Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtu hajatibiwa ugonjwa wa kichaa cha mbwa.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kwamba kama Dalili za ugonjwa wa kichaa cha mbwa zimejitokeza na kabla yake hapakuwepo matibabu yoyote ambayo yameshakwisha kufanyika kuna hatari na pia madhara yafuatayo yanaweza kutokea kwa mgonjwa.
2. Joto la mwili kushuka ambapo kwa kitaalamu huitwa hypothermia,joto ushuka.
kwa sababu ya kuenea kwa virusi katika sehemu mbalimbali za mwili na pia kwa kipindi hiki ni vigumu sana kwa mgonjwa kupona kwa hiyo tiba ni muhimu tu baayys kung'atwa na mbwa.
3. Maumivu makali kwa mgonjwa inawezekana kwenye sehemu ambayo imeathirika au kwenye mwili mzima hasa kama maambukizi yamesambaa mwili mzima, na pia wadudu wakiwa wengi ushambulia sana kwenye mfumo wa kupitishia chakula hasa kwenye koo hali inayosababisha maumivu makali wakati wa kumeza.
4. Maambukizi kwenye mishipa ya moyo,kwa sababu baada ya wadudu kusambaa kwenye mwili mzima pia wanaingia kwenye mfumo wa damu na kuingia kwenye mishipa ya moyo na kusababisha Maambukizi ambayo upelekea moyo kusukuma damu kuwe kwa shida.
5. Upumuaji kuwa wa shida hasa kwa watoto na wazee.
Kwa kawaida wadudu wakisambaa kwenye sehemu mbalimbali za mwili uingia pia kwenye mfumo wa hewa na kusababisha Maambukizi hali ambayo Usababisha Mgonjwa kupumua kwa shida hasa hasa kwa watoto na wazee ndio Upata matatizo zaidi.
6. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha usalama kwa watu kwa kutoa chanjo kwa mbwa wanaoishi kwenye makazi ya watu pia na kuhakikisha kupata chanjo kama umeundwa na mbwa ili kuepuka kupata madhara ya kichaa cha mbwa.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Saratani ya ini ni Saratani inayoanzia kwenye seli za ini lako.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wenye uchungu wa mishipa midogo ya damu kwenye ngozi yako ambayo hutokea kutokana na ongezeko la joto la ghafla kutokana na halijoto ya baridi. Pia inajulikana kama pernio, chilblain inaweza kusababisha kuwasha,
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia au hatua tatu muhimu anazopitia Mgonjwa wa gauni, kuanzia kwa Maambukizi mpaka kwenye hatua ya mwisho hasa kama Ugonjwa huu haujatibiwa mapema.
Soma Zaidi...Swali langu: Ukiwa na areji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?
Soma Zaidi...Malaria inaweza kumpata mtu yeyote bila ya kujali mri.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi matibabu ya kutibu ugonjwa wa maumivu chini ya kitovu.
Soma Zaidi...Bila shaka umeshawahi kujiuliza kuwa je mate yanaambukiza HIV ama laa. Na kama hayaambukizi ni kwa sababu gani. Sio mate tu pia kuhusu jasho kama pia linaweza kuambukiza ukimwi ama HIV. Wapo pia wanajiuliza kuhusu mkojo kama unaweza kuambukizwa HIV. Kar
Soma Zaidi...Virusi vya Ebola ni virusi vinavyohusiana vinavyosababisha Homa za hemorrhagic magonjwa yanayoambatana na kutokwa na damu nyingi (kuvuja damu), viungo kushindwa kufanya kazi na, mara nyingi, kifo. Virusi vya Ebola na virusi huishi kwa wanyama, na wanad
Soma Zaidi...