbo ni pamoja na: Vidonda vya tumbo vinavyotokea ndani
Soma Zaidi...