Katika somo hili, tutajifunza kuhusu CSS Variables, au Custom Properties. Utajifunza jinsi ya kuunda, kuitumia, na faida za kutumia variables katika CSS ili kuweka msimamizi mzuri wa rangi, ukubwa, na mitindo mingine ya kurudia-rudia.
CSS Variables ni njia ya kuhifadhi thamani ambazo zinaweza kutumika mara nyingi katika faili la CSS kwa njia rahisi na inayoruhusu kubadilika kwa haraka bila kuandika tena thamani hizo sehemu nyingi. Hii huifanya kazi na miradi mikubwa kuwa rahisi kusimamia na kurekebisha.
CSS Variables huanzishwa kwa kuandika jina la variable kuanzia na -- ndani ya selector (kawaida ndani ya :root ili ziwe globally accessible).
:root {
--main-color: #333;
--font-size: 16px;
}
Kutumia variable hufanywa kwa kutumia var() function.
body {
color: var(--main-color);
font-size: var(--font-size);
}
Kurahisisha mabadiliko: Badilisha thamani mahali moja, inabadilisha kila sehemu inayotumia variable hiyo.
Kurudia-rudia: Epuka kuandika rangi au ukubwa mara nyingi.
Dynamic: Variables zinaweza kubadilishwa hata kupitia JavaScript.
Inasaidia theming: Rahisi kubadilisha mitindo kwa mandhari tofauti.
:root {
--primary-bg: #005f73;
--secondary-bg: #0a9396;
--text-color: #94d2bd;
}
header {
background-color: var(--primary-bg);
color: var(--text-color);
padding: 20px;
}
button {
background-color: var(--secondary-bg);
color: white;
border: none;
padding: 10px 20px;
}
Unaweza pia kuweka thamani mbadala ukipotosha thamani ya variable.
p {
color: var(--non-existent-color, black);
}
Hii inafanya p kuwa na rangi black ikiwa --non-existent-color haipo.
CSS Variables ni zana muhimu sana kwa kuboresha usimamizi wa mitindo na kuwezesha ufanisi wa marekebisho kwenye miradi mikubwa ya CSS. Kutumia variables huongeza flexibility na kufanya code yako kuwa safi zaidi.
Tutajifunza kuhusu model ya kisanduku ya CSS, ambayo ni msingi wa kupanga na kuweka vipengele kwenye ukurasa.
CSS variable huanzishwa na nini mwanzoni mwa jina lake?
a) @
b) --
c) $
d) #
Jinsi gani unavyotumia variable katika CSS?
a) var[]
b) var()
c) variable()
d) use()
Variable zinazozikwa katika selector gani mara nyingi hufanya ziwe globally accessible?
a) body
b) .class
c) :root
d) #id
Unawezaje kuweka thamani mbadala katika var()?
a) Kwa kuweka thamani ya default kama parameter ya pili
b) Kwa kuandika variable mara mbili
c) Haiwezi kuweka thamani mbadala
d) Kwa kutumia default() function
Nini faida kuu ya kutumia CSS variables?
a) Kuongeza ukubwa wa faili la CSS
b) Kurahisisha marekebisho na usimamizi wa mitindo
c) Kubadilisha mitindo moja kwa moja tu kwenye HTML
d) Kutengeneza picha za CSS
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili, utajifunza vipimo vinavyotumika kwenye CSS kama vile px, em, rem, %, vw, na vh. Vipimo hivi hutumika kuweka ukubwa wa maandishi, padding, margin, urefu, na upana wa vipengele kwenye tovuti.
Soma Zaidi...Katika somo hili, tutajifunza kipengele kipya kinachoitwa if() function ndani ya CSS, kilichoanza kupatikana kwenye toleo la Chrome 137. Kipengele hiki kinaturuhusu kuandika mantiki ya masharti moja kwa moja kwenye property ya CSS, bila kutumia JavaScript wala media query zilizotawanyika. Tutajifunza pia aina za queries: media(), supports(), na style() pamoja na matumizi yao ya kivitendo kwenye tovuti. Mwisho, tutaeleza kwa kina kuhusu pointer na any-pointer.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutumia fonts za kipekee (custom fonts) katika tovuti kwa kutumia njia mbili kuu: Google Fonts na @font-face. Tutajifunza pia sababu za kutumia fonts maalum, faida zake, na jinsi ya kuzidhibiti kwenye CSS.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kudhibiti mwonekano wa maandishi kwa kutumia fonti kwenye CSS. Utajifunza jinsi ya kubadilisha aina ya fonti, ukubwa, mtindo, unene, na mpangilio wa maandishi ili yaweze kuonekana kwa mvuto na usomaji bora.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza tofauti kati ya margin na padding, kazi ya kila moja, jinsi ya kuzipima, na jinsi zinavyotumika kudhibiti nafasi ndani na nje ya elementi kwenye ukurasa wa HTML.
Soma Zaidi...Katika somo hili, utajifunza jinsi ya kutumia media queries kwa ajili ya kutengeneza tovuti zinazojibadilisha kulingana na ukubwa wa skrini. Tutazungumzia @media rules, breakpoints, na dhana ya mobile-first design.
Soma Zaidi...Somo hili linakuletea ufahamu wa kina juu ya CSS Transitions na Animations, likifafanua vipengele vyake muhimu, matumizi, na namna ya kutumia properties mbalimbali za animation kwa ufanisi katika kurahisisha muonekano na mtumiaji wa tovuti.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria za uandish wa css yaani syntax za css
Soma Zaidi...Katika somo hili, utajifunza kuhusu pseudo-classes kama :hover, :first-child, na :last-child, pamoja na pseudo-elements kama ::before, ::after, na ::selection. Hizi husaidia kubadili au kuongeza mitindo maalum kulingana na hali ya elementi au sehemu maalum ya elementi.
Soma Zaidi...Katika somo hili, utajifunza jinsi ya kudhibiti muonekano wa sehemu ya nyuma (background) ya HTML element kwa kutumia CSS. Utaweza kuongeza rangi, picha, kuweka picha zisirudiwarudiwe, na hata kusogeza picha kwenye maeneo tofauti ya ukurasa.
Soma Zaidi...