Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Faida za Funga.
- Huleta huruma, upendo na mapenzi baina ya wanajamii.
- Huleta utii na nidhamu kwa mfungaji kwa Mola wake na wanaadamu pia.
- Huimarisha afya ya mfungaji.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
- Riba ni kipato chochote kile cha ziada kutokana na mkopo au mtaji bila kushiriki katika faida au hasara.
Soma Zaidi...Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...