Dalili za macho makavu.


image


Posti hii inahusu zaidi njia za kutambua Dalili za macho makavu, kama tulivyotangulia kuona kubwa macho kuwa makavu Usababishwa na sehemu ya kuzalisha maji kwenye jicho kushindwa kufanya kazi na jicho hilo huwa kavu na Dalili zake ni kama ifuatavyo.


1.Tukumbuke kuwa kwenye jicho kuna maji maji ambayo ufanya sehemu ya jicho kufanya kazi yake vizuri na kwa wakati ila kuna kipindi maji maji hayo yanapungua kwa sababu ya sehemu ambayo utengeneza maji maji hayo ushindwa kufanya kazi kwa hiyo tunaweza kuona dalili za jicho kavu kama ifuatavyo.

 

2. Macho yanakuwa mekundu.

Kwa sababu ya kutokuwepo kwa maji maji kwenye jicho sehemu yake utokea wekundu wekundu kwenye jicho ambao unaweza kuonekana moja kwa moja kutoka kwa mgonjwa. 

 

3. Kiasi cha kuona kwa mgonjwa upungua.

Kuna wakati mwingine kiasi cha kupona kunapunguza inawezekana kuona kwa karibu au kuona kwa mbali kwa hiyo Mgonjwa uangaika sana wakati anapotaka kuona kitu.

 

4. Macho huwa na Matongo tongo.

Kwa kawaida macho ya mtu mwenye macho makavu huwa na Matongo tongo yasiyo ya kawaida na ya kuzudi kiasi hasa wakati wa asubuhi kwa hiyo tuwashauri waende hospitali ili kupata matibabu mapema na kuepuka madhara makubwa zaidi ambayo ya aweza kutokea.

 

5.Tatuzi lisipotibiwa mapema upofu unaweza kutokea kwa mgonjwa kwa hiyo ikitokea macho ya mgonjwa huwa makavu na Dalili za hapa zote zimejitokeza mgonjwa anapaswa kuwahi hospitali ili kuweza kupata matibabu kwa sababu Ugonjwa huu unatibika.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa,ni madhara ambayo utokea endapo Maambukizi kwenye mifupa yasipotibiwa kwa mda wake. Soma Zaidi...

image Imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba
Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba. Soma Zaidi...

image Wajibu wa mjamzito katika utaratibu wa uleaji wa mimba
Posti hii inahusu zaidi wajibu wa Mama mjamzito katika kileo mimba sio yeye tu Bali na wote waliomzunguka wanapaswa kuhakikisha kuwa mama mjamzito anapaswa kufanyiwa huduma zote Ili kuweza kujifungua salama na bila shida yoyote. Soma Zaidi...

image Dawa za maumivu ya jino
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za maumivu ya jino Soma Zaidi...

image Huduma ya kanza kwa mgonjwa mwenye jeraha la kawaida kwenye ubongo
Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza ya mgonjwa mwenye jeraha la kawaida kwenye ubongo, ni Tiba ambayo utolewa kulingana na dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

image Sababu za ugonjwa wa pumu, dalili zake na jinsi ya kujilinda na pumu.
Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa hewa ambapo mgonjwa hushindwa kupumua vizuri na hupelekea matatizo ya kudumu kama haujatibiwa mapema. Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa dondakoo
Dondakoo ni ugonjwa mbaya unaosababishwa na sumu inayotengenezwa na bakteria. Husababisha mipako nene nyuma ya pua au koo ambayo inafanya kuwa ngumu kupumua au kumeza. Inaweza kuwa mauti. Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa upele na matibabu yake
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa upele na matatibabu yake, ni ugonjwa unaosabavishwa na mdudu kwa kitaalamu huitwa mites sarcoptes scrabie mdudu huyu usababisha miwasho kwenye ngozi. Soma Zaidi...

image Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa Soma Zaidi...

image Madhara ya ugonjwa wa ukimwi kwenye jamii.
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa Ugonjwa huu wa ukimwi ukishasmbaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kuleta madhara makubwa kama ifuatavyo. Soma Zaidi...