Miiko au Mambo yanayoharibu/kubatilisha funga
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Miiko au mambo yanayoharibu (yanayobatilisha) funga.
- Kula au kunywa chochote kwa makusudi.
- Kujitapisha kwa makusudi ukiwa umefunga.
- Kupatwa na Hedhi au Nifasi kabla ya kuzama kwa Jua.
- Kunuia kula au kunywa na hali umefunga.
- Kufanya tendo la jimai (tendo la ndoa) kwa namna yeyote ile hali umefunga.
- Kujitoa manii kwa makusudi mchana wa funga.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 ai web app 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 ai web app 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Kwa nini waislamu wanaoa mke zaidi ya mmoja
Post hiibitakugundisha hekima ya kuruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja katika sheria za kiislamu.
Soma Zaidi...Jinsi ya kuswali kuswali swala ya maiti
Post hii itakufundisha kuhusu swala ya maiti, nguzo za swala ya maiti, sharti za swwla ya maiti na jinsi ya kuiswali.
Soma Zaidi...Faida za kuswali swala za sunnah
Posti hii inakwenda kukufundisha kuhush swala za sunnah.
Soma Zaidi...