Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3:Dhana ya elimu ya uislamu)
Zoezi la 5.
(a) Eleza maana ya haki na uadilifu kwa mtazamo wa Uislamu.
(b) Bainisha ni ipi misingi ya haki na uadilifu katika Uislamu.
(a) Orodhesha aina za haki mbali mbali.
(b) toa maelezo kwa ufupi juu ya:
(i) Haki ya Mwenyezi Mungu (s.w).
(ii) Haki za nafsi.
Fafanua hali ya utumwa kabla ya Mtume (s.a.w).
Kwa kutumia mifano halisi ya maswahaba, onesha jinsi Uislamu ulivyopinga na kutokomeza biashara ya utumwa.
Onesha upotofu wa Uislamu kuhusishwa na biashara ya utumwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii itakujuza jinsi ya kiswali swala ya tahajudi. Pia utajifunza jinsi ya kuswali swala za usikubyaanibqiyamublayl
Soma Zaidi...Amesema mtume (s.a.w) kuwa Allah (s.w) amesema: kila amali ya mwanaadamu ni kwa ajili yake isipokuwa funga.
Soma Zaidi...Yajuwe mambo ambayo yanapendeza kuyafanya wakati ukiwa umefunga Ramadhani.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukuelezea sifa za kuwa maamuma na taratibu za kumfuata imamu.
Soma Zaidi...