Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3:Dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 5.
(a) Eleza maana ya haki na uadilifu kwa mtazamo wa Uislamu.
(b) Bainisha ni ipi misingi ya haki na uadilifu katika Uislamu.
(a) Orodhesha aina za haki mbali mbali.
(b) toa maelezo kwa ufupi juu ya:
(i) Haki ya Mwenyezi Mungu (s.w).
(ii) Haki za nafsi.
Fafanua hali ya utumwa kabla ya Mtume (s.a.w).
Kwa kutumia mifano halisi ya maswahaba, onesha jinsi Uislamu ulivyopinga na kutokomeza biashara ya utumwa.
Onesha upotofu wa Uislamu kuhusishwa na biashara ya utumwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Nguzo za uislamu,umuhimu na msisitizowa zakat na sadaqat katika uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Huwezi kuruhusiwa kumrejea mke endapo utamuacha kwa talaka hizi mbili.
Soma Zaidi...Kipengele hichi tutajifunza tofauti kati ua fiqh na sheria.
Soma Zaidi...Haki za UchumiKuwa imara kiuchumi ni sababu mojawapo kubwa ya kumpa mtu hadhi katika jamii.
Soma Zaidi...Jifunze namna ya kuswali, zijuwe aina za swala na ujifunze masharti ya swala, kwa nini swala hazijibiwi? nini kifanyike?
Soma Zaidi...