picha
CSS - SOMO LA 13: DISPLAY PROPERTY

Katika somo hili utajifunza kuhusu property muhimu ya CSS inayoitwa display, ambayo huamua jinsi element inavyoonyeshwa kwenye ukurasa. Tutachambua aina...

picha
CSS - SOMO LA 12: WIDTH, HEIGHT, MAX/MIN WIDTH NA OVERFLOW

Katika somo hili, utajifunza jinsi ya kudhibiti upana (width) na urefu (height) wa elementi katika CSS. Pia utaelewa tofauti kati...

picha
CSS - SOMO LA 11: MITINDO YA BORDER (BORDER STYLES)

Katika somo hili, utajifunza jinsi ya kudhibiti mipaka (borders) ya vipengele kwa kutumia CSS. Tutajifunza namna ya kuweka unene wa...

picha
CSS - SOMO LA 10: BOX MODEL KATIKA CSS

Katika somo hili utajifunza muundo wa boksi (Box Model) katika CSS. Box model ni mfumo wa msingi wa kupanga vipengele...

picha
CSS - SOMO LA 9: MARGIN NA PADDING

Katika somo hili utajifunza tofauti kati ya margin na padding, kazi ya kila moja, jinsi ya kuzipima, na jinsi zinavyotumika...

picha
HOMA YA MATUMBO (TYPHOID)

Somo hili linazungumzia homa ya matumbo, ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na bakteria wa aina ya Salmonella typhi.

picha
UGONJWA WA KIPINDUPINDU (CHOLERA) DALILI, MATIBABU NA SABABU ZAKE.

Somo hili linahusu ugonjwa wa kipindupindu – ugonjwa wa kuambukiza unaoathiri mfumo wa mmeng’enyo wa chakula na kusababisha kuharisha maji...

picha
CSS - SOMO LA 8: UPAMBAJI WA MAANDISHI (TEXT STYLING)

Katika somo hili, utajifunza mbinu mbalimbali za kubadilisha muonekano wa maandishi kwa kutumia CSS, kama vile kupamba maandishi kwa mistari,...

picha
CSS - SOMO LA 7: KUTUMIA FONTI (FONTS) KWENYE CSS

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kudhibiti mwonekano wa maandishi kwa kutumia fonti kwenye CSS. Utajifunza jinsi ya kubadilisha aina...

picha
CSS - SOMO LA 6: KUWEKA BACKGROUND KWENYE HTML KWA KUTUMIA CSS

Katika somo hili, utajifunza jinsi ya kudhibiti muonekano wa sehemu ya nyuma (background) ya HTML element kwa kutumia CSS. Utaweza...

picha
MISINGI NA ASILI YA SHERIA ZA UISLAMU (أصول التشريع الإسلامي)

Hapa utajifunza kuhusu misingi ama asili ya sheria za uislamu. Je waislamu wanapasa kuchukuwa wapi sheria za matendo katika Uislamu

picha
MAANA YA UISLAMU NA NGUZO ZAKE

Somo hili linaanza kwa kuelezea maana ya Uislamu kama mfumo kamili wa maisha unaojengwa juu ya imani na utiifu kwa...

picha
ASBAB NUZUL EP 3: SURAT AL-FāTIḥAH (ALHAMDU)

Sura hii ni msingi wa Qur’an yote; inafundisha tauhidi, ibada, dua, na hofu kwa Allah. Haina sababu ya kushuka iliyo...

picha
ASBAB NUZUL EP 2: AINA ZA SABABU ZA KUSHUKA KWA AYA NA MSIMAMO WA WANAZUONI KUHUSU RIWAYA ZA ASBāB AN-NUZūL

Elimu ya Asbāb an-Nuzūl huchunguza sababu za kushuka kwa aya. Somo hili linaeleza aina kuu za sababu hizo na namna...

picha
MATUMIZI YA AI YANAATHIRI UWEZO WA UBONGO

Hii ni tafiti ambayo itakushangaza, kwa namna ambavyo matumizi ya AI yalivyo na athari kwenye uwezo wa kufikiri

picha
PYTHON SOMO LA 51: JINSI YA KUTENGENEZA MODEL YA MENU

Katika somo hili utakwend akujifunza ktengeneza model kwa ajili ya database table ya menu yetu.

picha
MLANGO WA SIRI EP 1: MWANZO WA SIRI

Simulizi hii inamfuata kijana anayeingia bila kujua kwenye safari ya siri kubwa ya kihistoria, akiifungua milango ya kale inayoficha ukweli...

picha
SIRI YA MAUWAJI EP 5: MKULIMA WA GIZA

Amani alipata maandiko ya mjomba wake Moses, yaliyofichua uhusiano wa familia yao na shirika la siri Macho ya Usiku. Mama...

picha
UISLAMU NA ELIMU EP 6: MCHANGO WA WAISLAMU KATIKA TIBA KIPINDI CHA ENZI YA DHAHABU YA UISLAMU

Hapa tutaangalia mchango wa wanazuoni wa Waislamu enzi za Golden Ages yaani zama za dhahabu, huu ni wakati ambao watu...

picha
MARADHI YA KIFUA KIKUU (TUBERCULOSIS)

Katika somo hili utakwenda kujifunza sababu za kifua kikuu, dalili zake, njia za kujiepusha, na matibabu ya kifua kikuu.

picha
MARADHI YANAYOSABABISHWA NA BAKTERIA

Huu ni mfululizo mpya wa masomo yanayohusu maradhi yanayosababishwa na Bakteria

picha
UISLAMU NA ELIMU EP 5: SAHABA WA KWANZA KUWA NESI - UFAIDA AL-ASLAMIA

Wakati ambao watu wa Ulaya mwanamke hakuwa na nafasi yeyote kubwa ya kijamii, katika Uislamu miaka 1200 kabla tayari...

picha
MUANGALIE ALIYE CHINI YAKO NA USIMUANGALIE ALIYE JUU

Katika hadithi hii utakwenda kujifunza hekma ya kuangalia watu walio chini yako na sio walio juu yako

picha
HAKI ZA MUISLAMU KWA MUISLAMU MWENZIE

Katika makala hii utakwenda kujifunza kuhusu haki za Muislamu kwa Muislamu mwenzie

Page 8 of 228

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.