picha
NAMNA YA KUZUIA UVIMBE KWENYE KIBOFU CHA MKOJO.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni njia ambazo mtu anaweza kutumia Ili kuzuia uvimbe...

picha
MADHARA YA KUTOTIBU UVIMBE KWENYE KIBOFU CHA MKOJO

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu ugonjwa wa uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni madhara yanayotokea kwenye mfumo mzima wa...

picha
DALILI ZA UVIMBE KWENYE KIBOFU CHA MKOJO

Post hii inahusu zaidi dalili za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la...

picha
SABABU ZA UVIMBE KWENYE KIBOFU CHA MKOJO.

Post hii inahusu zaidi Sababu za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, hali hii uwatokea sana wanawake zaidi ya wanaume, kwa...

picha
DALILI ZA MGONJWA WA KISUKARI

Post hii inahusu dalili za mtu Mwenye ugonjwa wa kisukari, dalili hizi zinaweza kujitokeza Moja kwa Moja mtu akagundua kuwa...

picha
IJUE DAWA YA LIGNOCAINE

Posti hii inahusu zaidi dawa ya lignocaine kama mojawapo ya Dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji.

picha
UGONJWA WA KUCHELEWA KUGANDA KWA DAMU UNAOJULIKANA KAMA HEMOPHILIA.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la Kurithi ambapo Damu inatoka kwa muda mrefu wakati au baada ya jeraha bila...

picha
FAHAMU UGONJWA WA HEPATITIS C

Hepatitis C ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoshambulia ini na kusababisha kuvimba. Watu wengi walioambukizwa na virusi vya Hepatitis...

picha
UJUE UGONJWA WA HOMA YA INI YENYE SUMU.

Homa ya ini yenye sumu ni kuvimba kwa ini lako kutokana na kuathiriwa na vitu fulani ambavyo umeathiriwa navyo. Homa...

picha
DAWA YA PANADOL AU PARACETAMOL KATIKA KUTULIZA MAUMIVU

Posti hii inahusu zaidi kazi ya paracetamol katika kutuliza maumivu, ni Aina ya dawa ambayo utumiwa sana katika kutuliza maumivu...

picha
DAWA YA QUINENES KATIKA KUTIBU MALARIA

Post hii inahusu zaidi dawa e quinine katika kutibu Malaria ni dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ikiwa dawa nyingine zimeshindwa...

picha
DALILI NA ISHARA ZA JIPU LA JINO

Jipu la jino ni mfuko wa usaha unaosababishwa na maambukizi ya bakteria.

picha
ZIJUE FAIDA YA KULA TUNDA LA TANGO.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.

picha
ZIJUE HATUA ZA KUFATA ILI KUEPUKA MARADHI YA TUMBO

Posti hii inaelezea kuhusiana na hatua za kufata ili kujikinga au kuepuka maradhi ya tumbo.kuna vitu vikikosekana husababisha maumivu ya...

picha
ZIFAHMU DALILI ZA HOMA YA INI KALI YA POMBE.

Posti hii inaonyesha dalili na Mambo Hatari yanayosababisha homa ya ini Kali ya pombe.

picha
UFAHAMU UGONJWA WA HEPATITIS B

Hepatitis B Ni maambukizi ya ini ambayo yamekuwa sugu kuanzia mwezi na kuendelea.

picha
FAHAMU UGONJWA WA HEPATITIS A

Hepatitis A ni ugonjwa wa kuambukiza wa ini unaosababishwa na virusi vya Hepatitis A. Virusi ni mojawapo ya aina...

picha
DAWA YA ALBENDAZOLE KATIKA KUTIBU MINYOO.

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa...

picha
SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA

Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazosababisha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

picha
MEBENDAZOLE KAMA DAWA YA KUTIBU MINYOO.

Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa...

picha
KAZI ZA DAWA YA ARTESUNATE KATIKA KUTIBU MALARIA

Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria...

picha
NINI HUSABABISHA UGONJWA WA KIFUA NA MAUMIVU YA KIFUA?

Posti hii inazungumzia sababu zinazopelekea kuumwa na kifua.

picha
DAWA YA ALU KAMA DAWA INAYOTIBU UGONJWA WA MALARIA

Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi...

picha
DALILI ZA UGONJWA WA POMBE WAKATI MTOTO AKIWA TUMBONI

Ugonjwa wa ulevi wakati Mtoto akiwa tumboni (fetasi) ni hali ya mtoto inayotokana na unywaji pombe wakati wa ujauzito wa...

Page 182 of 230

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.