Posti hii inahusu zaidi uchunguzi wa kuharisha damu na Tiba yake, ni Ugonjwa ambao unaowashambulia sana watoto hasa wenye chini ya umri wa miaka mitano, kwa hiyo huoaugonjwa tunaweza kuutambua na kutibu kwa njia zifuatazo.
2.Tunapaswa kuangalia kama kiasi cha choo ni kidogo au kikubwa,pia tunapaswa kuangalia kama kiwango cha damu kwenye nchoo ni cha namna gani, pia tunapaswa kumwangalia mtoto kama ana homa au kuangalia kiasi cha Maumivu kwenye chini ya tumbo na kuangalia kama mtoto anakula.
3.Pia tunapaswa kuangalia kiasi cha maji mwilini kwa kuangalia Dalili kama vile mwili kubadilika, mapigo ya moyo kubwa kidogo kwa hiyo tunapaswa kuhakikisha kama Dalili za maji kuisha mwilini na kama zipo tunapaswa kutibu kiasi cha maji mwilini.
4.Kama kuna Maambukizi unapaswa kutibu maambukizi hayo kwa kutumia antibiotics zinazopaswa kutumika kwa kufanya hivyo tutaweza kutibu tatizo hili kwa hiyo dawa hizi tunapaswa kuzitumia kwa kufuata maagizo ya wataalamu wa afya.
5.Pia kama mtoto ameishiwa na maji mwilini tunapaswa kutibu tatizo hilo kwa kumpatia oral solution na kumpatia maji kwa kupitisha kwenye mishipa akiwa hospitali kwa hiyo hatupaswi kukuaa na mtoto anayeharisha damu nyumbani kwa sababu unaweza kukuta labda kuna Maambukizi kwenye utumbo kwa hiyo pindi tuonapo kinyesi chenye damu mpeleke Mgonjwa hospitalini mara moja kwa ajili ya huduma.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa,ni madhara ambayo utokea endapo Maambukizi kwenye mifupa yasipotibiwa kwa mda wake.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za fangasi Mdomoni kwa watoto, vijana, watu wazima na mama wanaonyonyeshwa.
Soma Zaidi...Sty ni uvimbe mwekundu, chungu karibu na ukingo wa kope ambalo linaweza kuonekana kama jipu au chunusi. Sties mara nyingi hujazwa na usaha. Mtindo kawaida huunda nje ya kope lako. Lakini wakati mwingine inaweza kuunda kwenye sehemu ya ndani ya kope lak
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na kujikinga au kuzuia virusi vya ukimwi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Tina ya vidonda vya tumbo na dawa zake
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunz akuhusu vidonda vya tumbo na jinsi vinavyotokea. Utajifunza pia tahadhari anazopasa mtu achukuwe na vyakula salama anavyopaswa kula.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani, ni njia ya kawaida ya kujitibu vidonda vya tumbo kama tulivyoona.
Soma Zaidi...Fangasi huweza kuishi na kuathiri maeneo mbalimbali ndani ya mwili.
Soma Zaidi...