Umuhimu wa funga ya ramadhan

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-  Funga ya mwezi wa Ramadhani ni nguzo ya nne katika Uislamu.

-  Kufunga mwezi wa Ramadhani ni utambulisho wa Uislamu wa mtu.

-  Kufunga mwezi wa Ramadhani ni amri ya Mwenyezi Mungu (s.w).

    Rejea Qur’an (2:183).

-  Kufunga mwezi wa Ramadhani ni utambulisho wa Ucha-Mungu wa mtu.

-  Kutofunga mwezi wa Ramadhani makusudi hupelekea kukosa msamaha.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1877

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana: