Miiko au Mambo yanayoharibu/kubatilisha funga
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Miiko au mambo yanayoharibu (yanayobatilisha) funga.
- Kula au kunywa chochote kwa makusudi.
- Kujitapisha kwa makusudi ukiwa umefunga.
- Kupatwa na Hedhi au Nifasi kabla ya kuzama kwa Jua.
- Kunuia kula au kunywa na hali umefunga.
- Kufanya tendo la jimai (tendo la ndoa) kwa namna yeyote ile hali umefunga.
- Kujitoa manii kwa makusudi mchana wa funga.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 ai web app 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 ai web app 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Swala ya ijumaa, nguzo zake, sharti zake na jinsi ya kuiswali
Post hii inakwenda kukugundisha kuhusu swala ya ijumaa taratibu zake na jinsi ya kuiiswali.
Soma Zaidi...Nini maana ya ndoa katia uislamu na ni upi umuhimu wake
Hapa utajifunza maana ya ndoa kulingana na uislamu na umuhimu wake katika jamiii
Soma Zaidi...