Miiko au Mambo yanayoharibu/kubatilisha funga

Miiko au Mambo yanayoharibu/kubatilisha funga

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

  1. Kula au kunywa chochote kwa makusudi.
  2. Kujitapisha kwa makusudi ukiwa umefunga.
  3. Kupatwa na Hedhi au Nifasi kabla ya kuzama kwa Jua.
  4. Kunuia kula au kunywa na hali umefunga.
  5. Kufanya tendo la jimai (tendo la ndoa) kwa namna yeyote ile hali umefunga.
  6. Kujitoa manii kwa makusudi mchana wa funga.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1346

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana: