picha

Zijue Faida ya kula tunda la tango.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.

   Zifuatazo Ni Faida za kula tango

1.husaidia kuondoa gesi tumboni; endapo umekula mchanganyiko wa chakula, au umekula chakula ambacho Kuna mzio na tumbo lako na kuleta gesi tumboni nivyema kutumia tango maana husaidia kuondoa gesi kabisa tumboni.

 

2.husaidia mmeng'enyo wa chakula tumboni maana tango Lina madini na Lina majimaji mengi hivyo hupelekea kusaidian mmeng'enyo wa chakula.

 

3.huongeza maji mwilini hii pia Ni Faida mojawapo ya kula  tango

 

4.husaidia Kupunguza uzito au kitambo.kwasababu Ni tunda ambalo halijazidi chumvi Sana ipo tu ya kiasi pia Ni tunda ambalo halina sukari na ndio maana linapunguza uzito na kitambi Kama kimezidi.

 

5.husaidia kushusha presha.

6.husaidia kuleta ladha au hamu ya kula.

7.husaidia kuondoa tatizo la mkojo kuwasha.

8.linasaidia matatizo ya maambukizi Kama vile UTI

9.husaidia kuondoa uchovu.

10.linasaidia kutoa uume uliongia Ndani kurudi.

11 kukosa choo.

 

Mwisho; ukitaka kuona umuhimu wa kula tango usile tu Mara moja na kuacha Tumia Mara kwa Mara ndipo utaona Faida zake.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/12/17/Friday - 12:25:48 pm Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 4625

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 ai web app    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Faida za embe

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula embe

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula karanga

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga

Soma Zaidi...
Kitabu cha Afya 02

Kama tulivyosema hapo juu kuwa afya ni kuwa mzima kimwili na kiakili.

Soma Zaidi...
Vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito

Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri.

Soma Zaidi...
Faida za kula Zaituni

Matunda ya zamani, matunda ya asili, Zaituni tunda lipendezalo, zijuwe faida zake leo

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamini na faida zake

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake

Soma Zaidi...
Fahamau protini na kazi zake, vyakula vya protini, na athari za upungufu wake.

unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo

Soma Zaidi...