Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri.
Vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito ni pamoja na.
1.kula Aina Tano za vyakula na kunywa maji ya kutosha walau Lita Moja na nusu kwa siku
2.Anapaswa kutumia nyama na maini
3.anapaswa kutumia mboga za majani Ili kuongezeka vitamin c
4.anapaswa kuwa msafi katika vyakula na maji
5.Aepuke kunywa sana chai au kahawa akiwa anakuja Ili kuepuka kusambaratisha madini ya chuma na kusababisha upungufu wa damu
6.Aepuke pombe kwa sababu zinazuia ukuaji wa mtoto na kuaribu ubongo wa mtoto
7.Atumie madawa ya kuongeza damu na madini ya chuma kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake
Soma Zaidi...Je ungependa kujuwa vyakula hivyo ama vyanzo vya madini? Na je ungependa kujuwa ni zipi hasa kazi za madini katika miili yetu?. makala hii ni kwa ajili yako, hapa utakwenda kujifunza mengi kuhusu somo hili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama
Soma Zaidi...Mlo kamili ni mkusanyiko kuu wa vyakula mbalimba kwa pamoja huimarisha na kuujenga  mwili wa binadamu na wanyama kwa sababu vinaleta virutubishi vyote vinavyohitajika.  Mkusanyiko wa vyakula vinavyotengeneza mlo kamili Kuna majina ya vyakula
Soma Zaidi...Post hii itakupa elimu kuhusu mfumo wa mmrng'enyobwa chakula unavyo fanyankazi
Soma Zaidi...