Vijuwe virutubisho vilivyomo kwenye parachichi.

Vijuwe virutubisho vilivyomo kwenye parachichi.

Posti hii inahusu zaidi virutubisho vilivyomo kwenye parachichi, tunajua sana kuwa parachichi ina virutubisho vingi ambavyo vinaweza kuleta faida nyingi kwenye mwili kama yalivyo matunda na vyakula vingine.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Virutubisho vilivyomo kwenye parachichi.

1. Parachichi lina kiasi kikubwa cha Kalori 240  ila 184 inatokana na mafuta kwa hiyo hicho ni kiwango kikubwa cha Kalori.

 

2. Pia parachichi lina kiwango kikubwa cha sodium ambacho ni milligram kumi na moja za sodium ambazo ziko kwenye parachichi.

 

3. Pia parachichi lina kiwango cha wanga ambacho kimo ndani yake ni milligram kumi na tatu za wanga ambazo zimo kwenye parachichi.

 

4. Vile vile parachichi lina gram kumi za nyuzi nyuzi za lishe kwa hiyo hicho ni kiasi kikubwa sana kwa parachichi.

 

5. Pia parachichi lina kiasi cha sukari .

Kwa hiyo sukari ambayo imo kwenye parachichi ni kiasi cha gram moja tu ya sukari.

 

6. Kwenye parachichi kuna vitamini C ambavyo ni asilimia kumi na saba, pia vitamini E ni asilimia kumi na kuna vitamini B3 na vitamini B6 ambapo vitamini B5 ni asilimia kumi na nne na vitami B6 ni asilimia kumi na tatu.

 

7.pia parachichi lina kiwango cha madini ambayo ni madini ya potassium ambayo ni asilimia kumi na nne,  pia kuna aina ya asidi inayoitwa folate asidi ambayo ina asilimia ishirini.

 

8. Kwa hiyo tunaona parachichi lilivyo na vitu vingi uko ni tunda moja kwa hiyo tunapaswa kulitumia sana ili tuweze kupata vitamini na madini yaliyomo.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1874

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Vyakula vya fati
Vyakula vya fati

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula tangawizi
Faida za kiafya za kula tangawizi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi

Soma Zaidi...
Kazi kuu tatu za Vitamini C mwilini
Kazi kuu tatu za Vitamini C mwilini

Vitamini C tunaweza kuvipata kwenye matuinda kama machunwa vina kazi kuu tatu ambazo ni hizi hapa

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA MADINI
VYAKULA VYA MADINI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini

hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin B
Vyakula vya vitamin B

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamin B

Soma Zaidi...
Faida za kula nanasi
Faida za kula nanasi

Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...