picha
DALILI ZA SARATANI (CANCER)

Posti hii inahusu zaidi dalili za kansa, ni dalili ambazo utokea kwa mtu Mwenye tatizo la ugonjwa wa Kansa ingawa sio lazima dalili hizi kutokea tukadhani kuwa ni Kansa Ila zilizonyingi huwa ni kweli dalili za kansa.

picha
AINA ZA SARATANI ( CANCER)

Posti hii inahusu zaidi Aina za kansa, Kansa ni Aina ya ugonjwa unaosababishwa na kuzaliana kwa seli ambazo sio za kawaida.

picha
DALILI ZA PID

Posti hii inahusu zaidi dalili za PID maana yake ni maambukizi kwenye pelvic kwa kitaalamu huitwa pelvic infection disease, ni ugonjwa unaoshambulia sana wanawake na wasichana

picha
NAMNA ZA KUJILINDA NA FANGASI UKENI

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuepuka fangasi za ukeni, ni njia ambazo usaidia kuepuka madhara ya fangasi za ukeni.

picha
MADHARA YA FANGASI UKENI.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi ukeni, madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo mtu hakutibiwa fangasi mapema.

picha
SABABU ZA KUWA NA FANGASI UKENI

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwa na fangasi ukeni, ni vitu ambavyo usababisha fangasi ukeni kama ifuayavyo.

picha
DALILI ZA FANGASI UKEN

Posti hii inahusu zaidi dalili za fangasi uken, hizi ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la fangasi uken.

picha
DALILI ZA SARATANI YA UTUMBO MDOGO.

Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo

picha
DALILI ZA SARATANI YA UTUMBO MDOGO.

Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo

picha
SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA MATITI.

 Maumivu ya matiti hutokea zaidi kwa watu ambao hawajamaliza hedhi, ingawa yanaweza kutokea baada ya kukoma hedhi. 

picha
FAIDA ZA KULA PAPAI

Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili.

picha
MAMBO YANAYOPUNGUZA NGUVU ZA KIUME

Posti hii inaelezea kuhusiana na nguvu za kiume zinavyopungua na Ni Mambo gani yanayofanya zipungue

picha
UGONJWA WA KISONONO, SABABU ZAKE NANJIA ZA KUJILINDA.

Kisonono husababishwa na bakteria. Bakteria ya kisonono mara nyingi hupitishwa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine wakati wa kujamiiana, ikiwa ni pamoja na kujamiiana kwa mdomo, mkundu au uke.

picha
SABABU ZA UGONJWA WA MKOJO KUWA NA DAMU

Posti hii inaelezea sababu zinazosababisha mkojo kuwa na damu.

picha
ASILI YA MADINI YA SHABA

Posti hii inahusu zaidi asili ya madini ya Shaba, ni sehemu ambapo madini ya Shaba yanaweza kupatikana ni katika mimea na wanyama

picha
UKOSEFU WA MADINI YA SHABA MWILINI

Posti hii inahusu zaidi Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini, ni Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini ambao usababisha madhara kama ifuatavyo.

picha
KAZI ZA MADINI YA SHABA MWILINI.

Post hii inahusu zaidi madini ya Shaba mwilini,ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini, kama ifuatavyo

picha
ASILI YA VYAKULA VYA MADINI YA ZINKI

Post hii inahusu zaidi asili ya madini ya zinki, hii inaonesha sehemu gani tunaaweza kupata madini ya zinki.

picha
KAZI ZA MADINI YA ZINKI

Posti hii inahusu zaidi juu ya madini ya zinki na faida zake katika mwili wa binadamu,

picha
ZIJUE KAZI ZA MADINI YA CHUMA MWILINI

Posti hii inahusu zaidi kazi za madini ya chuma mwilini,Ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini na pia utokana na vyakula mbalimbali ambavyo upatikana kwenye wanyama na mimea. Zifuatazo ni kazi za madini ya chuma.

picha
DALILI NA NAMNA YA KUJIZUIA NA MALARIA

Postii hii inshusiana na dalili na ishara za kujikinga au kuzuia malaria kwa Njia mbalimbali.

picha
DALILI ZA FANGASI WA KUCHA.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili,sababu za Hatari,na namna ya kujizuia na fangasi wa kucha.

picha
NAMNA YA KUZUIA VIRUSI VYA UKIMWI

Posti hii inaelezea kuhusiana na kujikinga au kuzuia virusi vya ukimwi.

picha
VITAMINI NA KAZI ZAKE

Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo.

Page 176 of 220

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.