Mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto

Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto, mtoto katika makuzi yake anahitaji kutunzwa vizuri Ili akue kwa afya nzuri bila magonjwa

Mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto

  1. Mlo kamili

 Mtoto anapaswa kula chakula chenye virutubisho kufuatana na umri, kama hajafikisha umri wa kula usimpatie chakula acha anyonye mpaka wakati wa kuanzia kula,

2.Magonjwa

 Magonjwa ni shida inayofanya watoto wadumae wasikue kwa wakati, magonjwa kama degedege na malaria na mengineyo

3. Mazingira ya mtoto

Mtoto akiishi mazingira mazuri yenye hewa Safi na mahitaji ya kutosha ataweza kukua vizuri

4. Kuhudhulia kliniki

 Mtoto akiwa anahudhulia kliniki na kufuata maelekeza yote kama vile chanjo, kupima uzito na kupata vidonge vya minyoo ataweza kukua vizuri

5. Uchumi wa familia

Mtoto akitoka familia yenye uchumi mzuri ataweza kukua na kupata mahitaji yote kuliko mtoto akitoka kwenye familia maskini

 

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2021/11/19/Friday - 04:42:27 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 852

Post zifazofanana:-

Kushambukiwa kwa moyo na kupumua
Post hii inahusu zaidi kuhusu kushambuliwa kwa moyo na kupumua, kushambuliwa kwa moyo na kupumua kwa kitaala huitwa (cardiopulmonary Arrest) ni kitendo Cha kusimama ghafla kwa moyo na kupumua. Soma Zaidi...

Vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa vidonda vya tumbo Soma Zaidi...

Kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi
Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi, tunajua kabisa wakati wa hedhi damu inapaswa kuwa nyepesi na ya kawaida ila kuna wakati mwingine inakuwa na mabonge zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi. Soma Zaidi...

Dalili za Maambukizi na Uvimbe katika mirija ya uzazi
Posti hii inazungumzia kuhusiana na maambukizi'na'uvimbe'katika' mirija ya uzazi. Mara nyingi hutumiwa sawa na'ugonjwa wa uvimbe kwenye fupa nyonga'(PID), ingawa PID haina ufafanuzi sahihi na inaweza kurejelea magonjwa kadhaa ya njia ya juu ya uzazi ya mwanamke. Kinyume chake. Soma Zaidi...

Namna ya kuongeza na mjamzito ili kupata taarifa zake na kutoa msaada
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kugundua tatizo lake na kutoa msaada pale penye uhitaji. Soma Zaidi...

Faida na hasara za kutumia kondomu kama njia ya uzazi wa mpango
Kondomu ni mpira ambao uwekwa kwenye uke au uume kwa ajili ya kuzuia mimba wakati wa kujamiiana Soma Zaidi...

Huduma ya kwanza kwa mtu aliyeshambuliwa na moyo na kushindwa kupumua
Kushambuliwa kwa moyo na kupumua ni kitendo Cha moyo kusimama ghafla, Hali hii unapaswa kutolewa huduma ya kwanza Ili moyo ufanye kazi tena, Soma Zaidi...

Aina za fangasi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya aina za fangasi Soma Zaidi...

Vyakula na ugonjwa wa kisukari
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vimpasavyo mgonjwa wa kisukari Soma Zaidi...

Dalili na ishara za Ugonjwa wa akili.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa akili . Soma Zaidi...

Namna ambavyo mwili unapambana na maradhi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ambavyo mwili unapambana na maradhi Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa wa hepatitis A
Hepatitis A ni ugonjwa wa kuambukiza wa ini unaosababishwa na virusi vya Hepatitis A. Virusi ni mojawapo ya aina kadhaa za virusi vya Hepatitis vinavyosababisha kuvimba na kuathiri uwezo wa ini wako kufanya kazi. Soma Zaidi...