Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.
Zifuatazo Ni Faida za kula tango
1.husaidia kuondoa gesi tumboni; endapo umekula mchanganyiko wa chakula, au umekula chakula ambacho Kuna mzio na tumbo lako na kuleta gesi tumboni nivyema kutumia tango maana husaidia kuondoa gesi kabisa tumboni.
2.husaidia mmeng'enyo wa chakula tumboni maana tango Lina madini na Lina majimaji mengi hivyo hupelekea kusaidian mmeng'enyo wa chakula.
3.huongeza maji mwilini hii pia Ni Faida mojawapo ya kula tango
4.husaidia Kupunguza uzito au kitambo.kwasababu Ni tunda ambalo halijazidi chumvi Sana ipo tu ya kiasi pia Ni tunda ambalo halina sukari na ndio maana linapunguza uzito na kitambi Kama kimezidi.
5.husaidia kushusha presha.
6.husaidia kuleta ladha au hamu ya kula.
7.husaidia kuondoa tatizo la mkojo kuwasha.
8.linasaidia matatizo ya maambukizi Kama vile UTI
9.husaidia kuondoa uchovu.
10.linasaidia kutoa uume uliongia Ndani kurudi.
11 kukosa choo.
Mwisho; ukitaka kuona umuhimu wa kula tango usile tu Mara moja na kuacha Tumia Mara kwa Mara ndipo utaona Faida zake.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 3676
Sponsored links
👉1
Kitau cha Fiqh
👉2
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉3
Kitabu cha Afya
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
kitabu cha Simulizi
👉6
Simulizi za Hadithi Audio
Faida za kula passion
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion Soma Zaidi...
Faida za kula bamia
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia Soma Zaidi...
Faida za majani ya mstafeli
Posti hii inahusu zaidi faida za majani ya mstafeli,ni majani ambayo utibu magonjwa mbalimbali hasa saratani, kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili tuweze kupata matibabu ya kansa mbalimbali. Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Stafeli
Soma Zaidi...
FAIDA ZA MATUNDA MBALIMBALI
1. Soma Zaidi...
Faida za kiafya za nyanya
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya Soma Zaidi...
Faida za kula parachichi
Somo hili litakwenda kukueleza na kukuelimisha kuhusu umuhimu wa kula parachichi kiafya Soma Zaidi...
Limao (lemon)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula limao Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula zaituni
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni Soma Zaidi...
Faida za kula uyoga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula uyoga Soma Zaidi...