picha

Mambo yanayodhaniwa kuwa yanaharibu funga lakini hayaharibu

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

  1. Kula au kunywa bila kukusudia – kwa kusahau au kutwezwa nguvu.
  2. Kuoga wakati umefunga.
  3. Kutokwa na manii bila kukusudia – kwa kuota ndoto au namna nyingine.
  4. Kuamka na Janaba, Damu ya Hedhi au Nifasi ukiwa umefunga. 
  5. Kubusiana na kukumbatiana mume na mke wakiwa wamefunga.
  6. Kupiga mswaki, kusukutua au kupandisha maji puani.
  7. Kupaka wanja, manukato, mafuta, kuvukiza ubani au dawa ya macho.
  8. Kumeza usichoweza kujizuia nacho kama mate, kikohozi, kuingiwa na mdudu (kitu) ghafla hadi kooni, vumbi, n.k.
  9. Kupiga sindano isiyoongeza chakula mwilini kama itahitajika.
  10.  Kuumika au kutoa damu kwa mujibu wa Hadith;

Amehadithia Ibn Abbas (r.a) kwamba Mtume (s.a.w) aliumikwa akiwa katika ‘Ihram’ na pia akiwa amefunga.”

(Ameipokea Bukhari)

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 2487

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Mambo yanayopunguza malipo ya funga au swaumu

Mambo haya yanaweza kuharibu funga ya mtu ama kupunguza malipo ya funga.

Soma Zaidi...
Kwa nini imefaradhishwa kufunga mwezi wa Ramadhani

Unaweza kijiuliza ni kwa nini hasa kimepelekea kufaradhishwa kufunga mwezi wa Ramadhani.

Soma Zaidi...
Kwanini lengo la zakat na sadaqat halifikiwi katika jamii yetu

Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...