Hijja na umrah
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Hijja na Umrah.
Maana ya Hijja
Kilugha: Kuzuru au kutembelea mahali kwa lengo maalum.
Kisheria: Ni kuizuru Kaabah, nyumba tukufu ya Makkah katika mwezi na siku
maalum kwa kuzingatia masharti na nguzo zote za Hija.
Maana ya Umrah
Kilugha: Ni kutembelea.
Kisheria: Ni kutembelea nyumba tukufu ya Kaabah katika mwezi na siku yeyote
kwa kuzingatia sharti na nguzo za Umrah.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐1 ai web app ๐2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐3 Simulizi za Hadithi Audio ๐4 Bongolite - Game zone - Play free game ๐5 Madrasa kiganjani ๐6 web hosting
๐1 ai web app ๐2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐3 Simulizi za Hadithi Audio ๐4 Bongolite - Game zone - Play free game ๐5 Madrasa kiganjani ๐6 web hosting
Post zinazofanana:
Mwenendo wa Mtu aliyetoa Shahada
Muislamu aliyetoa shahada ya kweli hanabudiย kumfanya Mtume (s.
Soma Zaidi...Je manii ni twahara au najisi?
Post hii itakwenda kukufundisha hukumu ya manii kuwa ni twahara ama ni najis
Soma Zaidi...