Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili.
Maji ni katika vimiminika muhimu sana katika mwili wa kiume hai chochite kile. Majivyanaweza kuwa ni dawa pia ukiachana na faida nyingi za maji.
Tafiti zinathibitisha kuwa jwa matatizo ya saikolojia unatakiwa kuoga pindi unapokuwa na msongo wa mawazo kupitiliza.
Wataalamu wa saikolojia pia wanashauri kabla ya kufanya maamuzi kama utaosha uso na mikono basi maamuzi yako yatakuwa sahihi kwani utakuwa freshi kisaikolojia.
Kama unasumbukiwa namaumivu ya kichwa wakati wa mchana jaribu kunywa maji huwenda ukapona maumivu hayo. ✍️
Kwa mtu aliyekunywa sumu kama utakosa maziwa maziwa mpatie maji mengi sana anywe. Hii itasaidia kuounguza makali ya sumu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hapa utajifunza sababu za kupatwa na maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia
Soma Zaidi...hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kula vitamini C kupitiliza
Soma Zaidi...