picha

Funga za Sunnah na umuhimu wake

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

      -   Nia ya kufunga Sunnah inaweza kutiwa muda wowote ule kabla ya Adhuhuri

           iwapo mfungaji hakuonja chochote tangu Alfajir.

      -   Kuna hiari ya kuvunja funga ya Sunnah muda wowote ule pindi itakapobidi.

 

  1. Ni kumtii na kumuiga Mtume (s.a.w).
  2. Ni kujazilizia mapungufu ya funga ya faradhi.
  3. Humuwezesha muumini kufikia lengo la funga (kuwa Wacha-Mungu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 2232

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Taratibu za kuchaguwa mchumba katika uislamu

Hapa utajifunza hatuwa kwa hatuwa za kuchaguwa mchumba kulingana na sheria za kiislamu.

Soma Zaidi...