Maswali mbalimbali kuhusu fiqh.
Zoezi la 4.
1.(a) Nini maana ya Fiqh.
(b) Ni ipi tofauti kati ya Fiqh na Sheria?
2.Bainisha matapo makuu ya Fiqh.
3.(a) Taja misingi mikuu ya Fiqh.
(b) Ni zipi chem. chem. za Sheria ya Kiislamu
4.Eleza maana ya maneno yafuatayo; (a)Ijtihad (b)Qiyaas (c)Ijma’a
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kuhusu swala ya kupatwa yaani kupatwa kwa juwa na kupatwa kwa mwezi swalat kusuf na swalat khusuf
Soma Zaidi...Hii ni hutuba ya ndoa kwa ufupi, Imekusanya mambo ya msingi yanayohitajika katika hutuba ya ndoa
Soma Zaidi...