Menu



Madhara ya kichaa cha mbwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtu hajatibiwa ugonjwa wa kichaa cha mbwa.

Madhara ya kichaa cha mbwa.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kwamba kama Dalili za ugonjwa wa kichaa cha mbwa zimejitokeza na kabla yake hapakuwepo matibabu yoyote ambayo yameshakwisha kufanyika kuna hatari na pia madhara yafuatayo yanaweza kutokea kwa mgonjwa.

 

 

2. Joto la mwili kushuka ambapo kwa kitaalamu huitwa hypothermia,joto ushuka.

kwa sababu ya kuenea kwa virusi katika sehemu mbalimbali za mwili na pia kwa kipindi hiki ni vigumu sana kwa mgonjwa kupona kwa hiyo tiba ni muhimu tu baayys kung'atwa na mbwa.

 

3. Maumivu makali kwa mgonjwa inawezekana kwenye sehemu ambayo imeathirika au kwenye mwili mzima hasa kama maambukizi yamesambaa mwili mzima, na pia wadudu wakiwa wengi ushambulia sana kwenye mfumo wa kupitishia chakula hasa kwenye koo hali inayosababisha maumivu makali wakati wa kumeza.

 

4. Maambukizi kwenye mishipa ya moyo,kwa sababu baada ya wadudu kusambaa kwenye mwili mzima pia wanaingia kwenye mfumo wa damu na kuingia kwenye mishipa ya moyo na kusababisha Maambukizi ambayo upelekea moyo kusukuma damu kuwe kwa shida.

 

5. Upumuaji kuwa wa shida hasa kwa watoto na wazee.

Kwa kawaida wadudu wakisambaa kwenye sehemu mbalimbali za mwili uingia pia kwenye mfumo wa hewa na kusababisha Maambukizi hali ambayo Usababisha Mgonjwa kupumua kwa shida hasa hasa kwa watoto na wazee ndio Upata matatizo zaidi.

 

6. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha usalama kwa watu kwa kutoa chanjo kwa mbwa wanaoishi kwenye makazi ya watu pia na kuhakikisha kupata chanjo kama umeundwa na mbwa ili kuepuka kupata madhara ya kichaa cha mbwa.

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 1744


Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Njia za kuzuia upele
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia upele, ni njia ambazo utumiwa Ili kupunguza tatizo la upele kwenye jamii, kwa hiyo jamii inapaswa kutumia njia hizi Ili kuweza kupambana na ugonjwa huu ambao unatibika. Soma Zaidi...

NJIA ZA KUKABILIANA NA PRESHA YA KUSHUKA
1. Soma Zaidi...

Njia za kupambana na fangasi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na fangasi Soma Zaidi...

Njia za kufanya ukiwa na tatizo la uti wa mgongo.
Posti hii inahusu zaidi Njia za kufanya Ili kupunguza maumivu ya tatizo la uti wa mgongo, ni njia unazopaswa kufanya pale unapokuwa na tatizo la uti wa Mgongo. Soma Zaidi...

Habari za leo ndugu zangu mimi Ni dalili zipi hasa za awali zinazoashiria umeambukizwa ukimwi
Anataka kujuwa dalili za awali za kujuwa kuwa umeathirika na UKIMWI Soma Zaidi...

Sababu kuu za maumivu ya tumbo chini ya kitomvu, Tumbo la ngiri na chango
Makala hii inakwenda kukuletea somo linalozungumzia maumivu ya tumbo chini ya kitomvu, na tumbo la ngiri kwa wanaume, na tumbo la chango kwa wanawake Soma Zaidi...

Madhara ya kushindwa kupitisha mkojo.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kushindwa kupitisha mkojo, ni madhara makubwa yanayotokea kwa mtu iwapo akishindwa kupitisha mkojo. Soma Zaidi...

Dalili za uchovu wa joto mwilini.
Uchovu wa joto ni hali ambayo dalili zake zinaweza kujumuisha kutokwa na jasho kubwa na mapigo ya haraka, ambayo ni matokeo ya joto la mwili wako. Ni mojawapo ya magonjwa matatu yanayohusiana na joto, huku tumbo la joto likiwa kali zaidi na Kihar Soma Zaidi...

Mbinu za kuzuia na kuepukana na maradhi ya uti wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepukana na tatizo la ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo. Soma Zaidi...

Dalili za kuvimbiwa kwa watoto.
Kuvimbiwa kwa watoto ni shida ya kawaida. Kuvimbiwa kwa watoto mara nyingi huonyeshwa na kinyesi kisicho kawaida au kinyesi ngumu na kavu. Soma Zaidi...