Hijja na umrah
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Hijja na Umrah.
Maana ya Hijja
Kilugha: Kuzuru au kutembelea mahali kwa lengo maalum.
Kisheria: Ni kuizuru Kaabah, nyumba tukufu ya Makkah katika mwezi na siku
maalum kwa kuzingatia masharti na nguzo zote za Hija.
Maana ya Umrah
Kilugha: Ni kutembelea.
Kisheria: Ni kutembelea nyumba tukufu ya Kaabah katika mwezi na siku yeyote
kwa kuzingatia sharti na nguzo za Umrah.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
👉1 ai web app 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Jinsi ya kukaa itiqaf na taratibu zake
Hapa utajifunza kuhusu taratibu za ibada ya itiqaf yaani kukaa msikitini kwa ajili ya ibada.
Soma Zaidi...Swala ya ijumaa, nguzo zake, sharti zake na jinsi ya kuiswali
Post hii inakwenda kukugundisha kuhusu swala ya ijumaa taratibu zake na jinsi ya kuiiswali.
Soma Zaidi...Sharti za kutoa zaka
Masharti ya Utoaji wa Zakat na Swadaqat Utoaji katika njia ya Allah (s.
Soma Zaidi...