picha

Hijja na umrah

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Hijja na Umrah.

Maana ya Hijja

Kilugha:  Kuzuru au kutembelea mahali kwa lengo maalum.

Kisheria:  Ni kuizuru Kaabah, nyumba tukufu ya Makkah katika mwezi na siku

maalum kwa kuzingatia masharti na nguzo zote za Hija.

 

Maana ya Umrah

Kilugha: Ni kutembelea.

Kisheria: Ni kutembelea nyumba tukufu ya Kaabah katika mwezi na siku yeyote

kwa kuzingatia sharti na nguzo za Umrah.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 2684

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Maana ya Mirathi na kurithi katika uislamu

Maana ya MirathiMirathi katika Uislamu ni kanuni na taratibu alizoziweka Allah (Sw) katika kuwagawawia na kuwarithisha familia na jamaa, mali aliyoiacha marehemu.

Soma Zaidi...
Maswali juu ya haki na uadilifu katika uislamu

Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3:Dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Sifa nyingine za kuchaguwa mchumba ambazo watu wengi hawazijui

Hizi ni sifa za ziada za mchumba katika uislamu. Sifa hizi wengi hawazijui ama hawazingatii.

Soma Zaidi...