Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kabichi
Faida za kabichi
1. Kabichi Ina virutubisho Kama vile vitamin A, C, K na B6 pia Lina madini ya chuma, calcium na magnesium
2. Husaidia katika kupunguza maambukizi ya mara kwa mara ya bakteria fangasi na virusi
3. Husaidia kupona haraka kwa majeraha
4. Husaidia kupunguza uharibifu wa seli dhidi ya kemikali mbaya
5. Huboresha afya ya mifupa, misuri na mishipa ya damu
6. Hupunguza uwezekano wa kupata saratani
7. Huboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na kuzuia kutokupata haja
8. Hushusha presha ya damu
9. Hushusha kiwango cha cholesterol
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vimpasavyo mgonjwa wa kisukari
Soma Zaidi...Usiogope kuwashwa, kula pilipili ni nzuri kwa afya yako ia virutubisho vingi sana
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...