Miiko au Mambo yanayoharibu/kubatilisha funga
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Miiko au mambo yanayoharibu (yanayobatilisha) funga.
- Kula au kunywa chochote kwa makusudi.
- Kujitapisha kwa makusudi ukiwa umefunga.
- Kupatwa na Hedhi au Nifasi kabla ya kuzama kwa Jua.
- Kunuia kula au kunywa na hali umefunga.
- Kufanya tendo la jimai (tendo la ndoa) kwa namna yeyote ile hali umefunga.
- Kujitoa manii kwa makusudi mchana wa funga.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 web hosting 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 ai web app
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 web hosting 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Hutuba ya Ndoa - Khutbat nikah
Hii ni hutuba ya ndoa kwa ufupi, Imekusanya mambo ya msingi yanayohitajika katika hutuba ya ndoa
Soma Zaidi...Usawa na uhuru wa kuchuma mali katika uislamu
Uchumi wa uislamu umeweka taratibu mbalimbali katika kuchuma mali.
Soma Zaidi...Maana ya hadathi na aina zake
Post hii inakwenda kukugundisha maana ya hadathi pamoja na kutaja aina za hadathi
Soma Zaidi...Jinsi ambavyo mtu anazuiliwa kurithi mali ya marehemu
Endapo mtu yupp katika orodha ya wanaotakiwa kutithi, anaweza kuzuiliwa kurithi kwa kuzingatia haya.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu:Shahada
Nguzo za uislamu: Shahada (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...