Posti hii inahusu zaidi mambo anyopaswa kujua akiwa mjamzito. Ni mambo muhimu ya kuzingatia kwa mama akiwa mjamzito.
Mambo anavyopaswa kujua mama mjamzito
1.kuhusu uzazi wa mpango
Mama mjamzito anapaswa kujua njia mbali za uzazi wa mpango Ili aweze kumnyonyesha mtoto wake vizuri na kumpa upendo wa kutosha
2.Kuhudhulia kliniki inavyopaswa
Mama mjamzito anapaswa kuhudhulia kliniki kwa mda wote bila kukatishakatusha
3.kupima maambukizi
Mama mjamzito anapaswa kupima afya yake kabla ya kujifungua Ili hasimwambukize mtoto kabla ya kujifungua
4.Kutumia dawa anayopewa kwa uaminifu
Mama mjamzito anapaswa kutumia vidonge vinaitwa fansida akiwa mjamzito Ili kuzuia malaria kwa mtoto
5.kutumia vyakula vinavyoongeza damu na madini ya chuma
Mama mjamzito anapaswa kutumia vyakula vinavyoongeza damu na madini ya chuma
6.kuepuka pombe kali na bangi
Mama mjamzito anapaswa kuepuka kunywa pombe na bangi kwa sababu huaribu maendeleo ya mtoto
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowPost hii inakwenda kukutania madhara ya kuoiga punyeto kwa afya yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki, kliniki nisehemu ambayo mtoto hupelekwa Ili kujua maendeleo ya mtoto akiwa chini ya umri wa miaka mitano
Soma Zaidi...SIKU YA KUPATA UJAUZITO Kawaida wanawake walio wengi mzunguruko wa siku zao ni siku 28 lakini wapo ambao ni zaidi ya hapo na wapo ambao ni chini ya hapo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea kwa sababu ya kuziba kwa mishipa ya uzazi, ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa tatizo la kuziba kwa mishipa ya uzazi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu damu, uteute na maji yanayotoka ukeni kipindi cha ujauzito
Soma Zaidi...Kupata ujauzito hufungamana na mambo mengi ikiwepo afya vya wawili yaani me na mume na mengineyo. Unaweza kushiriki sikuvhatari na usiupate mimba. Postivhii ibakwendavkukufahamisha undani wa jambo hili.
Soma Zaidi...Je ungependa kuijuwa Njia ya kuzuia mimba wakati wa tendo la ndoa?. Posti hii itakwenda kukufundisha ujanja huu.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba na dalili za siku hizo.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kulia
Soma Zaidi...Utajifunza sababu za maumivu ya uume na uke wakati wa tendo la ndoa na baada ya tendo la ndoa na matibabu yake.
Soma Zaidi...