Faida za kiafya za kula kabichi

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kabichi

Faida za kabichi

1. Kabichi Ina virutubisho Kama vile vitamin A, C, K na B6 pia Lina madini ya chuma, calcium na magnesium

2. Husaidia katika kupunguza maambukizi ya mara kwa mara ya bakteria fangasi na virusi

3. Husaidia kupona haraka kwa majeraha

4. Husaidia kupunguza uharibifu wa seli dhidi ya kemikali mbaya

5. Huboresha afya ya mifupa, misuri na mishipa ya damu

6. Hupunguza uwezekano wa kupata saratani

7. Huboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na kuzuia kutokupata haja

8. Hushusha presha ya damu

9. Hushusha kiwango cha cholesterol

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2974

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Faida za kula asali

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula asali

Soma Zaidi...
VYANZO VYA VYAKULA VYA MADINI NA FAIDA ZAKE

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Yajuwe magonjwa matano yanayo tokana na utapiamlo

Post hii inakwenda kukutajia mahonjwa matano ambayo hutokana na utapia mlo.

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
FAIDA ZA VITAMINI C NA UMUHIMU WA VITAMINI C MWILINI

Utafahamu faida za vitamini C mwilini pamoja na kujuwa umuhimu wa vitamini C

Soma Zaidi...
Kazi za virutubisho vya protini mwilini

Somo hili linakwenda kukuletea kazi za virutubisho vya protini mwilini

Soma Zaidi...
Tufaha (apple)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha

Soma Zaidi...
Namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa matumizi mbalimbali

Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu.

Soma Zaidi...