Posti hii inahusu zaidi virutubisho vilivyomo kwenye parachichi, tunajua sana kuwa parachichi ina virutubisho vingi ambavyo vinaweza kuleta faida nyingi kwenye mwili kama yalivyo matunda na vyakula vingine.
Virutubisho vilivyomo kwenye parachichi.
1. Parachichi lina kiasi kikubwa cha Kalori 240 ila 184 inatokana na mafuta kwa hiyo hicho ni kiwango kikubwa cha Kalori.
2. Pia parachichi lina kiwango kikubwa cha sodium ambacho ni milligram kumi na moja za sodium ambazo ziko kwenye parachichi.
3. Pia parachichi lina kiwango cha wanga ambacho kimo ndani yake ni milligram kumi na tatu za wanga ambazo zimo kwenye parachichi.
4. Vile vile parachichi lina gram kumi za nyuzi nyuzi za lishe kwa hiyo hicho ni kiasi kikubwa sana kwa parachichi.
5. Pia parachichi lina kiasi cha sukari .
Kwa hiyo sukari ambayo imo kwenye parachichi ni kiasi cha gram moja tu ya sukari.
6. Kwenye parachichi kuna vitamini C ambavyo ni asilimia kumi na saba, pia vitamini E ni asilimia kumi na kuna vitamini B3 na vitamini B6 ambapo vitamini B5 ni asilimia kumi na nne na vitami B6 ni asilimia kumi na tatu.
7.pia parachichi lina kiwango cha madini ambayo ni madini ya potassium ambayo ni asilimia kumi na nne, pia kuna aina ya asidi inayoitwa folate asidi ambayo ina asilimia ishirini.
8. Kwa hiyo tunaona parachichi lilivyo na vitu vingi uko ni tunda moja kwa hiyo tunapaswa kulitumia sana ili tuweze kupata vitamini na madini yaliyomo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua
Soma Zaidi...Hapa utajifunza sababu za kupatwa na maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu
Soma Zaidi...