Posti hii inahusu zaidi mambo anyopaswa kujua akiwa mjamzito. Ni mambo muhimu ya kuzingatia kwa mama akiwa mjamzito.
Mambo anavyopaswa kujua mama mjamzito
1.kuhusu uzazi wa mpango
Mama mjamzito anapaswa kujua njia mbali za uzazi wa mpango Ili aweze kumnyonyesha mtoto wake vizuri na kumpa upendo wa kutosha
2.Kuhudhulia kliniki inavyopaswa
Mama mjamzito anapaswa kuhudhulia kliniki kwa mda wote bila kukatishakatusha
3.kupima maambukizi
Mama mjamzito anapaswa kupima afya yake kabla ya kujifungua Ili hasimwambukize mtoto kabla ya kujifungua
4.Kutumia dawa anayopewa kwa uaminifu
Mama mjamzito anapaswa kutumia vidonge vinaitwa fansida akiwa mjamzito Ili kuzuia malaria kwa mtoto
5.kutumia vyakula vinavyoongeza damu na madini ya chuma
Mama mjamzito anapaswa kutumia vyakula vinavyoongeza damu na madini ya chuma
6.kuepuka pombe kali na bangi
Mama mjamzito anapaswa kuepuka kunywa pombe na bangi kwa sababu huaribu maendeleo ya mtoto
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hii ni orodha ya dawa ambazo hutumiwa sana na watu kutoka maduka ya dawa lakini sio salama kwa wajawazito.
Soma Zaidi...Kuna uwezekano una ujauzito ila hujajijuwa, huwenda hujapata dalili zozote. Unataka kujuwa kama una ujauzito baada ya tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Unaweza kutaka kujuwa je naweza kupata dalili za mimba baada ya siku nne toka ujauzito kutungwa? ama baada ya siku nne toka kushiriki tendo la ndoa. Makala hii itakwenda kujibu maswali haya na mengineyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia ugumba, ni njia ambazo utumiwa na wapenzi ambao wameshindwa kupata watoto hasa kwa wale ambao wamezaliwa wakiwa na uwezo wa kupata watoto lakini kwa sababu tofauti tofauti wanashindwa kupata watoto kwa hiyo njia zifu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mimba iliyotunga nje na madhara yake kiafya
Soma Zaidi...Mtoto huweza kuzaliwa ndani ya miezi 6 na unaweza kupona. Na huyu mdoe mtoto njiti. Na anaweza kuzliwa kwa njia ya kawaida. Hakuna ushahidi unaiinyesha kuwa njiti hukabiliwanamatatizo ya kitalima kwenye ukubwa wako.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, hali hii utokea kwa watoto wadogo wakati wa kuzaliwa kwa sababu maalum kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Posti hii utakwenda kutoa sababu kuu za kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi. Kama na wewe numiongini mwaka endelea kusoma
Soma Zaidi...Nitakujiza dawa ya chango na maumivu ya tumbo lahedhi, dalili zake na njia za kukabiliana na maumivu ya tumbo la chango.
Soma Zaidi...