Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate.
1. Piriton ni mojawapo ya dawa ambayo utibu mzio kama wa mafua, ufanya kazi kwa kumletea mtu yeyote mwenye mafua na kusababisha kupona kuweza kuendelea huku mgonjwa akiwa amesinzia na baadae kama siku tatu kama mta anatumia Piriton anapona na kuendelea na kazi zake za kawaida.
2.Hii dawa huwa ipo katika mfumo wa vidonge , ambapo kila kidonge huwa na 4mg. Kwa mtu anayetumia 4mg anatumia kwa masaa sita au masa nane ukiwa na chakula au baada ya kuchukua chakula kiwango cha kawaida kwa mtu kwa mzima kiwango cha kawaida ni 24 mg kwa mtu mzima.
3.Dozi ya mtoto utofautiana kulingana na umri wa mtoto kuanzia mwaka mmoja mpaka miaka miwili mtoto anatumia milligram moja kwa siku, kuanzia miaka miwili mpaka mitano mtoto anatumia milligram moja kwa masaa manne mpaka sita kiwango cha kawaida ni millgramasita kwa kawaida, kuanzia miaka sita mpaka kumi na miwili mtoto anatumia milligram mbili kuanzia masaa manne mpaka sita kiwango cha kawaida ni milligram kumi na mbili.
4. Pamoja na matumizi ya kawaida sawa hii ya Piriton haitumiwi kwa baadhi ya wa watu kama vile watoto waliozaliwa wakiwa mjini, watoto wadogo waliozaliwa na wale walio na matatizo ya kifua hasa Asthma kwa hiyo tunapaswa kuwa makini ili tusiweze kuleta madhara zaidi kwa hiyo wazazi na walezi wawe makini katika watoto wadogo wasije kupata matatizo mbalimbali.
5. Kuna matokeo mbalimbali yanayoweza kujitokeza katika kutumia dawa hizi kama vile kupata usingizi, kushusha presha, na pengine kama mgonjwa amepewa kwenye mishipa ya damu anaweza kupata maumivu kwenye sehemu aliyopitishiwa sindano, kwa hiyo tunajua kuwa Piriton usaidia kutibu aleji au mzio kwa hiyo tunapaswa kuitumia kwa maagizo ya daktari na wataalamu mbalimbali wa afya na tusitumie kiholela dawa hii bali tupate ushauri kabla ya kuitumia.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 6405
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Madrasa kiganjani
👉4 Kitabu cha Afya
Faida za kiafya za kula uyoga
Soma Zaidi...
Faida za kula Pilipili
Usiogope kuwashwa, kula pilipili ni nzuri kwa afya yako ia virutubisho vingi sana Soma Zaidi...
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA BAMIA (OKRA)
Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya Soma Zaidi...
Faida za kula tikiti
Somo hili linalenga kukujuza juu ya umuhimu wa tikiti kwenye afya ya mwili Soma Zaidi...
Faida za kiafya za stafeli/soursop
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafeli ama soursop Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula maharagwe, njegere, kund na mbaazi
Soma Zaidi...
Faida za nazi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi Soma Zaidi...
UPUNGUFU WA VITAMIN NA MAJI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Mbegu za mronge
Soma Zaidi...
Faida za kula Zaituni
Matunda ya zamani, matunda ya asili, Zaituni tunda lipendezalo, zijuwe faida zake leo Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin E
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula maini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini Soma Zaidi...