Maswali mbalimbali kuhusu fiqh.
Zoezi la 4.
1.(a) Nini maana ya Fiqh.
(b) Ni ipi tofauti kati ya Fiqh na Sheria?
2.Bainisha matapo makuu ya Fiqh.
3.(a) Taja misingi mikuu ya Fiqh.
(b) Ni zipi chem. chem. za Sheria ya Kiislamu
4.Eleza maana ya maneno yafuatayo; (a)Ijtihad (b)Qiyaas (c)Ijma’a
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Endapo muislamu hatafunga mwezi wa Ramadhani bila ya ruhusa je atatakiwa afanye nini. Je ataweza kuilipa funga hiyo?
Soma Zaidi...Atika uislamu swala la kupanga uzazi linaruhusiwa endapo kutakuwa na sababu maalumu za kisheria.
Soma Zaidi...Kuzuru makaburi ni katika matendo ya sunah yaani unapata thawabu kwa kwenda klizuru kaburi.
Soma Zaidi...Milki ya RasilimaliIli kujipatia maendeleo ya kiuchumi katika zama zote mwanaadamu anahitaji rasilimali za kumwezesha kufikia azma hiyo.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza watu wanaorithi bila ya kuwekewa mafungu maalumu au viwango maalumi vya kurithi.
Soma Zaidi...Post hii itakujuza jinsi ya kiswali swala ya tahajudi. Pia utajifunza jinsi ya kuswali swala za usikubyaanibqiyamublayl
Soma Zaidi...