Mambo yanayodhaniwa kuwa yanaharibu funga lakini hayaharibu
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Mambo yanayodhaniwa yanaharibu funga lakini hayaharibu.
- Kula au kunywa bila kukusudia – kwa kusahau au kutwezwa nguvu.
- Kuoga wakati umefunga.
- Kutokwa na manii bila kukusudia – kwa kuota ndoto au namna nyingine.
- Kuamka na Janaba, Damu ya Hedhi au Nifasi ukiwa umefunga.
- Kubusiana na kukumbatiana mume na mke wakiwa wamefunga.
- Kupiga mswaki, kusukutua au kupandisha maji puani.
- Kupaka wanja, manukato, mafuta, kuvukiza ubani au dawa ya macho.
- Kumeza usichoweza kujizuia nacho kama mate, kikohozi, kuingiwa na mdudu (kitu) ghafla hadi kooni, vumbi, n.k.
- Kupiga sindano isiyoongeza chakula mwilini kama itahitajika.
- Kuumika au kutoa damu kwa mujibu wa Hadith;
“Amehadithia Ibn Abbas (r.a) kwamba Mtume (s.a.w) aliumikwa akiwa katika ‘Ihram’ na pia akiwa amefunga.”
(Ameipokea Bukhari)
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 ai web app 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Kitabu cha Afya
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 ai web app 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Mambo yanayoharibu udhu (نواقض الوضوء)
Somo hili linaeleza mambo yanayovunja au kuharibu udhu (نواقض الوضوء), na hivyo kumfanya Muislamu alazimike kutawadha tena kabla ya kuswali au kufanya ibada zinazohitaji twahara.
Soma Zaidi...Jinsi ya kuswali swala ya kuoatwa kwa juwa ama swala ya kuoatwa kwa mwezi.
Post hii itakufundisha kuhusu swala ya kupatwa yaani kupatwa kwa juwa na kupatwa kwa mwezi swalat kusuf na swalat khusuf
Soma Zaidi...Watu wanaolazimika kufunga mwezi wa Ramadhani
Hapa utajifunza watu ambao wanalazimika kufunga mwezi wa Ramadhani.
Soma Zaidi...