Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Rejea Jedwali lifuatalo na pia katika Kitabu cha 2; EDK, uk. 80-87.
Na. |
Mali zinazojuzu kutolewa Zakat |
Nisaab (Kiwango) |
Kiasi (%) |
Muda wa Kutoa |
1. |
Mazao yote ya shambani. |
Wasaq 5 au kg 666 (Wasaq 1 = 133.5kg) |
|
Baada ya mavuno |
2. |
Wanyama wafugwao kwa ajili ya chakula: (a) Ngamia (b) Ng’ombe (c) Mbuzi (d) Kondoo (e) Kondoo au Mbuzi |
Ngamia 5 Ng’ombe 30 Mbuzi 40 Kondoo 40 Kondoo au Mbuzi 40 |
Mbuzi 1 wa mwaka 1 Ndama 1 wa mwaka 1 Mbuzi 1 wa mwaka 1 Kondoo 1 wa mwaka 1 Kondoo au mbuzi 1 wa mwaka 1 |
Baada ya mwaka |
3. |
Dhahabu na Vito |
Gram 82.5 au tola 7.5 |
2.5 % au 1/40 ya thamani ya mali |
Baada ya mwaka |
4. |
Fedha na Vito |
Gram 577.5 au tola 52 |
2.5 % au 1/40 ya thamani ya mali |
Baada ya mwaka |
5. |
Mali ya Biashara |
Sawa na thamani ya Nisaab ya Dhahabu au Fedha. |
2.5 % au 1/40 ya mali |
Baada ya mwaka |
6. |
Fedha taslimu |
Sawa na mali ya Biashara |
2.5 % au 1/40 ya fedha |
Baada ya mwaka |
7. |
Mali ya kuokota au kuchimbuliwa ardhini |
Haina |
20 % au 1/5 ya mali |
Baada ya kuokotwa na kukosa mwenyewe au baada ya kuchimbuliwa. |
Umeionaje Makala hii.. ?
Jifunze mengi kuhusu dini hapa
Soma Zaidi...Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukugundisha maana ya hadathi pamoja na kutaja aina za hadathi
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Maana: ni utaratibu wa kuvunja mkataba wa ndoa baina ya mume na mke mbele ya mashahidi wawili kwa kuzingatia sheria ya Kiislamu.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha taratibu za kuajiri, kufanya kazi na malipo.
Soma Zaidi...Fahamu darsa mbalimbali za fiqh kama swala, twahara, zaka pamoja na funga. Zijuwe sharti za swala, funga na zaka.
Soma Zaidi...