Sababu za mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa

Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazosababisha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

  Zifuatazo Ni sababu zinazosababishwa mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa.

1.pombe na uvutaji sigari; hupelekea kukosa kabisa hamu ya kufanya tendo la ndoa Tena endapo utakuwa unamatumizi mabaya ya kunywa pombe na kuvuta sigara.

 

2.kuwa na mawazo (stress) kujiwekea mawazo mengi kupita kiasi ambayo hukuadhiri kisaikolojia pia huweza kusababish kukosa hamu ya tendo la ndoa.

 

3.ugomvi kwenye mahusiano; mkiwa kwenye mahusiano epukeni ugomvi maana mkigombana Mara kwa Mara huua kabisa hamu ya mapenzi hivyo epukeni ugomvi ili kujiridhisha na tendo la ndoa.

 

4.historia mbaya ya mapenzi kipind Cha nyuma; labda Kama ulibakwa au ulikuwa na mpenzi ambaye alikufanyia visa ambavyo hukuvifurahia Ni rahisi Sana kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa.

 

5.baadhi ya Magonjwa;Kama vile shinikizo la Damu,kisukari,kansa,kuwa na maumivu wakati wa tendo husababisha pia kukosa hamu ya tendo la ndoa.

 

6.Dawa za Uzazi wa mpango;dawa za uzazi wa mpango hushusha homoni kwa kiasi kikubwa hivyo Kama una Tumia dawa za uzazi wa mpango zikakukosesha hamu ya tendo la ndoa onana na dactari ili kufanya Njia nyingine ya Uzazi wa mpango.

 

7.mwanaume kushindwa kumridhisha mwanamke; mwanaume akishindwa kumridhisha mwenza wake kwa muda mrefu hupelekea mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa.

 

8.umri; kufikisha umri wa uzee hupelekea ute kuwa mkavu na ukiwa na umri wa miaka kuanzia 45 hupelekea maumivu na kusababisha kukosa hamu ya tendo la ndoa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2188

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 web hosting    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Dalili na sababu za Kukosa hedhi

Post hii inaongelea kuhusiana na Kukosa hedhi ambapo kitaalamu hujulikana Kama Amenorrhea ni kutokuwepo kwa hedhi - hedhi moja au zaidi ya kukosa. Wanawake ambao wamekosa angalau hedhi tatu mfululizo wana amenorrhea, kama vile wasichana ambao hawajaanz

Soma Zaidi...
Hatua za ukuwaji was mimba na dalili zake

Somo hili linakwenda kukuletea hatua za ukuaji mimba na dalili zake

Soma Zaidi...
Vyanzo vya mwanamke kushindwa kupata ujauzito

Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya mwanamke kushindwa kupata ujauzito, kwa sababu kuna sababu nyingi ambazo Usababisha mwanamke kushindwa kupata ujauzito kama tutakavyoona hapo mbeleni

Soma Zaidi...
Kutoka kwa mimba, sababu za kutoka kwa mimba, dalili za kutoka mimba na kuzuia mimba kuoka

Mimba inapotoka ina dalili, na zipo sababu kadhaa za kutoka kwa mimba. Je utazuiaje mimba kutoka. Soma makala hii

Soma Zaidi...
Je chuchu zikiwa nyeusi Nini kinasababisha,, kando ya kuwa mjamzito? Na Kama sio mjamzito sababu ya chuchu kua nyeusi ni nini

Chuchu kubadilika range ni mojavkatika mabadiliko ambayo huwapa shoka wengi katika wasichana. Lucinda nikwambie tu kuwa katika hali ya kawaida hilo sio tatizo kiafya.

Soma Zaidi...
Kazi za homoni katika Mzunguko hedhi.

Post hii inahusu zaidi kazi za homoni katika Mzunguko wa hedhi, katika kipindi hiki kuna homoni mbalimbali ambazo ufanya kazi kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Changamoto za kwenye ndoa kwa waliotoa mimba mara Kwa mara

Posti hii inahusu zaidi changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara,hizi ni changamoto za wakati wa kufanya tendo na mme wake au mtu mwingine kwa ajili ya kupata mtoto.

Soma Zaidi...
Namna ya kutunza uke

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza uke, tunajua wazi kuna magonjwa mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo uke hautaweza kutunzwa vizuri na pia uke ukitunzwa vizuri kuna faida ya kuepuka maradhi ya wanawake kwa njia ya kutunza uke.

Soma Zaidi...
Uume ukiwa unaingia na ukiwa ndani nahic maumivu Kama uke unawaka Moto tafadhali nishauri

Je unasumbuliwa namaumivi wakati wa nlishiriki tendo la ndoa ama baada. Huwenda post hii ikakusaidia.

Soma Zaidi...
Njia za kupunguza tatizo la kutanuka kwa tezi dume.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo tunaweza kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili la kutanuka kwa tezi dume, kwa hiyo tunaweza kutumia njia zifuatazo ili kuweza kupunguza tatizo hili kwenye jamii kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...