Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate.
1. Piriton ni mojawapo ya dawa ambayo utibu mzio kama wa mafua, ufanya kazi kwa kumletea mtu yeyote mwenye mafua na kusababisha kupona kuweza kuendelea huku mgonjwa akiwa amesinzia na baadae kama siku tatu kama mta anatumia Piriton anapona na kuendelea na kazi zake za kawaida.
2.Hii dawa huwa ipo katika mfumo wa vidonge , ambapo kila kidonge huwa na 4mg. Kwa mtu anayetumia 4mg anatumia kwa masaa sita au masa nane ukiwa na chakula au baada ya kuchukua chakula kiwango cha kawaida kwa mtu kwa mzima kiwango cha kawaida ni 24 mg kwa mtu mzima.
3.Dozi ya mtoto utofautiana kulingana na umri wa mtoto kuanzia mwaka mmoja mpaka miaka miwili mtoto anatumia milligram moja kwa siku, kuanzia miaka miwili mpaka mitano mtoto anatumia milligram moja kwa masaa manne mpaka sita kiwango cha kawaida ni millgramasita kwa kawaida, kuanzia miaka sita mpaka kumi na miwili mtoto anatumia milligram mbili kuanzia masaa manne mpaka sita kiwango cha kawaida ni milligram kumi na mbili.
4. Pamoja na matumizi ya kawaida sawa hii ya Piriton haitumiwi kwa baadhi ya wa watu kama vile watoto waliozaliwa wakiwa mjini, watoto wadogo waliozaliwa na wale walio na matatizo ya kifua hasa Asthma kwa hiyo tunapaswa kuwa makini ili tusiweze kuleta madhara zaidi kwa hiyo wazazi na walezi wawe makini katika watoto wadogo wasije kupata matatizo mbalimbali.
5. Kuna matokeo mbalimbali yanayoweza kujitokeza katika kutumia dawa hizi kama vile kupata usingizi, kushusha presha, na pengine kama mgonjwa amepewa kwenye mishipa ya damu anaweza kupata maumivu kwenye sehemu aliyopitishiwa sindano, kwa hiyo tunajua kuwa Piriton usaidia kutibu aleji au mzio kwa hiyo tunapaswa kuitumia kwa maagizo ya daktari na wataalamu mbalimbali wa afya na tusitumie kiholela dawa hii bali tupate ushauri kabla ya kuitumia.
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Author Tarehe 2022/01/06/Thursday - 04:08:01 pm Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 5533
Dalili za kisukari aina ya type 2
Kisukari cha Aina ya 2, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha watu wazima au kisichotegemea insulini, ni ugonjwa sugu unaoathiri jinsi mwili wako unavyobadilisha sukari (glucose), chanzo muhimu cha nishati ya mwili wako. Soma Zaidi...
Sababu za kuwa na fangasi ukeni
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwa na fangasi ukeni, ni vitu ambavyo usababisha fangasi ukeni kama ifuayavyo. Soma Zaidi...
Huduma kwa wasioona hedhi
Posti hii inahusu zaidi msaada au namna ya kuwahudumia wale wasioona hedhi na wamefikiwa kwenye umri wa kuweza kuona hedhi. Soma Zaidi...
Njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja, ni njia ambazo utumika ikiwa kuna damu inavuja kwenye sehemu yoyote ya mwili,kwa hiyo tunaweza kutumia njia hizi ili kuepuka kuendelea kuvuja kwa damu. Soma Zaidi...
Yajue matatizo yanayosababisha Ugonjwa wa akili.
Madhara ya ugonjwa wa akili yanaweza kuwa ya muda au ya kudumu. Unaweza pia kuwa na zaidi ya ugonjwa mmoja wa afya ya akili kwa wakati mmoja. Kwa mfano, unaweza kuwa na ulegevu na ugonjwa wa matumizi ya madawa ya kulevya. Soma Zaidi...
Namna ambavyo mwili unapambana na maradhi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ambavyo mwili unapambana na maradhi Soma Zaidi...
Namna ya kutunza nywele za mgonjwa
Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza nywele za mgonjwa hasa kwa wagonjwa mahututi na wale wasiojiweza tunafanya hivyo ili tuweze kuwatoa kwenye hali ya usafi. Soma Zaidi...
Hatua mbili kuu za kushuka kwa Quran
Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Dalili na ishara za Ugonjwa wa kuambukiza.
Magonjwa ya kuambukiza ni maradhi yanayosababishwa na vijidudu kama vile bakteria, virusi, fangasi au vimelea. Viumbe vingi vinaishi ndani na kwenye miili yetu. Kwa kawaida hazina madhara au hata kusaidia, lakini chini ya hali fulani, baadhi ya viumbe vinaweza kusababisha ugonjwa. Soma Zaidi...
Namna ya kumhudumia mtu aliyeingongwa na nyoka
Posti hii inahusu njia na namna ya kumhudumia aliyeingiwa na nyoka. Nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na mtu akifinywa na nyoka asipohudumiwa anaweza kupata ulemavu au kupoteza maisha Soma Zaidi...
Mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu
Posti hii inahusu zaidi mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu, ni wagonjwa ambao figo zao zimeharibika na zimeshindwa kufanya kazi au pengine kuna uchafu mwingi mwilini ambao uchujwa kwa hiyo kuna vyakula muhimu ambavyo wagonjwa wa figo wanapaswa kutumia kama ifuatavyo. Soma Zaidi...
Dalili za mtu aliyegongwa na nyoka
Post hii inahusu zaidi dalili za mtu aliyegongwa na nyoka, nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na sumu ikiingia mwilini mtu huwa na dalili mbalimbali Soma Zaidi...