Umuhimu wa funga ya ramadhan
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Umuhimu wa funga ya Ramadhani.
- Funga ya mwezi wa Ramadhani ni nguzo ya nne katika Uislamu.
- Kufunga mwezi wa Ramadhani ni utambulisho wa Uislamu wa mtu.
- Kufunga mwezi wa Ramadhani ni amri ya Mwenyezi Mungu (s.w).
Rejea Qur’an (2:183).
- Kufunga mwezi wa Ramadhani ni utambulisho wa Ucha-Mungu wa mtu.
- Kutofunga mwezi wa Ramadhani makusudi hupelekea kukosa msamaha.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 web hosting 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 web hosting 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Watu wanaolazimika kufunga mwezi wa Ramadhani
Hapa utajifunza watu ambao wanalazimika kufunga mwezi wa Ramadhani.
Soma Zaidi...