Mambo yanayodhaniwa kuwa yanaharibu funga lakini hayaharibu
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Mambo yanayodhaniwa yanaharibu funga lakini hayaharibu.
- Kula au kunywa bila kukusudia – kwa kusahau au kutwezwa nguvu.
- Kuoga wakati umefunga.
- Kutokwa na manii bila kukusudia – kwa kuota ndoto au namna nyingine.
- Kuamka na Janaba, Damu ya Hedhi au Nifasi ukiwa umefunga.
- Kubusiana na kukumbatiana mume na mke wakiwa wamefunga.
- Kupiga mswaki, kusukutua au kupandisha maji puani.
- Kupaka wanja, manukato, mafuta, kuvukiza ubani au dawa ya macho.
- Kumeza usichoweza kujizuia nacho kama mate, kikohozi, kuingiwa na mdudu (kitu) ghafla hadi kooni, vumbi, n.k.
- Kupiga sindano isiyoongeza chakula mwilini kama itahitajika.
- Kuumika au kutoa damu kwa mujibu wa Hadith;
“Amehadithia Ibn Abbas (r.a) kwamba Mtume (s.a.w) aliumikwa akiwa katika ‘Ihram’ na pia akiwa amefunga.”
(Ameipokea Bukhari)
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 ai web app 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 ai web app 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Mifumo ya benki ya kiislamu.
Hapa utajifunza njia ambazo nenk ya kiislamu hutumia ili kujiendesha
Soma Zaidi...Yajuwe masharti ya udhu yaani yanayofanya udhu kukubalika
Posti hii itakufundisha masharti yanayohitajika kwa mwenye kutaka kutia udhu.
Soma Zaidi...Kwa nini waislamu wanaoa mke zaidi ya mmoja
Post hiibitakugundisha hekima ya kuruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja katika sheria za kiislamu.
Soma Zaidi...