Hijja na umrah
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Hijja na Umrah.
Maana ya Hijja
Kilugha: Kuzuru au kutembelea mahali kwa lengo maalum.
Kisheria: Ni kuizuru Kaabah, nyumba tukufu ya Makkah katika mwezi na siku
maalum kwa kuzingatia masharti na nguzo zote za Hija.
Maana ya Umrah
Kilugha: Ni kutembelea.
Kisheria: Ni kutembelea nyumba tukufu ya Kaabah katika mwezi na siku yeyote
kwa kuzingatia sharti na nguzo za Umrah.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 web hosting 👉4 ai web app 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Kujitwaharisha kutokana na najisi
Post hii itakufundisha namna ya kutwaharisha Najisi.
Soma Zaidi...msimamo wa uislamu juu ya kupanga uzazi na uzazi wa mpango
Msimamo wa Uislamu juu ya kudhibiti uzaziKama tulivyoona, msukumo wa kampeni ya kudhibiti kizazi, umetokana na mfumo mbaya wa kijamii na kiuchumi ulioundwa na wanadamu kutokana na matashi yao ya ubinafsi.
Soma Zaidi...Mambo ya kuzingatia kabla ya kugawa mirathi
Haya ni mamno muhimu yanayozingatiwa kabla ya kuanza zoezi la kugawa mirathi ya marehemu.
Soma Zaidi...Sunnah za siku ya idi na utaratibu wa kusherehekea
Hapa utajifunza utaratibu wa kusherekea ifil fitir. Pia utajifunza sunnah zinazoambatsns na idil fitir
Soma Zaidi...