Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga
. faida za kiafya za kula karanga
1. karanga zina virutubisho kama protini, fati, vitamini B1, B2, B6, madini ya calcium, phosphorus, magnesium na sodium
2. Husaidia katika kudhibiti kisukari
3. Husaidia kuzuia saratani
4. Husaidia katika kutunza kumbukumbu na kuboresha afya ya ubongo
5. Huzuia unyonyokaji ama ukatikaji wa nywele
6. Husaidia katika kupunguza uzito
7. Husaidia katika ukuaji mzuri wa watoto
8. Huboresha afya ya ngozi
9. Ni nzuri kwa afya ya moyo
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Matunda ya zamani, matunda ya asili, Zaituni tunda lipendezalo, zijuwe faida zake leo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mayai
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza aina 20 za vitamini. Utajifunza kazu zake mwilini, vyanzo vyake na madhara yanayoweza kutokea kutokana na upungufu wake.
Soma Zaidi...Unaijuwa maana ya virutubisho vya protini, na kazi zake mwilini. Soma zaidi hapa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...