picha

Zoezi la nne mada ya fiqh.

Maswali mbalimbali kuhusu fiqh.

Zoezi la 4.

1.(a)  Nini maana ya Fiqh.

(b)  Ni ipi tofauti kati ya Fiqh na Sheria?

 

2.Bainisha matapo makuu ya Fiqh.

3.(a)  Taja misingi mikuu ya Fiqh.

(b)  Ni zipi chem. chem. za Sheria ya Kiislamu

4.Eleza maana ya maneno yafuatayo; (a)Ijtihad              (b)Qiyaas          (c)Ijma’a

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 3026

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Jinsi ya kumuandaa maiti baada ya kufa

Haya ni maandalizi ya kumuandaa maiti baada ya kufariki.

Soma Zaidi...
Hadhi na Haki za mwanamke katika jamii za Kirumi hapo zamani

(b) WarumiJamii ya Warumi nayo ni miongoni mwa jamii zinazohesabika kuwa zilianza kustaarabika mapema katika historia ya ulimwengu.

Soma Zaidi...
Kwanini funga imefaradhishwa mwezi wa ramadhani

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...