Posti hii inazungumzia sababu zinazopelekea kuumwa na kifua.
Dalili za kifua Ni pamoja na
1.kukohoa ambapo kikohozi kinaweza kuwa kikavu au kinatoka na makohozi.
2.kushindwa kupumua vizuri
3.kushindwa kumeza hii hutokana na Uvimbe ikitokea kwenye Koo.
4.kifua kuuma
5.kifua kubana
Sababu zinazopelekea kupata kifua Ni pamoja na;
1.Mzio kuumwa kifua huweza kutokana na mzio wa kitu.
2.Baadhi ya vyakula Kama vile ice cream,au vyokula vyenye vumbi,au vya baridi sana
3.Kemikali, Kama vile manukato,maradhi,dawa za kuua wadudu pia husababisha kifua.
4.Kanyoya ; Kama vile manyoya ya paka, Mbwa, ndege,Ng'ombe, kondoo n.k Mara nyingi huwatokea wale ambao wanaishi na hao wanyama .
5.baridi Sana au joto likizidi Sana pia husababisha kifua
6.usaha kwenye mapafu;usaha huu hutokana na bacteria
7.uvimbe kwenye Koo la hewa ambayo husababishwa na bacteria
8.kufanya mazoezi ya kukimbia,kucheza mpira n.k kupita kiasi hupelekea kushindwa kupumua pia moja kwa moja ukishindwa kupumua kifua huweza kubana .
Mwisho ; kifua kikikaa kwa muda mrefu mpaka kuwa sugu huwa Ni vigumu kupona lakini Ni vyema Kam ukisikia dalili za kifua kuwahi hospitalinia kwaajili ya matibabu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Kuna ukimwi na HIV na kila kimoja kina dalili zake na muda wa kuonyesha hizo dalili.
Soma Zaidi...kuwashwa na koo ni katika dalili za kuwa na maambukizi mwilini. Kuwa na maambukizi haimaanishi ni HIV ama UKIMWI laa hili ni neno pana. Hapa nitakujuza kwa ufupi kuhusu swali hilo la muulizaji kuwa anawashwa na koo.
Soma Zaidi...Malaria inaweza kumpata mtu yeyote bila ya kujali mri.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya ugonjwa wa madonda ya koo usipotibiwa, ugonjwa huu usipotibiwa unaweza sababisha madhara mbalimbali kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukujulisha dalili za kuwa huwenda una fangasi sehemu zako za siri.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa kula kupindukia ni ugonjwa mbaya wa ulaji ambapo mara kwa mara unatumia kiasi kikubwa cha chakula na kuhisi huwezi kuacha kula.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa kiungulia, kiungulia ni kitendo cha kupanda kwa gesi kutoka kwenye tumbo mpaka kwenye mdomo,hali uwasumbua wengi na kusababisha hali isiyo rafiki.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa macho, ugonjwa huu kwa kawaida una dalili kuu tano kadri ya maambukizi yanavyoongezeka na madhara yake kwa hiyo tunapaswa kujua dalili hizo Kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...