Yafahamu magonjwa nyemelezi kwa watoto chini ya miaka mitano
Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo.
Magonjwa nyemelezi kwa watoto chini ya miaka mitano.
Malaria
_ ni ugonjwa unaoshambulia sana watoto wadogo na kuwaweka katika mazingira ya hatari katika makuzi ya mtoto,
2.Neumonia
_ Ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa upumuaji na kusababisha matatizo mengi sana kwa watoto
3. Anemia
_ Ni ugonjwa unaosababisha upungufu wa damu kwa watoto
4. Kuharisha
Ni ugonjwa unaoshambulia sana watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano na kumaliza maji mwilini
5. Degedege ni ugonjwa hatari ambao ushambulia watoto na pengine kuwaachia ulemavu wa kudumu.
Magonjwa haya yapo kwenye mazingira yetu na yanatibika, tuwapeleke watoto wetu hospitalini Ili watibiwe na dawa zipo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua
Soma Zaidi...Namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa matumizi mbalimbali
Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu.
Soma Zaidi...vitamini B na makundi yake
Makala hii inakwenda kukuletea kazi za vitamini B, pia tutajwenda kuona makundi ya vitamini B na kazi za kila kundi. Pia makala hii inakwenda kukufundisha vyanzo na vyakula vya vitamini B. Utajifunza pia kazi kuu za vitamini B kw
Soma Zaidi...Faida za kula tikiti
Somo hili linalenga kukujuza juu ya umuhimu wa tikiti kwenye afya ya mwili
Soma Zaidi...