Zoezi la nne mada ya fiqh.
Maswali mbalimbali kuhusu fiqh.
Zoezi la 4.
1.(a) Nini maana ya Fiqh.
(b) Ni ipi tofauti kati ya Fiqh na Sheria?
2.Bainisha matapo makuu ya Fiqh.
3.(a) Taja misingi mikuu ya Fiqh.
(b) Ni zipi chem. chem. za Sheria ya Kiislamu
4.Eleza maana ya maneno yafuatayo; (a)Ijtihad (b)Qiyaas (c)Ijma’a
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐2 Bongolite - Game zone - Play free game ๐3 ai web app ๐4 Kitau cha Fiqh ๐5 Dua za Mitume na Manabii ๐6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Maana ya swala
Maana ya Swala Maana ya Swala kilugha(a) Kilugha Katika lugha ya Kiarabu neno ยSwalaatย lina maana ya ยombi au ยdua.
Soma Zaidi...Zijuwe aina kuu 6 za talaka katika uislamu
Talaka zimegawanyika katika makundi mengi. Katika somo hili utakwenda kukifunza aina kuu za talaka katika uislamu.
Soma Zaidi...JIFUNZE FIQH
Fahamu darsa mbalimbali za fiqh kama swala, twahara, zaka pamoja na funga. Zijuwe sharti za swala, funga na zaka.
Soma Zaidi...Nguzo za swala ya maiti
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Namna lengo la zakat linavyofikiwa
Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...