picha

Mali zinazojuzu kutolewa zaka, nisaab yake na viwango vyake

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Rejea Jedwali lifuatalo na pia katika Kitabu cha 2; EDK, uk. 80-87.

Na.

Mali zinazojuzu kutolewa Zakat

Nisaab (Kiwango)

Kiasi (%)

Muda wa Kutoa

1.

Mazao yote ya shambani.

Wasaq 5 au kg 666

 

(Wasaq 1 = 133.5kg)

  1. Kg 66.6 au ½             wasaq kwa mazao ya maji ya mvua.
  2. Kg 33.3 au ¼ wasaq kwa mazao yaliyomwagiliwa.

Baada ya mavuno

2.

Wanyama wafugwao kwa ajili ya chakula:

(a) Ngamia 

(b) Ng’ombe 

(c) Mbuzi 

(d) Kondoo

(e) Kondoo au Mbuzi

 

Ngamia 5

Ng’ombe 30

Mbuzi 40

Kondoo 40

Kondoo au Mbuzi 40

 

Mbuzi 1 wa mwaka 1

Ndama 1 wa mwaka 1

Mbuzi 1 wa mwaka 1

Kondoo 1 wa mwaka 1

Kondoo au mbuzi 1 wa mwaka 1

Baada ya mwaka

3.

Dhahabu na Vito

Gram 82.5 au tola 7.5

2.5 % au 1/40 ya thamani ya mali

Baada ya mwaka

4.

Fedha na Vito

Gram 577.5 au tola 52

2.5 % au 1/40 ya thamani ya mali

Baada ya mwaka

5.

Mali ya Biashara 

Sawa na thamani ya Nisaab ya Dhahabu au Fedha.

2.5 % au 1/40 ya mali

Baada ya mwaka

6.

Fedha taslimu

Sawa na mali ya Biashara

2.5 % au 1/40 ya fedha

Baada ya mwaka

7.

Mali ya kuokota au kuchimbuliwa ardhini

Haina 

20 % au 1/5 ya mali 

Baada ya kuokotwa na kukosa mwenyewe au baada ya kuchimbuliwa.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 5452

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Maana ya Mirathi na kurithi katika uislamu

Maana ya MirathiMirathi katika Uislamu ni kanuni na taratibu alizoziweka Allah (Sw) katika kuwagawawia na kuwarithisha familia na jamaa, mali aliyoiacha marehemu.

Soma Zaidi...
Kumswalia maiti, masharti ya swala ya maiti

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Umuhimu wa swala yaani kuswali kwa mwanadamu

Kwa nini ni muhimu kuswali? Post hii itakwenda kukufundisha kuhusu umuhimu wa kusimamisha swala.

Soma Zaidi...
Taratibu za mahari katika uislamu

Hapa utajifunza taratibu za kutaja mahari katika uislamu.

Soma Zaidi...
Madhara ya riba kwenye jamii

Haya ni madhara ya riba katika jamii. Ni kwa namna gani jamii inadhurika kutokana na riba?

Soma Zaidi...