Posti hii inahusu zaidi mambo anyopaswa kujua akiwa mjamzito. Ni mambo muhimu ya kuzingatia kwa mama akiwa mjamzito.
Mambo anavyopaswa kujua mama mjamzito
1.kuhusu uzazi wa mpango
Mama mjamzito anapaswa kujua njia mbali za uzazi wa mpango Ili aweze kumnyonyesha mtoto wake vizuri na kumpa upendo wa kutosha
2.Kuhudhulia kliniki inavyopaswa
Mama mjamzito anapaswa kuhudhulia kliniki kwa mda wote bila kukatishakatusha
3.kupima maambukizi
Mama mjamzito anapaswa kupima afya yake kabla ya kujifungua Ili hasimwambukize mtoto kabla ya kujifungua
4.Kutumia dawa anayopewa kwa uaminifu
Mama mjamzito anapaswa kutumia vidonge vinaitwa fansida akiwa mjamzito Ili kuzuia malaria kwa mtoto
5.kutumia vyakula vinavyoongeza damu na madini ya chuma
Mama mjamzito anapaswa kutumia vyakula vinavyoongeza damu na madini ya chuma
6.kuepuka pombe kali na bangi
Mama mjamzito anapaswa kuepuka kunywa pombe na bangi kwa sababu huaribu maendeleo ya mtoto
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Post huu inahusu zaidi utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito, ni chakula anachopaswa kutumia na ambavyo hapaswi kutumia kwa Mama mjamzito mzito, kwa sababu Mama mjamzito anapaswa kuwa makini katika matumizi ya chakula ili kuweza kuongeza vitu muhimu mwil
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wajawazito wanaweza kuzipata wakiwa na Dalli au tayari wana kifafa cha mimba.
Soma Zaidi...Tezidume ni moja ya magonjwa hayari yanayotokea katika mwili wa mwanaume.Hapa nimekuandalia sababu za kutokea kwa tezi dume.
Soma Zaidi...Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa homoni ya projestron ikipungua mwilini na pia kuweza kutambua dalili za kupungua kwa homoni hii ya progesterone.
Soma Zaidi...Utawezaje kukabiliana na changamoto za ujauzito, je ni zipi changamoto hizo. Hapa nitakujuza.
Soma Zaidi...