Funga za kafara

Funga za kafara

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

    -    Ni funga anazolazimika muislamu kufunga ili ziwe kitubio au fidia baada ya kutenda  kosa fulani.

 

  1.   Kufunga miezi miwili mfululizo kwa muislamu aliyemuua mtu kwa bahati mbaya na akakosa mali ya kulipa fidia.

Rejea Qur’an (4:92).

  1.   Kufunga miezi miwili mfululizo kwa muislamu aliyemsusa mkewe kwa kumfananisha na mama mzazi wake.

Rejea Qur’an (58:1-4).

 

  1.   Kufunga siku tatu mfululizo kama kafara kwa muislamu aliyevunja kiapo.

Rejea Qur’an (5:89).

 

  1.    Kufunga miezi miwili mfululizo kwa mume na mke waliofanya jimai (tendo la ndoa) mchana wa mwezi wa Ramadhani.

 

  1.    Kufunga kama kitubio cha muislamu aliyewinda na hali yuko katika Ihram.

-    Idadi ya siku inategemea na thamani ya kile alichokiua (alichokiwinda).

-    Kama hana uwezo wa kufunga, atatoa fidia ya mbuzi au kondoo.

      Rejea Qur’an (5:95).

 

  1.    Kufunga siku 10, tatu akiwa Makkah na 7 baada ya kurejea nyumbani kwa muislamu aliyevunja miiko ya Ihram.

-    Kama hana uwezo wa kufunga, atafidia kwa kuchinja mbuzi au kondoo.

Rejea Qur’an (2:196).

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 2383

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Siku zilizoharamishwa kufunga Sunnah
Siku zilizoharamishwa kufunga Sunnah

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Ni nini maana ya swala
Ni nini maana ya swala

Post hii inakwenda kukugundisha kuhusu maana halisi ya ibada ya swala.

Soma Zaidi...
Nguzo za swaumu (kufinga)
Nguzo za swaumu (kufinga)

Hapa utajifunza nguzo kuu za swaumu. Kama hazitatimia nguzo hizi basi swaumu itakuwa ni batili.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa funga ya ramadhan
Umuhimu wa funga ya ramadhan

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
 Riba na Madhara Yake Katika Jamii
Riba na Madhara Yake Katika Jamii

- Riba ni kipato chochote kile cha ziada kutokana na mkopo au mtaji bila kushiriki katika faida au hasara.

Soma Zaidi...
Mgogoro wa kuandama kwa mwezi, Je mwezi wa Kimataifa ama kila Mji na mwezi wake?
Mgogoro wa kuandama kwa mwezi, Je mwezi wa Kimataifa ama kila Mji na mwezi wake?

Mwezi ukionekana sehemu moja, Waislamu wote ulimwenguni watalazimika kufunga?

Soma Zaidi...
Ni kwa nini lengo la Funga na swaumu halifikiwi na wafungaji?
Ni kwa nini lengo la Funga na swaumu halifikiwi na wafungaji?

Kwa nini Lengo la Funga halifikiwi na Wafungaji Wengi?

Soma Zaidi...