Uchunguzi wa kuharisha damu na tiba yake

Uchunguzi wa kuharisha damu na tiba yake

Posti hii inahusu zaidi uchunguzi wa kuharisha damu na Tiba yake, ni Ugonjwa ambao unaowashambulia sana watoto hasa wenye chini ya umri wa miaka mitano, kwa hiyo huoaugonjwa tunaweza kuutambua na kutibu kwa njia zifuatazo.

Download Post hii hapa

2.Tunapaswa kuangalia kama kiasi cha choo ni kidogo au kikubwa,pia tunapaswa kuangalia kama kiwango cha damu kwenye nchoo ni cha namna gani, pia tunapaswa kumwangalia mtoto kama ana homa au kuangalia kiasi cha Maumivu kwenye chini ya tumbo na kuangalia kama mtoto anakula.

 

3.Pia tunapaswa kuangalia kiasi cha maji mwilini kwa kuangalia Dalili kama vile mwili kubadilika, mapigo ya moyo kubwa kidogo kwa hiyo tunapaswa kuhakikisha kama Dalili za maji kuisha mwilini na kama zipo tunapaswa kutibu kiasi cha maji mwilini.

 

4.Kama kuna Maambukizi unapaswa kutibu maambukizi hayo kwa kutumia antibiotics zinazopaswa kutumika kwa kufanya hivyo tutaweza kutibu tatizo hili kwa hiyo dawa hizi tunapaswa kuzitumia kwa kufuata maagizo ya wataalamu wa afya.

 

5.Pia kama mtoto ameishiwa na maji mwilini tunapaswa kutibu tatizo hilo kwa kumpatia oral solution na kumpatia maji kwa kupitisha kwenye mishipa akiwa hospitali kwa hiyo hatupaswi kukuaa na mtoto anayeharisha damu nyumbani kwa sababu unaweza kukuta labda kuna Maambukizi kwenye utumbo kwa hiyo pindi tuonapo kinyesi chenye damu mpeleke Mgonjwa hospitalini mara moja kwa ajili ya huduma.

 

 

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 7042

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

vidonda vya tumbo
vidonda vya tumbo

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Je daktari hizo dalili zamwanzo za HIV hazioneshi kama mwili kupungua
Je daktari hizo dalili zamwanzo za HIV hazioneshi kama mwili kupungua

Dalili za HIV zina utofauti na dalili za UKIMWI. Kwani HIV huwezakuonyesha dalili wiki ya pili hadi ya sita baada ya kuathirika kisha zinapotea, lakini dalili za UKIMWI huwezakutokea baada ya miaka 5 hadi 10.

Soma Zaidi...
Je utambuzi wa maambukizi ya ukimwi hupatikana mda gani pale mtu anapoambukizwa
Je utambuzi wa maambukizi ya ukimwi hupatikana mda gani pale mtu anapoambukizwa

Kuna ukimwi na HIV na kila kimoja kina dalili zake na muda wa kuonyesha hizo dalili.

Soma Zaidi...
Dalili za minyoo na sababu zake
Dalili za minyoo na sababu zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo na sababu zake

Soma Zaidi...
Namna ya kuishi na vidonda vya tumbo
Namna ya kuishi na vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kuishi na vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Kukosa choo
Kukosa choo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za kukosa choo

Soma Zaidi...
ninaisi kma kunakitu kwenye koo alafu kuna ali ya weupe kwenye ulimi na Mashavu kwa ndan
ninaisi kma kunakitu kwenye koo alafu kuna ali ya weupe kwenye ulimi na Mashavu kwa ndan

Weupe kwenye ulimi unaweza kuwa ni hali ya kawaida. Weupe huu ukichanganyika na utandu huwenda ikaashiria uwepo wa hali fulani za kiafya.

Soma Zaidi...
fangasi, aina zao, dalili zao na matibabu yao
fangasi, aina zao, dalili zao na matibabu yao

Fangasi na Aina zao Fangasi wa kwenye kucha Fangasi wa Mapunye Fangasi aina ya candida Fangasi wa Mdomoni na kooni Fangasi wa kwenye uke Fangasi wanaoshambulia mfumo wa damu na ogran kama moyo, figo n.

Soma Zaidi...
Njia za kusambaa kwa ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine
Njia za kusambaa kwa ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine

Posti hii inahusu zaidi jinsi magonjwa yanavyosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

Soma Zaidi...
Ishara na dalilili za Mtoto mwenye kuhara
Ishara na dalilili za Mtoto mwenye kuhara

postii hii inazungumzia dalilili za Mtoto mwenye Kuhara. Kuhara maana yake ni kutokwa na kinyesi chenye maji matatu au zaidi, pamoja na au bila damu ndani ya masaa 24. Kuhara kunaweza kusababishwa na maambukizo ya bakteria na virusi, ugonjwa wa matumb

Soma Zaidi...