Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3:Dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 5.
(a) Eleza maana ya haki na uadilifu kwa mtazamo wa Uislamu.
(b) Bainisha ni ipi misingi ya haki na uadilifu katika Uislamu.
(a) Orodhesha aina za haki mbali mbali.
(b) toa maelezo kwa ufupi juu ya:
(i) Haki ya Mwenyezi Mungu (s.w).
(ii) Haki za nafsi.
Fafanua hali ya utumwa kabla ya Mtume (s.a.w).
Kwa kutumia mifano halisi ya maswahaba, onesha jinsi Uislamu ulivyopinga na kutokomeza biashara ya utumwa.
Onesha upotofu wa Uislamu kuhusishwa na biashara ya utumwa.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu swala ya jamaa na taratibu zake.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu funga za sunnah na jinsi ya kuzigunga.
Soma Zaidi...Haki ya KutalikiKatika jamii nyingi za kjahili haki ya kutoa talaka iko kwa mwanamume tu na mwanamke hana haki yoyote ya kumtaliki mumee.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha taratibu zinazofanyika katika kuzuru kaburi la muislamu.
Soma Zaidi...