Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazosababisha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.
Zifuatazo Ni sababu zinazosababishwa mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa.
1.pombe na uvutaji sigari; hupelekea kukosa kabisa hamu ya kufanya tendo la ndoa Tena endapo utakuwa unamatumizi mabaya ya kunywa pombe na kuvuta sigara.
2.kuwa na mawazo (stress) kujiwekea mawazo mengi kupita kiasi ambayo hukuadhiri kisaikolojia pia huweza kusababish kukosa hamu ya tendo la ndoa.
3.ugomvi kwenye mahusiano; mkiwa kwenye mahusiano epukeni ugomvi maana mkigombana Mara kwa Mara huua kabisa hamu ya mapenzi hivyo epukeni ugomvi ili kujiridhisha na tendo la ndoa.
4.historia mbaya ya mapenzi kipind Cha nyuma; labda Kama ulibakwa au ulikuwa na mpenzi ambaye alikufanyia visa ambavyo hukuvifurahia Ni rahisi Sana kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa.
5.baadhi ya Magonjwa;Kama vile shinikizo la Damu,kisukari,kansa,kuwa na maumivu wakati wa tendo husababisha pia kukosa hamu ya tendo la ndoa.
6.Dawa za Uzazi wa mpango;dawa za uzazi wa mpango hushusha homoni kwa kiasi kikubwa hivyo Kama una Tumia dawa za uzazi wa mpango zikakukosesha hamu ya tendo la ndoa onana na dactari ili kufanya Njia nyingine ya Uzazi wa mpango.
7.mwanaume kushindwa kumridhisha mwanamke; mwanaume akishindwa kumridhisha mwenza wake kwa muda mrefu hupelekea mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa.
8.umri; kufikisha umri wa uzee hupelekea ute kuwa mkavu na ukiwa na umri wa miaka kuanzia 45 hupelekea maumivu na kusababisha kukosa hamu ya tendo la ndoa.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na huduma kwa mama wajawazito na waliojifungua.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi
Soma Zaidi...inaweza kutokea kuwa mtoto aliye tumboni akaishiwa maji hata kabla ya kuzaliwa. yes hali hii huweza kuwapata baadhiya watoto.
Soma Zaidi...Je unasumbuliwa namaumivi wakati wa nlishiriki tendo la ndoa ama baada. Huwenda post hii ikakusaidia.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba kuanzia siku 7 Hadi 14
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma ambayo Mama anapaswa kutolewa pindi mimba inapotishia kutoka huduma hii utolewa kulingana na Dalili tulizoziona zinazohusiana na mimba kutishia kutoka.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi njia za kutibu kuharisha kwa watoto wakiwa nyumbani, kwa sababu mara nyingine mtoto anaweza kuharisha si kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ila ni uchafu tu kwa hiyo njia muhimu zinazofaa kutibu mtoto ni pamoja na yafuatayo.
Soma Zaidi...Mdomo kuwa mchungu ni halia mabayo haiashirii ishara mbaya za kiafya. Mdomo unaweza kuwa mchungu kutokana na vyakula. Pia hutokea ikawa ni ishara ya baadhi ya maradhi, ama ni matokeo ya baadhi ya shda za kiafya. Je vipi kuhusu maumivu ya matiti na tumb?
Soma Zaidi...