picha

Funga za kafara

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

    -    Ni funga anazolazimika muislamu kufunga ili ziwe kitubio au fidia baada ya kutenda  kosa fulani.

 

  1.   Kufunga miezi miwili mfululizo kwa muislamu aliyemuua mtu kwa bahati mbaya na akakosa mali ya kulipa fidia.

Rejea Qur’an (4:92).

  1.   Kufunga miezi miwili mfululizo kwa muislamu aliyemsusa mkewe kwa kumfananisha na mama mzazi wake.

Rejea Qur’an (58:1-4).

 

  1.   Kufunga siku tatu mfululizo kama kafara kwa muislamu aliyevunja kiapo.

Rejea Qur’an (5:89).

 

  1.    Kufunga miezi miwili mfululizo kwa mume na mke waliofanya jimai (tendo la ndoa) mchana wa mwezi wa Ramadhani.

 

  1.    Kufunga kama kitubio cha muislamu aliyewinda na hali yuko katika Ihram.

-    Idadi ya siku inategemea na thamani ya kile alichokiua (alichokiwinda).

-    Kama hana uwezo wa kufunga, atatoa fidia ya mbuzi au kondoo.

      Rejea Qur’an (5:95).

 

  1.    Kufunga siku 10, tatu akiwa Makkah na 7 baada ya kurejea nyumbani kwa muislamu aliyevunja miiko ya Ihram.

-    Kama hana uwezo wa kufunga, atafidia kwa kuchinja mbuzi au kondoo.

Rejea Qur’an (2:196).

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/01/06/Thursday - 01:59:53 am Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 3238

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Hukumu ya talaka iliyotolewa kabla ya tendo la ndoa

Endapo mtu atamuacha mke wake kabla hata ya kukutana kimwili, basi talaka hii itahukumiwa kwa namna hii.

Soma Zaidi...
Kumswalia maiti, masharti ya swala ya maiti

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia na kupunguza zinaa katika jamii

(ii) Hatua za Kuzuia Uzinzi JamiiUislamu pamoja na kutoa mafunzo ya maadii yanayomuwezesha mtu binafsi ajiepushe kwa hiari yake na kitendo kibaya cha zinaa, umechukua hatua mbali mbali ambazo huifanya zinaa isiwe kitendo chepesi katika jamii.

Soma Zaidi...
Maana ya shahada

Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Mafunzo ya swala

Jifunze namna ya kuswali, zijuwe aina za swala na ujifunze masharti ya swala, kwa nini swala hazijibiwi? nini kifanyike?

Soma Zaidi...
Mambo yaliyo haramu kwa mwenye hedhi na nifasi

Katika post hii utakwenda kujifunza mambo ambayo ni haramu kwa mwanamke aliye na hedhi na nifasi

Soma Zaidi...
Kutoa zakat

Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...