Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Funga ya mwezi wa Ramadhani ni nguzo ya nne katika Uislamu.
- Kufunga mwezi wa Ramadhani ni utambulisho wa Uislamu wa mtu.
- Kufunga mwezi wa Ramadhani ni amri ya Mwenyezi Mungu (s.w).
Rejea Qur’an (2:183).
- Kufunga mwezi wa Ramadhani ni utambulisho wa Ucha-Mungu wa mtu.
- Kutofunga mwezi wa Ramadhani makusudi hupelekea kukosa msamaha.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Endapo muislamu hatafunga mwezi wa Ramadhani bila ya ruhusa je atatakiwa afanye nini. Je ataweza kuilipa funga hiyo?
Soma Zaidi...Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...