Mali zinazojuzu kutolewa zaka, nisaab yake na viwango vyake
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Mali zinazojuzu kutolewa zaka, Nisaab zake na Viwango vyake.
Rejea Jedwali lifuatalo na pia katika Kitabu cha 2; EDK, uk. 80-87.
|
Na. |
Mali zinazojuzu kutolewa Zakat |
Nisaab (Kiwango) |
Kiasi (%) |
Muda wa Kutoa |
|
1. |
Mazao yote ya shambani. |
Wasaq 5 au kg 666 (Wasaq 1 = 133.5kg) |
|
Baada ya mavuno |
|
2. |
Wanyama wafugwao kwa ajili ya chakula: (a) Ngamia (b) Ng’ombe (c) Mbuzi (d) Kondoo (e) Kondoo au Mbuzi |
Ngamia 5 Ng’ombe 30 Mbuzi 40 Kondoo 40 Kondoo au Mbuzi 40 |
Mbuzi 1 wa mwaka 1 Ndama 1 wa mwaka 1 Mbuzi 1 wa mwaka 1 Kondoo 1 wa mwaka 1 Kondoo au mbuzi 1 wa mwaka 1 |
Baada ya mwaka |
|
3. |
Dhahabu na Vito |
Gram 82.5 au tola 7.5 |
2.5 % au 1/40 ya thamani ya mali |
Baada ya mwaka |
|
4. |
Fedha na Vito |
Gram 577.5 au tola 52 |
2.5 % au 1/40 ya thamani ya mali |
Baada ya mwaka |
|
5. |
Mali ya Biashara |
Sawa na thamani ya Nisaab ya Dhahabu au Fedha. |
2.5 % au 1/40 ya mali |
Baada ya mwaka |
|
6. |
Fedha taslimu |
Sawa na mali ya Biashara |
2.5 % au 1/40 ya fedha |
Baada ya mwaka |
|
7. |
Mali ya kuokota au kuchimbuliwa ardhini |
Haina |
20 % au 1/5 ya mali |
Baada ya kuokotwa na kukosa mwenyewe au baada ya kuchimbuliwa. |
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Maana ya Mirathi na kurithi katika uislamu
Maana ya MirathiMirathi katika Uislamu ni kanuni na taratibu alizoziweka Allah (Sw) katika kuwagawawia na kuwarithisha familia na jamaa, mali aliyoiacha marehemu.
Soma Zaidi...Kumswalia maiti, masharti ya swala ya maiti
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Umuhimu wa swala yaani kuswali kwa mwanadamu
Kwa nini ni muhimu kuswali? Post hii itakwenda kukufundisha kuhusu umuhimu wa kusimamisha swala.
Soma Zaidi...Taratibu za mahari katika uislamu
Hapa utajifunza taratibu za kutaja mahari katika uislamu.
Soma Zaidi...Madhara ya riba kwenye jamii
Haya ni madhara ya riba katika jamii. Ni kwa namna gani jamii inadhurika kutokana na riba?
Soma Zaidi...