Mambo yanayodhaniwa kuwa yanaharibu funga lakini hayaharibu

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

  1. Kula au kunywa bila kukusudia – kwa kusahau au kutwezwa nguvu.
  2. Kuoga wakati umefunga.
  3. Kutokwa na manii bila kukusudia – kwa kuota ndoto au namna nyingine.
  4. Kuamka na Janaba, Damu ya Hedhi au Nifasi ukiwa umefunga. 
  5. Kubusiana na kukumbatiana mume na mke wakiwa wamefunga.
  6. Kupiga mswaki, kusukutua au kupandisha maji puani.
  7. Kupaka wanja, manukato, mafuta, kuvukiza ubani au dawa ya macho.
  8. Kumeza usichoweza kujizuia nacho kama mate, kikohozi, kuingiwa na mdudu (kitu) ghafla hadi kooni, vumbi, n.k.
  9. Kupiga sindano isiyoongeza chakula mwilini kama itahitajika.
  10.  Kuumika au kutoa damu kwa mujibu wa Hadith;

Amehadithia Ibn Abbas (r.a) kwamba Mtume (s.a.w) aliumikwa akiwa katika ‘Ihram’ na pia akiwa amefunga.”

(Ameipokea Bukhari)

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1950

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰2 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰3 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰4 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰5 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Hatua za kinga za ugumba na Utasa.

Ugumba ni รขโ‚ฌล“ugonjwa wa mfumo wa uzazi unaofafanuliwa kwa kushindwa kupata ujauzito baada ya miezi 12 au zaidi ya kujamiiana bila kinga mara kwa mara. Utasaร‚ย  kutoweza kwa kiumbe hai kufanya uzazi wa ngono au kutoweza kupata mimba au kuchangia mimba.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutawadha hatuwa kwa hatuwa

Kutawadha ni katika ibada muhimu za mwanzo kutakiwa kuzijuwa na ni lazima. Swala yako haitaweza kutimia bila ya kujuwa udhu. Inakupasa kujuwa nguzo za udhu, yanayoharibu udhu na namna ya kutawadha kifasaha. Hapa utajifunza hatuwa za kutawadha

Soma Zaidi...
Masharti ya utoaji wa zakat na sadaqat

Nguzo za uislamu, masharti ya utoaji wa zakat na sadaqat (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuswali swala vitani

Post hii itakufundisha taratibu zinazofanyika ilibkuswalibukiwa vitani.

Soma Zaidi...
Masharti ya swala

Sharti za SwalaSharti za Swala Sharti za swala ni yale mambo ya lazima anayotakiwa Muislamu ayachunge na kuyatekeleza kabla hajaanza kuswali.

Soma Zaidi...
Sanda ya mwanamke na namna ya kumkafini

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: Dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Nguzo za uislamu:Shahada

Nguzo za uislamu: Shahada (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Hijja na umrah

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...