Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Funga ya mwezi wa Ramadhani ni nguzo ya nne katika Uislamu.
- Kufunga mwezi wa Ramadhani ni utambulisho wa Uislamu wa mtu.
- Kufunga mwezi wa Ramadhani ni amri ya Mwenyezi Mungu (s.w).
Rejea Qur’an (2:183).
- Kufunga mwezi wa Ramadhani ni utambulisho wa Ucha-Mungu wa mtu.
- Kutofunga mwezi wa Ramadhani makusudi hupelekea kukosa msamaha.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii itakufundisha taratibu zinazofanyika ilibkuswalibukiwa vitani.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutawadha kama vile ambavyo alitawadha Mtume
Soma Zaidi...(ii) Hatua za Kuzuia Uzinzi JamiiUislamu pamoja na kutoa mafunzo ya maadii yanayomuwezesha mtu binafsi ajiepushe kwa hiari yake na kitendo kibaya cha zinaa, umechukua hatua mbali mbali ambazo huifanya zinaa isiwe kitendo chepesi katika jamii.
Soma Zaidi...Haya ni maandalizi ya kumuandaa maiti baada ya kufariki.
Soma Zaidi...Hii ni hutuba ya ndoa kwa ufupi, Imekusanya mambo ya msingi yanayohitajika katika hutuba ya ndoa
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwedna kujifunza jinsi ya kutwaharisha aina mbalimbali za najisi kwa mujibu wa mafundiso ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Soma Zaidi...