Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazosababisha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.
Zifuatazo Ni sababu zinazosababishwa mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa.
1.pombe na uvutaji sigari; hupelekea kukosa kabisa hamu ya kufanya tendo la ndoa Tena endapo utakuwa unamatumizi mabaya ya kunywa pombe na kuvuta sigara.
2.kuwa na mawazo (stress) kujiwekea mawazo mengi kupita kiasi ambayo hukuadhiri kisaikolojia pia huweza kusababish kukosa hamu ya tendo la ndoa.
3.ugomvi kwenye mahusiano; mkiwa kwenye mahusiano epukeni ugomvi maana mkigombana Mara kwa Mara huua kabisa hamu ya mapenzi hivyo epukeni ugomvi ili kujiridhisha na tendo la ndoa.
4.historia mbaya ya mapenzi kipind Cha nyuma; labda Kama ulibakwa au ulikuwa na mpenzi ambaye alikufanyia visa ambavyo hukuvifurahia Ni rahisi Sana kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa.
5.baadhi ya Magonjwa;Kama vile shinikizo la Damu,kisukari,kansa,kuwa na maumivu wakati wa tendo husababisha pia kukosa hamu ya tendo la ndoa.
6.Dawa za Uzazi wa mpango;dawa za uzazi wa mpango hushusha homoni kwa kiasi kikubwa hivyo Kama una Tumia dawa za uzazi wa mpango zikakukosesha hamu ya tendo la ndoa onana na dactari ili kufanya Njia nyingine ya Uzazi wa mpango.
7.mwanaume kushindwa kumridhisha mwanamke; mwanaume akishindwa kumridhisha mwenza wake kwa muda mrefu hupelekea mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa.
8.umri; kufikisha umri wa uzee hupelekea ute kuwa mkavu na ukiwa na umri wa miaka kuanzia 45 hupelekea maumivu na kusababisha kukosa hamu ya tendo la ndoa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi sababu za mwanamke kukosa tendo la ndoa, ni sababu ambazo uwakuta wanawake wengi unakuta mama yuko kwenye ndoa ila hana hata hamu ya lile tendo la ndoa hali ambayo umfanya mwanamke kuona kitendo cha tendo la ndoa ni unyanyasaji au
Soma Zaidi...Hii ni hali inayowapata wanaume kushindwa kuhimili tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kushindwa kuzalishwa mayai kwa mwanamke, ni tatizo ambalo utokea kwa mwanamke ambapo mwanamke anashindwa kuzalisha mayai.
Soma Zaidi...Kufanya tendo la ndoa wakati wa ujauzito kina faida nyingi kwa mama na mtoto. Miongni mwa faida hizo ni kuimarisha mfumo wa kinga wa mama, kumuondolea stress na ukuajinmzuri wa mimba
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma kwa mtoto mwenye shida ya kupumua, mtoto kama ana shida ya kupumua tunaangalia dalili kwanza na baadaye tunaweza kutoa huduma kulingana na Dalili.
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukupa dalili ambazo zinaonyesha kuwa mimba ni ya mapacha. Dalili hizi zitahitajika kuthibitishwa na kipimo cha daktari ili kujuwa kuwa ni kweli.
Soma Zaidi...Post huu inahusu zaidi mambo yanayopelekea ugumba kwa wanaume, ni mambo ambayo uchangia au upelekea mwanaume kukosa uzazi.
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukufundisha dalili za kujifunguwa, hatuwa za kujifunguwa na kuzalisha, pia utajifunza mabo muhimu kabla na wakatii wa kujifungua.
Soma Zaidi...