Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kabichi
Faida za kabichi
1. Kabichi Ina virutubisho Kama vile vitamin A, C, K na B6 pia Lina madini ya chuma, calcium na magnesium
2. Husaidia katika kupunguza maambukizi ya mara kwa mara ya bakteria fangasi na virusi
3. Husaidia kupona haraka kwa majeraha
4. Husaidia kupunguza uharibifu wa seli dhidi ya kemikali mbaya
5. Huboresha afya ya mifupa, misuri na mishipa ya damu
6. Hupunguza uwezekano wa kupata saratani
7. Huboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na kuzuia kutokupata haja
8. Hushusha presha ya damu
9. Hushusha kiwango cha cholesterol
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/peach
Soma Zaidi...zijuwe faida za kula njegere kiafya na umuhimu wa kula jegere pia jifunze njegere zina kazi gani mwilini?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake, hii ni Aina tatu za vyakula na kazi zake jinsi zinavyofanya kazi, hufanya kazi kama ifuatavyo,
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula senene, panzi na kumbikumbi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi
Soma Zaidi...