Madhara ya kichaa cha mbwa


image


Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtu hajatibiwa ugonjwa wa kichaa cha mbwa.


Madhara ya kichaa cha mbwa.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kwamba kama Dalili za ugonjwa wa kichaa cha mbwa zimejitokeza na kabla yake hapakuwepo matibabu yoyote ambayo yameshakwisha kufanyika kuna hatari na pia madhara yafuatayo yanaweza kutokea kwa mgonjwa.

 

 

2. Joto la mwili kushuka ambapo kwa kitaalamu huitwa hypothermia,joto ushuka.

kwa sababu ya kuenea kwa virusi katika sehemu mbalimbali za mwili na pia kwa kipindi hiki ni vigumu sana kwa mgonjwa kupona kwa hiyo tiba ni muhimu tu baayys kung'atwa na mbwa.

 

3. Maumivu makali kwa mgonjwa inawezekana kwenye sehemu ambayo imeathirika au kwenye mwili mzima hasa kama maambukizi yamesambaa mwili mzima, na pia wadudu wakiwa wengi ushambulia sana kwenye mfumo wa kupitishia chakula hasa kwenye koo hali inayosababisha maumivu makali wakati wa kumeza.

 

4. Maambukizi kwenye mishipa ya moyo,kwa sababu baada ya wadudu kusambaa kwenye mwili mzima pia wanaingia kwenye mfumo wa damu na kuingia kwenye mishipa ya moyo na kusababisha Maambukizi ambayo upelekea moyo kusukuma damu kuwe kwa shida.

 

5. Upumuaji kuwa wa shida hasa kwa watoto na wazee.

Kwa kawaida wadudu wakisambaa kwenye sehemu mbalimbali za mwili uingia pia kwenye mfumo wa hewa na kusababisha Maambukizi hali ambayo Usababisha Mgonjwa kupumua kwa shida hasa hasa kwa watoto na wazee ndio Upata matatizo zaidi.

 

6. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha usalama kwa watu kwa kutoa chanjo kwa mbwa wanaoishi kwenye makazi ya watu pia na kuhakikisha kupata chanjo kama umeundwa na mbwa ili kuepuka kupata madhara ya kichaa cha mbwa.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Njia za kuzuia ugonjwa wa kisonono
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo utumiwa Ili kuweza kuzuia kuwepo ugonjwa wa kisonono, kwa kufuata njia hizi ugonjwa huu wa kisonono unaweza kupungua kwa kiasi au kuisha kabisa. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa za Doxorubicin na Daunorubicin
Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin and Daunorubicin katika kupambana na kansa. Soma Zaidi...

image Je unazijuwa dalili za Ukimwi na HIV?
Huwenda ukawa ni moja kati ya watu wanaotaka kujuwa juu ya dalili za ukimwi. Kama wewe ni katika watu hawa tambuwa kuwa kuna dalili za VVU (hiv) na dalili za ukimwi. Makala hii itakwenda kukuletea dalili kuu za mwanzo za VVU na HIV kuanzia wiki tatu za mwanzo hadi kufikia miezi mitatu. Mwisho wa makala hii utaweza kujifunza mambo yafuatayo:- Soma Zaidi...

image Magonjwa ya zinaa
Posti hii inahusu magonjwa ya zinaa, ni magonjwa yanayosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kujamiiana pasipo kutumia kinga au kwa lugha nyingine tunaita ngono zembe. Soma Zaidi...

image Tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID
Posti hii inahusu zaidi tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID, tunaita tiba ya awali kwa sababu baada ya kupima na kugunduliwa kwamba una tatizo au changamoto ya PID ni vizuri kutumia tiba hiii baadae ndipo utumie dawa. Soma Zaidi...

image Walio katika hatari ya kupata homa ya inni
Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata homa ya ini,kwa sababu ya hali zao mbalimbali wanaweza kupata ugonjwa huu. Soma Zaidi...

image Kwani minyoo hukaa sehem gani ya mwili?
Minyoo ni katika parasite, yaani ni viumbe wanaokaa kwenye mwili na kujipatia chakula chake humo. Katika miili yetu minyoo huishi na kula kuzaliana na kukuwa. Kama unahitaji kujuwa wapi hasa wanakaa mwilini mwetu, endelea na makala hii Soma Zaidi...

image Njia za kusambaa kwa ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine
Posti hii inahusu zaidi jinsi magonjwa yanavyosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. Soma Zaidi...

image Visababishi vya ugonjwa wa Varicose vein
Posti hii inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya ugonjwa wa vericose veini, ni visababishi mbalimbali ambavyo utokea kwenye mtindo wa maisha kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Bawasili
Posti hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa Bawasili, ni ugonjwa unaotokea kwenye njia ya haja kubwa hali ambayo upelekea kuwepo kwa uvimbe au nyama ambazo uonekana hadi nje, kwa lugha ya kitaalamu ujulikana kama haemorrhoid au pokea. Soma Zaidi...