Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili.
Maji ni katika vimiminika muhimu sana katika mwili wa kiume hai chochite kile. Majivyanaweza kuwa ni dawa pia ukiachana na faida nyingi za maji.
Tafiti zinathibitisha kuwa jwa matatizo ya saikolojia unatakiwa kuoga pindi unapokuwa na msongo wa mawazo kupitiliza.
Wataalamu wa saikolojia pia wanashauri kabla ya kufanya maamuzi kama utaosha uso na mikono basi maamuzi yako yatakuwa sahihi kwani utakuwa freshi kisaikolojia.
Kama unasumbukiwa namaumivu ya kichwa wakati wa mchana jaribu kunywa maji huwenda ukapona maumivu hayo. ✍️
Kwa mtu aliyekunywa sumu kama utakosa maziwa maziwa mpatie maji mengi sana anywe. Hii itasaidia kuounguza makali ya sumu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju
Soma Zaidi...Je! unatambuwa madhara ya vyakula vya protini na mafuta? ungana nasi kwenye somo hili
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari kwa mwenye kisukari
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu maji
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya kula
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pilipili
Soma Zaidi...Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo.
Soma Zaidi...