Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Kwa mujibu wa Qur’an (4:36) na (51:9);
- Sadaqat hupewa wale wale wanaopewa Zakat lakini bila kiwango au muda
maalumu au kufikia nisaab.
- Sadaqat hupewa mwanaadamu yeyote hata wasiokuwa Waislamu ikiwa tu ni
mwenye kuhitajia.
- Kila muislamu anao uwezo wa kutoa sadaqat, kwani inahusika na kutoa mali,
huduma, tabia nzuri, n.k.
Rejea Qur’an (2:263).
- Pia haifai kurejesha sadaqat baada ya kuitoa.
Rejea Hadith ya Umar (r.a); Kitabu cha 2; EDK. Uk. 80.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Katika post hii utakwenda kuzijuwa aina za twahara katika uislamu. Utaviona vigawanyo vya twahara kulingana na maulamaa wa Fiqh
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufunza kuhusu swala ya dhuha, faida zake wakati wa kuiswali swala ya dhuha na jinsi ya kuiswali.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza muda wa kutia jia katika funga za sunnah. Pia utajifunza kuhusu uhuru ulio nao
Soma Zaidi...Quran imegawanya mirathi katika haki. Mgawanyo huu ndio unaotakiwa utumike na si vinhinevyo.
Soma Zaidi...Unaweza kijiuliza ni kwa nini hasa kimepelekea kufaradhishwa kufunga mwezi wa Ramadhani.
Soma Zaidi...Katikabuislamu dhana ya uchumi imetofautiana na dhana ya kidunia hivi leo ambapo kamari na riba ni moja ya vitu muhimu katika uchumi.
Soma Zaidi...Lugha ya Swala Lugha ya swala,kuanzia kwenye Takbira ya kuhirimia Swala mpaka kumalizia swala kwa Salaam, ni Kiarabu.
Soma Zaidi...