MADHARA YA KICHAA CHA MBWA


image


Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtu hajatibiwa ugonjwa wa kichaa cha mbwa.


Madhara ya kichaa cha mbwa.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kwamba kama Dalili za ugonjwa wa kichaa cha mbwa zimejitokeza na kabla yake hapakuwepo matibabu yoyote ambayo yameshakwisha kufanyika kuna hatari na pia madhara yafuatayo yanaweza kutokea kwa mgonjwa.

 

 

2. Joto la mwili kushuka ambapo kwa kitaalamu huitwa hypothermia,joto ushuka.

kwa sababu ya kuenea kwa virusi katika sehemu mbalimbali za mwili na pia kwa kipindi hiki ni vigumu sana kwa mgonjwa kupona kwa hiyo tiba ni muhimu tu baayys kung'atwa na mbwa.

 

3. Maumivu makali kwa mgonjwa inawezekana kwenye sehemu ambayo imeathirika au kwenye mwili mzima hasa kama maambukizi yamesambaa mwili mzima, na pia wadudu wakiwa wengi ushambulia sana kwenye mfumo wa kupitishia chakula hasa kwenye koo hali inayosababisha maumivu makali wakati wa kumeza.

 

4. Maambukizi kwenye mishipa ya moyo,kwa sababu baada ya wadudu kusambaa kwenye mwili mzima pia wanaingia kwenye mfumo wa damu na kuingia kwenye mishipa ya moyo na kusababisha Maambukizi ambayo upelekea moyo kusukuma damu kuwe kwa shida.

 

5. Upumuaji kuwa wa shida hasa kwa watoto na wazee.

Kwa kawaida wadudu wakisambaa kwenye sehemu mbalimbali za mwili uingia pia kwenye mfumo wa hewa na kusababisha Maambukizi hali ambayo Usababisha Mgonjwa kupumua kwa shida hasa hasa kwa watoto na wazee ndio Upata matatizo zaidi.

 

6. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha usalama kwa watu kwa kutoa chanjo kwa mbwa wanaoishi kwenye makazi ya watu pia na kuhakikisha kupata chanjo kama umeundwa na mbwa ili kuepuka kupata madhara ya kichaa cha mbwa.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    2 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    3 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    4 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    5 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    6 Jifunze fiqh    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Tatizo la tezi koo
Posti hii inahusu zaidi tatizo la tezi koo, ni tatizo ambalo uwapata watu mbalimbali ambapo Usababisha koo kuvimba na mgonjwa huwa na maumivu mbalimbali na pengine mgonjwa upata kikohozi kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye koo. Soma Zaidi...

image Madhara ya maumivu kwenye nyonga na kiuno.
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa matibabu kwenye nyonga na kiuno hayatafanyika. Soma Zaidi...

image Magonjwa ya zinaa
Posti hii inahusu magonjwa ya zinaa, ni magonjwa yanayosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kujamiiana pasipo kutumia kinga au kwa lugha nyingine tunaita ngono zembe. Soma Zaidi...

image Sababu za kuwepo kwa saratani ya inni.
Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za kuwepo kwa saratani ya ini, saratani hii imekuwa tishio kwa wengi ila ni vizuri kujua baadhi ya sababu ambazo uchangia sana kuwepo kwa tatizo hili la saratani ya inni. Soma Zaidi...

image Chanzo cha kiungulia
Post hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa kiungulia, kiungulia ni kitendo cha kupanda kwa gesi kutoka kwenye tumbo mpaka kwenye mdomo,hali uwasumbua wengi na kusababisha hali isiyo rafiki. Soma Zaidi...

image Upungufu wa homoni ya cortisol
Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni hii ya cortisol,hii ni homoni ambayo utokana na tezi glang(adrenal gland) kufanya kazi kupitiliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu, yaani wale watu ambao mda mwingi huwa wenye mawazo na pia Kuna dalili kama zifuatazo. Soma Zaidi...

image Uwepo wa asidi nyingi mwilini
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kuwepo kwa asidi nyingi mwilini hali uwasumbua watu wengi na kufikia kiasi cha kusababisha madhara mengine mawilini ikiwamo pamoja na kansa ya koo, ili kujua kama una wingi wa asildi mwilini unapaswa kujua dalili kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa kisonono
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisonono, ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu huitwa Neisseria gonococcal. Soma Zaidi...

image Visababishi vya ugonjwa wa Varicose vein
Posti hii inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya ugonjwa wa vericose veini, ni visababishi mbalimbali ambavyo utokea kwenye mtindo wa maisha kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

image Madhara ya kutotibu Ugonjwa wa homa ya utu wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu homa ya uti wa mgongo, kwa kuwa ugonjwa huu mara nyingi uathiri sehemu za kwenye ubongo kuna madhara ambayo yanaweza kutokea endapo Ugonjwa huu haujatibiwa mapema. Soma Zaidi...