Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za papai na umuhimu wake kiafya
Faida za mbegu za papai
Mbegu za papai mara nyingi huliwa baada ya kukaushwa na kusagwa kuwa unga, pia unaweza kuzikaanga kidogo au kuzichemsha
1. Husaidia mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kufanya kazi vyema
2. Hudhibiti ugonjwa wa saratani
3. hulinda Figo kufanya kazi vyema
4. Husaidia mwili katika kupambana na vijidudu vya maradhi
5. Husaidia kwa wenye kisukari
6. Husaidia kuondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini
7. Mbegu za papai zina virutubisho mbalimbali
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kitunguuu thaumu ni muhimu sana katika afya yako, je unazijuwa faida hizo? njoo pamoja nami
Soma Zaidi...Sababu za maumivu ya tumbo la chango wakati wa hedhi, nini ufanye na dalili za maumivu ya tumbo la chango
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukufundisha mambo mbalimbali na muhimu kuhusu afya ya uzazi
Soma Zaidi...Nauriza mjamzito kuvimba miguu na maziwa nini tatizo lake?
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha matatizo ya tezi dume zilizoshuka.
Soma Zaidi...