picha

Hijja na umrah

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Hijja na Umrah.

Maana ya Hijja

Kilugha:  Kuzuru au kutembelea mahali kwa lengo maalum.

Kisheria:  Ni kuizuru Kaabah, nyumba tukufu ya Makkah katika mwezi na siku

maalum kwa kuzingatia masharti na nguzo zote za Hija.

 

Maana ya Umrah

Kilugha: Ni kutembelea.

Kisheria: Ni kutembelea nyumba tukufu ya Kaabah katika mwezi na siku yeyote

kwa kuzingatia sharti na nguzo za Umrah.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 2495

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 web hosting     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Mifano na namna ya kurithisha

Ugawaji wa mirathi-Mume ana nusu (1/2) = 1/2 -Mama ana sudusi.

Soma Zaidi...
Mambo yanayotenguwa udhu

Post hiibinakwenda kukufundisha mambo ambayo yanaharibu udhu.

Soma Zaidi...
Wenye ruhusa za kutofunga ramadhan

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...