Vijuwe virutubisho vilivyomo kwenye parachichi.
Posti hii inahusu zaidi virutubisho vilivyomo kwenye parachichi, tunajua sana kuwa parachichi ina virutubisho vingi ambavyo vinaweza kuleta faida nyingi kwenye mwili kama yalivyo matunda na vyakula vingine.
Virutubisho vilivyomo kwenye parachichi.
1. Parachichi lina kiasi kikubwa cha Kalori 240 ila 184 inatokana na mafuta kwa hiyo hicho ni kiwango kikubwa cha Kalori.
2. Pia parachichi lina kiwango kikubwa cha sodium ambacho ni milligram kumi na moja za sodium ambazo ziko kwenye parachichi.
3. Pia parachichi lina kiwango cha wanga ambacho kimo ndani yake ni milligram kumi na tatu za wanga ambazo zimo kwenye parachichi.
4. Vile vile parachichi lina gram kumi za nyuzi nyuzi za lishe kwa hiyo hicho ni kiasi kikubwa sana kwa parachichi.
5. Pia parachichi lina kiasi cha sukari .
Kwa hiyo sukari ambayo imo kwenye parachichi ni kiasi cha gram moja tu ya sukari.
6. Kwenye parachichi kuna vitamini C ambavyo ni asilimia kumi na saba, pia vitamini E ni asilimia kumi na kuna vitamini B3 na vitamini B6 ambapo vitamini B5 ni asilimia kumi na nne na vitami B6 ni asilimia kumi na tatu.
7.pia parachichi lina kiwango cha madini ambayo ni madini ya potassium ambayo ni asilimia kumi na nne, pia kuna aina ya asidi inayoitwa folate asidi ambayo ina asilimia ishirini.
8. Kwa hiyo tunaona parachichi lilivyo na vitu vingi uko ni tunda moja kwa hiyo tunapaswa kulitumia sana ili tuweze kupata vitamini na madini yaliyomo.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 web hosting 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Vyakula salama na vilivyo hatari kwa mwenye kisukari, na vipi atajikinga na kisukari
Makala hii inakwenda kukupa elimu juu ya vyakula na vinywaji vilivyo salama kwa mtu mwenye kisukari, na ni vyakula vipi ni hatari kwa mwenye kisukari. Pia utajifunza njia za kujilinda na kupata kisukari.
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula fenesi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fenesi
Soma Zaidi...FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA TUNDA PERA
Pera ni tunda bora lakini pia ni dawa, tambua umuhimu wa tunda hili kiafya
Soma Zaidi...Madhara ya kula chakula chenye chumvi nyingi
Posti hii inakwendavkukufundisha madhara unayoweza kuyapata unapokula chakula cgenye chumvi nyingi
Soma Zaidi...Faida za kula papai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula fyulisi/ peach
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/peach
Soma Zaidi...