Waislamu wanaolazimika kufunga
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Waislamu wanaolazimika kufunga.
- Wenye akili timamu – sifa hii ni kwa kukubalika kila ibada.
- Waliofikia baleghe – waliofikia umri wa kutambuzi jema na baya.
- Wenye afya – wasio na ugonjwa unaoathiri afya kama akifunga.
Rejea Qur’an (2:184-185).
- Wakazi wa mji - wasiokuwa safarini au wasiokwazika kufunga safarini.
- Kama mwanamke asiwe katika Hedhi au Nifasi – Damu ya mwezi au uzazi
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉1 ai web app 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Riba na Madhara Yake Katika Jamii
- Riba ni kipato chochote kile cha ziada kutokana na mkopo au mtaji bila kushiriki katika faida au hasara.
Soma Zaidi...Swala ya ijumaa, nguzo zake, sharti zake na jinsi ya kuiswali
Post hii inakwenda kukugundisha kuhusu swala ya ijumaa taratibu zake na jinsi ya kuiiswali.
Soma Zaidi...Haki za maadui katika vita (mateka wa kivita)
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...