Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo.
Magonjwa nyemelezi kwa watoto chini ya miaka mitano.
Malaria
_ ni ugonjwa unaoshambulia sana watoto wadogo na kuwaweka katika mazingira ya hatari katika makuzi ya mtoto,
2.Neumonia
_ Ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa upumuaji na kusababisha matatizo mengi sana kwa watoto
3. Anemia
_ Ni ugonjwa unaosababisha upungufu wa damu kwa watoto
4. Kuharisha
Ni ugonjwa unaoshambulia sana watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano na kumaliza maji mwilini
5. Degedege ni ugonjwa hatari ambao ushambulia watoto na pengine kuwaachia ulemavu wa kudumu.
Magonjwa haya yapo kwenye mazingira yetu na yanatibika, tuwapeleke watoto wetu hospitalini Ili watibiwe na dawa zipo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kwa ufupi vyakula vya kuviepuka kama una presha ya kupanda.
Soma Zaidi...Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vyenye protini kwa wingi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
Soma Zaidi...Uyoga pia ni katika vyakula vya asili, ijapokuwa upatikanaji wake umekuwa mchache siku hizi. Shukrani ziwaendee wataalamu wa kilimo, kwa sasa tunaweza kuzipata mbegu za uyoga kutoka maabara na kulima uyoga popote pale. Wataalamu wa mimea wanaamini kuwa uy
Soma Zaidi...Kama tulivyosema hapo juu kuwa afya ni kuwa mzima kimwili na kiakili.
Soma Zaidi...