Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Na. |
Hijjah |
Umrah |
1. |
Hijjah ni faradh kwa muislamu mwenye uwezo mara moja kwa maisha yake yote. |
Umrah ni Sunnah iliyokokotezwa. |
2. |
Hijjah ina muda maalum, hufanywa katika mwezi na siku maalum. |
Umrah haina muda maalum, hufanywa mwezi na siku yeyote. |
3. |
Hijjah huchukua muda mrefu na hufanyikia ndani na nje ya Makka – Muzdalifa, Arafa na Mina. |
Umrah huchukua muda mfupi na hufanyikia ndani ya Makka kwa Kutufu, Kusai na Kunyoa tu. |
4. |
Ibada ya Hijjah ina matendo mengi |
Ibada ya Umrah ina matendo machache. |
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Ni ipi raslimali ya halali kuimiliki katika uislamu.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu mambo ambauo ni haramu kwa mtu asiye na udhu.
Soma Zaidi...Masharti ya Utoaji wa Zakat na Swadaqat Utoaji katika njia ya Allah (s.
Soma Zaidi...Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukugundisha jinsi ya kutawadha hatuwa kwa hatuwa.
Soma Zaidi...Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Wajibu wa KufanyakaziUislamu siyo tu unawahimiza watu kufanya kazi na kutokuwa wavivu bali kufanya kazi ni Ibada.
Soma Zaidi...(ii) Hatua za Kuzuia Uzinzi JamiiUislamu pamoja na kutoa mafunzo ya maadii yanayomuwezesha mtu binafsi ajiepushe kwa hiari yake na kitendo kibaya cha zinaa, umechukua hatua mbali mbali ambazo huifanya zinaa isiwe kitendo chepesi katika jamii.
Soma Zaidi...Assalaam alykum warahmatullah wabarakatuh.
Soma Zaidi...