Mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto
Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto, mtoto katika makuzi yake anahitaji kutunzwa vizuri Ili akue kwa afya nzuri bila magonjwa
Mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto
1. Mlo kamili
Mtoto anapaswa kula chakula chenye virutubisho kufuatana na umri, kama hajafikisha umri wa kula usimpatie chakula acha anyonye mpaka wakati wa kuanzia kula,
2.Magonjwa
Magonjwa ni shida inayofanya watoto wadumae wasikue kwa wakati, magonjwa kama degedege na malaria na mengineyo
3. Mazingira ya mtoto
Mtoto akiishi mazingira mazuri yenye hewa Safi na mahitaji ya kutosha ataweza kukua vizuri
4. Kuhudhulia kliniki
Mtoto akiwa anahudhulia kliniki na kufuata maelekeza yote kama vile chanjo, kupima uzito na kupata vidonge vya minyoo ataweza kukua vizuri
5. Uchumi wa familia
Mtoto akitoka familia yenye uchumi mzuri ataweza kukua na kupata mahitaji yote kuliko mtoto akitoka kwenye familia maskini
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Kitabu cha Afya π2 ai web app π3 kitabu cha Simulizi π4 Dua za Mitume na Manabii π5 Simulizi za Hadithi Audio π6 web hosting
Post zinazofanana:
Madhara ya kichaa cha mbwa
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtu hajatibiwa ugonjwa wa kichaa cha mbwa.
Soma Zaidi...Minyoo na athari zao kiafya
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu minyoo na athari zao kiafya
Soma Zaidi...Kupoteza nywele kwa wingi (Hair loss): Sababu na tiba.
βKupoteza nywele ni jambo linaloweza kuathiri hali ya kujiamini ya mtu yeyote. Ingawa ni kawaida kupoteza nywele 50 hadi 100 kila siku, kupoteza nywele kwa wingi kiasi cha kuacha sehemu wazi kichwani ni ishara kuwa kuna kitu hakiko sawa. Makala haya yanakusaidia kuelewa sababu zinazochochea hali hii na namna unavyoweza kurejesha afya ya nywele zako.
Soma Zaidi...Ujue ugonjwa wa tauni
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa tauni ambao kwa kitaalamu huitwa plague ni Ugonjwa unaosababishwa na wadudu ambao huitwa kitaalamu huitwa yersinia pestis ambao ukaa ndani ya panya.
Soma Zaidi...Dalilili za tetekwanga
posti hii inazungumziaTetekuwanga . Tetekwanga(varisela) ni maambukizi ya virusi ambayo husababisha kuwasha, kama vile upele. Tetekuwanga huambukiza sana watu ambao hawajapata ugonjwa huo wala kupewa chanjo dhidi yake. Kabla ya chanjo ya mara kwa mara
Soma Zaidi...Matumizi ya dawa za kulevya na athari zake kwenye ubongo.
Dawa za kulevya hazibadili tu tabia ya mtu, bali zinasababisha mabadiliko ya kudumu kwenye muundo na utendaji kazi wa ubongo. Makala haya yanachambua jinsi dawa hizi zinavyoiba mfumo wa furaha wa ubongo (reward system), na jinsi matumizi yake yanavyoweza kusababisha madhara ya kiakili na kimwili ambayo ni vigumu kuyatengua.
Soma Zaidi...