Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili.
Maji ni katika vimiminika muhimu sana katika mwili wa kiume hai chochite kile. Majivyanaweza kuwa ni dawa pia ukiachana na faida nyingi za maji.
Tafiti zinathibitisha kuwa jwa matatizo ya saikolojia unatakiwa kuoga pindi unapokuwa na msongo wa mawazo kupitiliza.
Wataalamu wa saikolojia pia wanashauri kabla ya kufanya maamuzi kama utaosha uso na mikono basi maamuzi yako yatakuwa sahihi kwani utakuwa freshi kisaikolojia.
Kama unasumbukiwa namaumivu ya kichwa wakati wa mchana jaribu kunywa maji huwenda ukapona maumivu hayo. ✍️
Kwa mtu aliyekunywa sumu kama utakosa maziwa maziwa mpatie maji mengi sana anywe. Hii itasaidia kuounguza makali ya sumu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean.
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Vijuwe vyakula vya kyongeza nguvu za kiume na mambo yanayopunguza nguvu za kiume
Soma Zaidi...kuhusu vitamini K, wapi tutavipata, ni zipi athari zake na ni zipi kazi zake mwilini.
Soma Zaidi...Usiogope kuwashwa, kula pilipili ni nzuri kwa afya yako ia virutubisho vingi sana
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu lishe salama kwa mjamzito
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E
Soma Zaidi...Makala hii iatakuletea aina kuu tano za vywkula vyenye protini nyingi zaidi. Kama ulikuwa unajiuliza kuwa ni vyakula ipi hasa vinaweza kukupatia protini kwa wingi ni vipi, makala hii ndio majibu yako kwa swali hilo.
Soma Zaidi...