picha

Wanaostahiki kupewa sadaqat

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Kwa mujibu wa Qur’an (4:36) na (51:9);

        -    Sadaqat hupewa wale wale wanaopewa Zakat lakini bila kiwango au muda

                  maalumu au kufikia nisaab.

       

        -   Sadaqat hupewa mwanaadamu yeyote hata wasiokuwa Waislamu ikiwa tu ni

                              mwenye kuhitajia.

 

-   Kila muislamu anao uwezo wa kutoa sadaqat, kwani inahusika na kutoa mali,

     huduma, tabia nzuri, n.k.

     Rejea Qur’an (2:263).

 

-   Pia haifai kurejesha sadaqat baada ya kuitoa.   

   

     Rejea Hadith ya Umar (r.a); Kitabu cha 2; EDK. Uk. 80.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 1873

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 ai web app     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Mambo yanayobatilisha funga au yanayoharibu swaumu.

Hapa utajifunza mambo ambayo akiyafanya mtu aliyefunga, basi funga yake itaharibika.

Soma Zaidi...
Ni nini maana ya uchumi katika uislamu

Katikabuislamu dhana ya uchumi imetofautiana na dhana ya kidunia hivi leo ambapo kamari na riba ni moja ya vitu muhimu katika uchumi.

Soma Zaidi...
namna ya kuswali 6

Lugha ya Swala Lugha ya swala,kuanzia kwenye Takbira ya kuhirimia Swala mpaka kumalizia swala kwa Salaam, ni Kiarabu.

Soma Zaidi...
Njia haramu za uchumi.

Njia hizi ni haramu katika kukuza uchumi wako.

Soma Zaidi...