picha

Hijja na umrah

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Hijja na Umrah.

Maana ya Hijja

Kilugha:  Kuzuru au kutembelea mahali kwa lengo maalum.

Kisheria:  Ni kuizuru Kaabah, nyumba tukufu ya Makkah katika mwezi na siku

maalum kwa kuzingatia masharti na nguzo zote za Hija.

 

Maana ya Umrah

Kilugha: Ni kutembelea.

Kisheria: Ni kutembelea nyumba tukufu ya Kaabah katika mwezi na siku yeyote

kwa kuzingatia sharti na nguzo za Umrah.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 2359

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Hii ndio hutuba ya ndoa ya kiislamu

Hapa utajifunza utaratibu wa hutuba ya ndoa ya kiislamu. Sharti za jutuba ya ndoa na jinsibya kuozesha

Soma Zaidi...
Funga ya ramadhan na nyinginezo

Nguzo za uislamu (EDK form 2; dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Je mahari inashusha hadhi ya mwanamke katika jamii

Unadhani mwanamke kupewa mahari kitendo hiki kinaweza kushusha hadhi yake?

Soma Zaidi...
Taratibu za kutaliki katika uislamu.

Hapa utajifunza taratibu zinazofuatwa wakati wa kukusudia kumuacha mke. Pia utajifunza sababu za kiwepo kwa eda baada ya kuachwa mwanamke.

Soma Zaidi...