Sababu za mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa

Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazosababisha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

  Zifuatazo Ni sababu zinazosababishwa mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa.

1.pombe na uvutaji sigari; hupelekea kukosa kabisa hamu ya kufanya tendo la ndoa Tena endapo utakuwa unamatumizi mabaya ya kunywa pombe na kuvuta sigara.

 

2.kuwa na mawazo (stress) kujiwekea mawazo mengi kupita kiasi ambayo hukuadhiri kisaikolojia pia huweza kusababish kukosa hamu ya tendo la ndoa.

 

3.ugomvi kwenye mahusiano; mkiwa kwenye mahusiano epukeni ugomvi maana mkigombana Mara kwa Mara huua kabisa hamu ya mapenzi hivyo epukeni ugomvi ili kujiridhisha na tendo la ndoa.

 

4.historia mbaya ya mapenzi kipind Cha nyuma; labda Kama ulibakwa au ulikuwa na mpenzi ambaye alikufanyia visa ambavyo hukuvifurahia Ni rahisi Sana kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa.

 

5.baadhi ya Magonjwa;Kama vile shinikizo la Damu,kisukari,kansa,kuwa na maumivu wakati wa tendo husababisha pia kukosa hamu ya tendo la ndoa.

 

6.Dawa za Uzazi wa mpango;dawa za uzazi wa mpango hushusha homoni kwa kiasi kikubwa hivyo Kama una Tumia dawa za uzazi wa mpango zikakukosesha hamu ya tendo la ndoa onana na dactari ili kufanya Njia nyingine ya Uzazi wa mpango.

 

7.mwanaume kushindwa kumridhisha mwanamke; mwanaume akishindwa kumridhisha mwenza wake kwa muda mrefu hupelekea mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa.

 

8.umri; kufikisha umri wa uzee hupelekea ute kuwa mkavu na ukiwa na umri wa miaka kuanzia 45 hupelekea maumivu na kusababisha kukosa hamu ya tendo la ndoa.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2021/12/17/Friday - 08:35:06 am     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1037

Post zifazofanana:-

Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa Wanaume
Posti hii inazungumzia Faida, hasara, na madhara ya Kufunga kizazi kwa Wanaume. Soma Zaidi...

Zifahamu sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi ambayo kwa kitaalamu huitwa follapian tube, ni sababu ambazo ufanya mirija ya follapian tube kuziba. Soma Zaidi...

Dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanaume
Posti hii inakwenda kukuletea dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanaume Soma Zaidi...

Dalili za saratani ya kibofu Cha nyongo
Saratani ya kibofu cha nyongo ni Saratani inayoanzia kwenye kibofu cha nyongo. Nyongo yako ni kiungo kidogo, chenye umbo la peari upande wa kulia wa tumbo lako, chini ya ini lako. Kibofu cha nyongo huhifadhi nyongo, Kioevu cha usagaji chakula kinachozalishwa na ini lako. Saratani ya kibofu cha nyongo si kawaida. Saratani ya nyongo inapogunduliwa katika hatua zake za awali, uwezekano wa kupona ni mzuri sana. Lakini saratani nyingi za kibofu cha nyongo hugunduliwa katika hatua ya mwisho, wakati ubashiri mara nyingi huwa mbaya sana. Soma Zaidi...

Njia za kutibu saratani
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za matibabu ya ugonjwa wa saratani,ni ugonjwa ambao unaweza kupona ikiwa umegundulika mapema katika hatua za mwanzo na kama ugonjwa huu umefikia hatua za mwisho Tiba yake huwa ni kupunguza makali ya ugonjwa. Soma Zaidi...

Sababu za Ugonjwa wa pumu
Pumu ni ugonjwa wa njia ya upumuaji unaojulikana na kizuizi cha muda mrefu cha njia ya upumuaji. Inahusisha mfumo wa upumuaji unaobana njia ya hewa, Inaweza kuwa ya nje (hii hutokea kwa vijana kutokana na mizio) au ya ndani (hutokea kwa wazee) Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa wa hepatitis C
Hepatitis C ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoshambulia ini na kusababisha kuvimba. Watu wengi walioambukizwa na virusi vya Hepatitis C (HCV) hawana dalili. Kwa kweli, watu wengi hawajui kuwa wana maambukizi ya Hepatitis C hadi uharibifu wa ini uonekane. Soma Zaidi...

Dalili za fangasi Mdomoni.
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za fangasi Mdomoni kwa watoto, vijana, watu wazima na mama wanaonyonyeshwa. Soma Zaidi...

Namna ya kutunza nywele za mgonjwa
Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza nywele za mgonjwa hasa kwa wagonjwa mahututi na wale wasiojiweza tunafanya hivyo ili tuweze kuwatoa kwenye hali ya usafi. Soma Zaidi...

Mbinu za kupunguza Magonjwa ya kuambukiza.
Posti hii inahusu zaidi mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza kiwango cha kuwepo kwa magonjwa ya kuambukiza, kwa hiyo zifuatazo ni mbinu ambazo zinapaswa kutumika ili kupunguza kiwango cha magonjwa ya kuambukiza. Soma Zaidi...

Kazi za madini ya zinki
Posti hii inahusu zaidi juu ya madini ya zinki na faida zake katika mwili wa binadamu, Soma Zaidi...

Dalili za minyoo ya tumbo
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za minyoo ya tumbo ambapo minyoo hawa husababishwa na mtu kula vyakula vichafu ambavyo havijaiva vizuri au maji machafu pia au bacteria. Soma Zaidi...