Mambo yanayodhaniwa kuwa yanaharibu funga lakini hayaharibu


image


Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)


  • Mambo yanayodhaniwa yanaharibu funga lakini hayaharibu.
  1. Kula au kunywa bila kukusudia – kwa kusahau au kutwezwa nguvu.
  2. Kuoga wakati umefunga.
  3. Kutokwa na manii bila kukusudia – kwa kuota ndoto au namna nyingine.
  4. Kuamka na Janaba, Damu ya Hedhi au Nifasi ukiwa umefunga. 
  5. Kubusiana na kukumbatiana mume na mke wakiwa wamefunga.
  6. Kupiga mswaki, kusukutua au kupandisha maji puani.
  7. Kupaka wanja, manukato, mafuta, kuvukiza ubani au dawa ya macho.
  8. Kumeza usichoweza kujizuia nacho kama mate, kikohozi, kuingiwa na mdudu (kitu) ghafla hadi kooni, vumbi, n.k.
  9. Kupiga sindano isiyoongeza chakula mwilini kama itahitajika.
  10.  Kuumika au kutoa damu kwa mujibu wa Hadith;

“Amehadithia Ibn Abbas (r.a) kwamba Mtume (s.a.w) aliumikwa akiwa katika ‘Ihram’ na pia akiwa amefunga.”

(Ameipokea Bukhari)



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    2 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Kumuamini malaika wa mwenyezi Mungu...
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Kutoa vilivyo halali
Nguzo za uislamu (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Swala ya jamaa.
Kipengele hiki tutajifunza kusimamisha swala ya jamaa,swala za ijumaa. Soma Zaidi...

image Nguzo za imani
Zifuatazo ni nguzo za imani (EDK form 2: elimu ya dini ya kiislamu) Soma Zaidi...

image Kuamini mitume wa mwenyezi Mungu
Nguzo za Imani (EDK form 2:. Dhana ya elimu ya uislamu Soma Zaidi...

image Wenye ruhusa za kutofunga ramadhan
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Lengo la kushushwa vitabu vya mwenyezi Mungu (s.w)
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Aina za hijjah
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Tofauti kati ya Quran na vitabu vingine vya mwenyezi Mungu
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Maana ya muislamu.
Kwenye kipengele hichi tutajifunza ni nani muislamu. Soma Zaidi...