picha

Mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto

Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto, mtoto katika makuzi yake anahitaji kutunzwa vizuri Ili akue kwa afya nzuri bila magonjwa

Mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto

  1. Mlo kamili

 Mtoto anapaswa kula chakula chenye virutubisho kufuatana na umri, kama hajafikisha umri wa kula usimpatie chakula acha anyonye mpaka wakati wa kuanzia kula,

2.Magonjwa

 Magonjwa ni shida inayofanya watoto wadumae wasikue kwa wakati, magonjwa kama degedege na malaria na mengineyo

3. Mazingira ya mtoto

Mtoto akiishi mazingira mazuri yenye hewa Safi na mahitaji ya kutosha ataweza kukua vizuri

4. Kuhudhulia kliniki

 Mtoto akiwa anahudhulia kliniki na kufuata maelekeza yote kama vile chanjo, kupima uzito na kupata vidonge vya minyoo ataweza kukua vizuri

5. Uchumi wa familia

Mtoto akitoka familia yenye uchumi mzuri ataweza kukua na kupata mahitaji yote kuliko mtoto akitoka kwenye familia maskini

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1921

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 web hosting     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Nini chanzo cha malaria

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu chanzo cha ugonjwa wa malaria

Soma Zaidi...
Nini husababisha Fangasi sehemu za Siri

Katika somo hili tutaeleza sababu kuu zinazopelekea kupata fangasi sehemu za siri, mazingira yanayochochea kuongezeka kwa fangasi, pamoja na vitu vinavyochangia maambukizi na kurudia-rudia kwa tatizo.

Soma Zaidi...
Dalilili zinazotokea kwenye mrija wa mkojo

Mrija wa mkojo hutoa mkojo nje ya mwili lakini mrija huu unapoziba hufanya utoaji wa mkojo kutoka kwa shida au maumivu

Soma Zaidi...
Saratani ya matiti: Jinsi ya kujipima na kupata vipimo.

​Saratani ya matiti ni miongoni mwa aina za saratani zinazoongoza kwa kuathiri wanawake duniani kote. Hata hivyo, kutokana na maendeleo ya tiba, saratani hii inaweza kutibika vyema ikiwa itagundulika katika hatua za awali. Makala hii inatoa mwongozo wa kitaalamu kuhusu umuhimu wa uchunguzi wa awali, hatua kwa hatua za jinsi ya kujipima mwenyewe nyumbani, na taratibu za kliniki kama mammography. Tunasisitiza kuwa elimu na ufahamu ndio silaha kuu ya kupambana na ugonjwa huu.

Soma Zaidi...
Homa ya manjano kwa watoto wachanga: Nini kifanyike?

Homa ya manjano ni hali ya kawaida kwa watoto wachanga ambapo ngozi na sehemu nyeupe ya macho hubadilika na kuwa na rangi ya manjano. Hali hii hutokea pale kiwango cha bilirubin—kemikali ya manjano inayotokana na kuvunjika kwa seli nyekundu za damu—kinapokuwa kikubwa mwilini kuliko uwezo wa ini la mtoto kuiondoa. Ingawa mara nyingi si hatari, ni muhimu kuifuatilia kwa karibu ili kuzuia madhara kwa mfumo wa neva wa mtoto.

Soma Zaidi...
Je vvu inaweza sababisha mate kujaa mdomoni

Je kujaa kwa mate mdomoni ni dalili ya kuwa na VVU, na je ni zipi dalili za Virusi Vya Ukimwi (VVU) mdomoni?

Soma Zaidi...