Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Rejea Jedwali lifuatalo na pia katika Kitabu cha 2; EDK, uk. 80-87.
|
Na. |
Mali zinazojuzu kutolewa Zakat |
Nisaab (Kiwango) |
Kiasi (%) |
Muda wa Kutoa |
|
1. |
Mazao yote ya shambani. |
Wasaq 5 au kg 666 (Wasaq 1 = 133.5kg) |
|
Baada ya mavuno |
|
2. |
Wanyama wafugwao kwa ajili ya chakula: (a) Ngamia (b) Ng’ombe (c) Mbuzi (d) Kondoo (e) Kondoo au Mbuzi |
Ngamia 5 Ng’ombe 30 Mbuzi 40 Kondoo 40 Kondoo au Mbuzi 40 |
Mbuzi 1 wa mwaka 1 Ndama 1 wa mwaka 1 Mbuzi 1 wa mwaka 1 Kondoo 1 wa mwaka 1 Kondoo au mbuzi 1 wa mwaka 1 |
Baada ya mwaka |
|
3. |
Dhahabu na Vito |
Gram 82.5 au tola 7.5 |
2.5 % au 1/40 ya thamani ya mali |
Baada ya mwaka |
|
4. |
Fedha na Vito |
Gram 577.5 au tola 52 |
2.5 % au 1/40 ya thamani ya mali |
Baada ya mwaka |
|
5. |
Mali ya Biashara |
Sawa na thamani ya Nisaab ya Dhahabu au Fedha. |
2.5 % au 1/40 ya mali |
Baada ya mwaka |
|
6. |
Fedha taslimu |
Sawa na mali ya Biashara |
2.5 % au 1/40 ya fedha |
Baada ya mwaka |
|
7. |
Mali ya kuokota au kuchimbuliwa ardhini |
Haina |
20 % au 1/5 ya mali |
Baada ya kuokotwa na kukosa mwenyewe au baada ya kuchimbuliwa. |
Umeionaje Makala hii.. ?
Funga inavyomuandaa mtu kuwa mcha-Mungu.
Soma Zaidi...Unajuwa namna ambavyo matumizi ya mali yako, yanavyogawanywa? Jifunze hapa mgawanyiko wa mali yako.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu, masharti ya utoaji wa zakat na sadaqat (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza mambo ambayo ni haramu kwa mwanamke aliye na hedhi na nifasi
Soma Zaidi...Kuchukuwavudhu ni ibada, lakini pia ni matendo ya kuufanya mwilivuwe safi. Katika post nitakwenda kukifundisha namna ya kutia udhu katika uislamu.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha taratibu zinazofanyika ilibkuswalibukiwa vitani.
Soma Zaidi...