Umuhimu na nafasi za hijjah katika uislamu
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Umuhimu na Nafasi ya Hijjah katika Uislamu.
- Hijjah ni nguzo ya tano katika Uislamu iliyofaradhishwa kwa waumini.
Rejea Qur’an (3:97).
- Hijjah na Umrah ni ibada za hali ya juu na zenye malipo makubwa mbele ya Mwenyezi Mungu (s.w).
- Kuacha ibada ya Hijjah kwa mwenye uwezo kwa kukusudia anastahiki adhabu mbele ya Mwenyezi Mungu (s.w).
Rejea Qur’an (3:97).
- Kuhiji ni amri ya Mwenyezi Mungu (s.w) kwa waumini wenye uwezo wa kimali na afya.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐1 Kitau cha Fiqh ๐2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐3 kitabu cha Simulizi ๐4 Madrasa kiganjani ๐5 Dua za Mitume na Manabii ๐6 ai web app
๐1 Kitau cha Fiqh ๐2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐3 kitabu cha Simulizi ๐4 Madrasa kiganjani ๐5 Dua za Mitume na Manabii ๐6 ai web app
Post zinazofanana:
Tofauti ya uchumi wa kiislamu na usio wa kiisalmu
Tofauti kati ya mfumo wa uchumi wa Kiislamu na ile ya Kitwaghuti (i) Dhana ya mafanikioKatika mtazamo wa uchumi wa Kiislamu mafanikio yanatazamwa kwa kuzingatia hatima ya ama mtu kupata radhi za Mwenyezi Mungu au kubeba laana ya Mwenyezi Mungu.
Soma Zaidi...Maana ya swala
Maana ya Swala Maana ya Swala kilugha(a) Kilugha Katika lugha ya Kiarabu neno ยSwalaatย lina maana ya ยombi au ยdua.
Soma Zaidi...Funga za Sunnah na umuhimu wake
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Dhana ya haki na uadilifu katika uislamu
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...