picha
NJIA ZA UZAZI WA MPANGO KWA WATU WENYE UKIMWI

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.

picha
YAJUE MAAMBUKIZI KWENYE EPIDIDIMISI KWA KITAALAMU HUITWA (EPIDIDYMITIS)

Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye epididimisi, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye epididimisi na kusababisha matatizo mengi.

picha
DALILI ZA MAAMBUKIZI KWENYE UUME

Post hii inahusu zaidi dalili za maambukizi kwenye uume, ni dalili ambazo ujitokeza pale maambukizi yanapotokea kwenye uume.

picha
MADHARA YA KUTOTIBU UGONJWA WA MAKENDE KUSHINDWA KUSHUKA

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya makende kushindwa t, hiki ni tatizo na huleta madhara

picha
ZIJUE SABABU ZA KUSHINDWA KUSHUKA KWA MAKENDE (TESTICLE))

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kushindwa kushuka kwa makende kutoka kwenye tumbo kwenda kwenye skolatumu(scrotum).

picha
MAAMBUKIZI KWENYE UUME

Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye uume, maambukizi hata utokea kwenye kichwa Cha uume kwa kitaalamu huitwa Balanitis, zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa ugonjwa huu.

picha
MADHARA YA KUTOTIBU MAGONJWA YA VIDONDA VYA TUMBO

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo, ni hatari inayotokea kwa mtu ambaye haujatibiwa vidonda vya tumbo.

picha
NAMNA YA KUWASAIDIA WAGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO

Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo, ni njia ya kuwasaidia wagonjwa waliopata madonda ya tumbo

picha
MADHARA YA MAAMBUKIZI KWENYE TUMBO

Posti hii inahusu zaidi madhara ya maambukizi kwenye tumbo,hasa pale ambapo mgonjwa hakutibiwa

picha
DALILI ZA MAAMBUKIZI KWENYE TUMBO NA UTUMBO MDOGO

Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo,ni dalili ambazo ujionesha kwa mtu akiwa na shida kwenye utumbo mdogo na tumbo la kawaida.

picha
NAMNA YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA MADONDA YA KOO

Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa madonda ya koo,ni njia ambazo usaidia katika kujikinga na ugonjwa wa madonda ya koo.

picha
MADHARA YA UGONJWA WA MADONDA YA KOO USIPOTIBIWA

Posti hii inahusu zaidi madhara ya ugonjwa wa madonda ya koo usipotibiwa, ugonjwa huu usipotibiwa unaweza sababisha madhara mbalimbali kama ifuayavyo.

picha
NAMNA MAGONJWA YA KOO YANAVYOSAMBAA

Posti hii inahusu zaidi namna ya magonjwa ya koo yanavyosambaa, magonjwa haya usambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine kwa njia tofauti kama ifuayavyo

picha
DALILI ZA MADONDA YA KOO

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya koo, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu ya koo la hewa, na na huwa na dalili zake kama ifuayavyo.

picha
MATOKEO YA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI

Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maambukizi kwenye milija na ovari, ni matokeo apatayo mtu mwenye maambukizi kwenye milija na ovari.

picha
NAMNA YA KUMSAIDIA MGONJWA ALIYE NA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari.

picha
NAMNA YA KUZUIA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari

picha
VISABABISHI VYA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI

Posti hii inahusu zaidi visababishi vya maambukizi kwenye milija na, ni mambo yanayosababisha maambukizi kwenye milija na ovari.

picha
NAMNA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI YANAVYOTOKEA

Post hii inahusu zaidi namna Maambukizi kwenye milija na ovari ambayo yanatokea,Mara nyingi usababisha na bakteria wanaoweza kuingia kupitia sehemu mbalimbali.

picha
DALILI ZA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA(FALLOPIAN TUBE)

Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye milija (follapian tube) kwa kitaalamu huitwa salpingitis, ni maambukizi kwenye milija ambayo husababishwa na bakteria.

picha
DALILI ZA MAAMBUKIZI KWENYE OVARI

Posti hii inahusu zaidi dalili za maambukizi kwenye ovari, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye ovari na kusababisha matatizo makubwa kama mgonjwa haujatibiwa mapema.

picha
MBINU ZA KUPUNGUZA MAGONJWA YANAYOHUSIANA NA FIGO

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili kuepuka na tatizo hilo.

picha
ZIJUE KAZI ZA FIGO MWILINI

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa Figo mwilini, Figo ni ogani ambayo kazi yake ni kuchuja sumu mwilini.

picha
MZUNGUKO WA MWEZI KWA MWANAMKE

Posti hii inahusu zaidi mzunguko wa mwezi kwa mwanamke, ni mzunguko ambao huchukua siku ishilini na nane kwa kawaida Ila lla ubadilika kulingana na mtu, Ila ngoja tuangalie siku ishilini na nane tu.

Page 182 of 220

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.