Maswali mbalimbali kuhusu fiqh.
Zoezi la 4.
1.(a) Nini maana ya Fiqh.
(b) Ni ipi tofauti kati ya Fiqh na Sheria?
2.Bainisha matapo makuu ya Fiqh.
3.(a) Taja misingi mikuu ya Fiqh.
(b) Ni zipi chem. chem. za Sheria ya Kiislamu
4.Eleza maana ya maneno yafuatayo; (a)Ijtihad (b)Qiyaas (c)Ijma’a
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Maana ya UchumiMfumo wa maisha wa Kiislamu humuelekeza binaadamu kujenga na kudumisha uhusiano wake na Al-lah (s.
Soma Zaidi...Swala ya Dhuha ni swala ya sunna inayosaliwa wakati wa asubuhi baada ya jua kuchomoza na kupanda angalau kiasi cha mkuki (takribani dakika 15 baada ya jua kuchomoza) mpaka kabla ya adhuhuri. Ingawa hakuna sura maalum zilizowekwa kisheria, Mtume ﷺ alisoma baadhi ya sura zenye maana ya kuhimiza kheri na shukrani.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutawadha kama vile ambavyo alitawadha Mtume
Soma Zaidi...