picha

Zoezi la nne mada ya fiqh.

Maswali mbalimbali kuhusu fiqh.

Zoezi la 4.

1.(a)  Nini maana ya Fiqh.

(b)  Ni ipi tofauti kati ya Fiqh na Sheria?

 

2.Bainisha matapo makuu ya Fiqh.

3.(a)  Taja misingi mikuu ya Fiqh.

(b)  Ni zipi chem. chem. za Sheria ya Kiislamu

4.Eleza maana ya maneno yafuatayo; (a)Ijtihad              (b)Qiyaas          (c)Ijma’a

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 3017

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 web hosting     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Milki ya raslimali katika uislamu

Milki ya RasilimaliIli kujipatia maendeleo ya kiuchumi katika zama zote mwanaadamu anahitaji rasilimali za kumwezesha kufikia azma hiyo.

Soma Zaidi...
Sharti za kutoa zaka

Masharti ya Utoaji wa Zakat na Swadaqat Utoaji katika njia ya Allah (s.

Soma Zaidi...
Kiasi cha mahari kilicho bora kinachofaaa katika uislamu

Uislamu haukuwekabkiwango maalumu cha mahari. Mwanamke anaweza tajabkiasi atakacho. Ila vyema kuzingatia haya wakayi wa kutamka mahari yako.

Soma Zaidi...