Mali zinazojuzu kutolewa zaka, nisaab yake na viwango vyake
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Mali zinazojuzu kutolewa zaka, Nisaab zake na Viwango vyake.
Rejea Jedwali lifuatalo na pia katika Kitabu cha 2; EDK, uk. 80-87.
|
Na. |
Mali zinazojuzu kutolewa Zakat |
Nisaab (Kiwango) |
Kiasi (%) |
Muda wa Kutoa |
|
1. |
Mazao yote ya shambani. |
Wasaq 5 au kg 666 (Wasaq 1 = 133.5kg) |
|
Baada ya mavuno |
|
2. |
Wanyama wafugwao kwa ajili ya chakula: (a) Ngamia (b) Ng’ombe (c) Mbuzi (d) Kondoo (e) Kondoo au Mbuzi |
Ngamia 5 Ng’ombe 30 Mbuzi 40 Kondoo 40 Kondoo au Mbuzi 40 |
Mbuzi 1 wa mwaka 1 Ndama 1 wa mwaka 1 Mbuzi 1 wa mwaka 1 Kondoo 1 wa mwaka 1 Kondoo au mbuzi 1 wa mwaka 1 |
Baada ya mwaka |
|
3. |
Dhahabu na Vito |
Gram 82.5 au tola 7.5 |
2.5 % au 1/40 ya thamani ya mali |
Baada ya mwaka |
|
4. |
Fedha na Vito |
Gram 577.5 au tola 52 |
2.5 % au 1/40 ya thamani ya mali |
Baada ya mwaka |
|
5. |
Mali ya Biashara |
Sawa na thamani ya Nisaab ya Dhahabu au Fedha. |
2.5 % au 1/40 ya mali |
Baada ya mwaka |
|
6. |
Fedha taslimu |
Sawa na mali ya Biashara |
2.5 % au 1/40 ya fedha |
Baada ya mwaka |
|
7. |
Mali ya kuokota au kuchimbuliwa ardhini |
Haina |
20 % au 1/5 ya mali |
Baada ya kuokotwa na kukosa mwenyewe au baada ya kuchimbuliwa. |
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 ai web app 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Mambo ya kuzingatia kabla ya kugawa mirathi
Haya ni mamno muhimu yanayozingatiwa kabla ya kuanza zoezi la kugawa mirathi ya marehemu.
Soma Zaidi...Kujitwaharisha kutokana na najisi
Post hii itakufundisha namna ya kutwaharisha Najisi.
Soma Zaidi...NI KWA NINI TUNASWALI?, NI UPI UMUHIMU WA KUSWALI NA NI ZIPI FADHILA ZA KUSWALI
Umuhimu wa KusimamishaSwala Kwa mujibu wa Hadith ya Ibn Umar (r.
Soma Zaidi...Vipi utapata uchamungu kupitia funga
Vipi lengo la funga litafikiwa na kumfanya mfungaji awe mchamungu.
Soma Zaidi...