Nini husababisha ugonjwa wa kifua na maumivu ya kifua?

Nini husababisha ugonjwa wa kifua na maumivu ya kifua?

Posti hii inazungumzia sababu zinazopelekea kuumwa na kifua.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Dalili za kifua Ni pamoja na

1.kukohoa ambapo kikohozi kinaweza kuwa kikavu au kinatoka na makohozi.

2.kushindwa kupumua vizuri

3.kushindwa kumeza hii hutokana na Uvimbe ikitokea kwenye Koo.

4.kifua kuuma

5.kifua kubana

 

Sababu zinazopelekea kupata kifua Ni pamoja na;

1.Mzio kuumwa kifua huweza kutokana na mzio wa kitu.

 

2.Baadhi ya vyakula Kama vile ice cream,au vyokula vyenye vumbi,au vya baridi sana

 

3.Kemikali, Kama vile manukato,maradhi,dawa za kuua wadudu pia husababisha kifua.

 

4.Kanyoya ; Kama vile manyoya ya paka, Mbwa, ndege,Ng'ombe, kondoo n.k Mara nyingi huwatokea wale ambao wanaishi na hao wanyama .

 

5.baridi Sana au joto likizidi Sana pia husababisha kifua

 

6.usaha kwenye mapafu;usaha huu hutokana na bacteria

 

7.uvimbe kwenye Koo la hewa ambayo husababishwa na bacteria

 

8.kufanya mazoezi ya kukimbia,kucheza mpira n.k kupita kiasi hupelekea kushindwa kupumua pia moja kwa moja ukishindwa kupumua kifua huweza kubana .

 

Mwisho ; kifua kikikaa kwa muda mrefu mpaka kuwa sugu huwa Ni vigumu kupona lakini Ni vyema Kam ukisikia dalili za kifua kuwahi hospitalinia kwaajili ya matibabu.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 3249

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Dalili za kwanza za HIV na UKIMWI kuanzia wiki ya kwanza toka kuathirika
Dalili za kwanza za HIV na UKIMWI kuanzia wiki ya kwanza toka kuathirika

DALILI ZA HIV ZA MWANZO NA DALILI ZA UKIMWI ZA MWANZO Kama ilivyo magonjwa mengi hupitia hatua kadha kadha na kuonyesha dalili kadha katika hatua hizo.

Soma Zaidi...
maumivu makali sana juu ya tumbo yn kama kuna moto hivi na mgongon kama unadungwa sindano hivi je hizo ni dalili za vidonda vya tumbo?
maumivu makali sana juu ya tumbo yn kama kuna moto hivi na mgongon kama unadungwa sindano hivi je hizo ni dalili za vidonda vya tumbo?

Dr huwa nasikia maumivu makali sana juu ya tumbo yn kama kuna moto hivi na mgongon kama unadungwa sindano hivi je hizo ni dalili za vidonda vya tumbo?

Soma Zaidi...
 Dalili za ugonjwa wa Saratani.
Dalili za ugonjwa wa Saratani.

Saratani inahusu ugonjwa wowote kati ya idadi kubwa ya magonjwa ambayo yanaonyeshwa na ukuaji wa seli zisizo za kawaida ambazo hugawanyika bila kudhibitiwa na kuwa na uwezo wa kupenya na kuharibu tishu za kawaida za mwili. Saratani mara nyingi ina uwezo

Soma Zaidi...
Madhara ya kutotibu uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo
Madhara ya kutotibu uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu ugonjwa wa uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni madhara yanayotokea kwenye mfumo mzima wa kupitisha mkojo na via vya uzazi kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
 Fahamu Mambo yanayosababisha Ugonjwa wa kipindupindu
Fahamu Mambo yanayosababisha Ugonjwa wa kipindupindu

Kipindupindu ni ugonjwa wa bakteria ambao kawaida huenezwa kupitia maji machafu. Kipindupindu husababisha Kuhara na Upungufu wa maji mwilini. Ikiachwa bila kutibiwa, Kipindupindu kinaweza kusababisha kifo kwa muda wa saa chache, hata kwa watu walioku

Soma Zaidi...
  Dalili za Kuvimbiwa kwa watoto
Dalili za Kuvimbiwa kwa watoto

Posti hii inazungumzia kuhusiana Kuvimbiwa kwa watoto ni tatizo la kawaida.Kuvimbiwa kwa watoto mara nyingi kuna sifa ya kupata haja kubwa mara kwa mara au kinyesi kigumu, kikavu. Sababu mbalimbali zinaweza kusababisha kuvimbiwa kwa watoto.Sababu za kawa

Soma Zaidi...
Dalili za uchovu wa joto mwilini.
Dalili za uchovu wa joto mwilini.

Uchovu wa joto ni hali ambayo dalili zake zinaweza kujumuisha kutokwa na jasho kubwa na mapigo ya haraka, ambayo ni matokeo ya joto la mwili wako. Ni mojawapo ya magonjwa matatu yanayohusiana na joto, huku tumbo la joto likiwa kali zaidi na Kihar

Soma Zaidi...
Dalilili za homa ya matumbo (typhoid fever)
Dalilili za homa ya matumbo (typhoid fever)

Post hii Ina onyesha DALILI za Homa ya matumbo (typhoid fever) huenea kupitia chakula na maji machafu au kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu aliyeambukizwa. Dalili na ishara kwa kawaida hujumuisha Homa kali, maumivu ya kichwa, maumi

Soma Zaidi...
Sababu za Maambukizi kwenye mifupa.
Sababu za Maambukizi kwenye mifupa.

Post hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ni Maambukizi ambayo hutokea kwenye mifupa kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha ugonjwa huu.

Soma Zaidi...