picha
IJUE DAWA YA LIGNOCAINE

Posti hii inahusu zaidi dawa ya lignocaine kama mojawapo ya Dawa ambayo utumika wakati wa upasuaji.

picha
UGONJWA WA KUCHELEWA KUGANDA KWA DAMU UNAOJULIKANA KAMA HEMOPHILIA.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la Kurithi ambapo Damu inatoka kwa muda mrefu wakati au baada ya jeraha bila kuganda.

picha
FAHAMU UGONJWA WA HEPATITIS C

Hepatitis C ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoshambulia ini na kusababisha kuvimba. Watu wengi walioambukizwa na virusi vya Hepatitis C (HCV) hawana dalili. Kwa kweli, watu wengi hawajui kuwa wana maambukizi ya Hepatitis C hadi uharibifu wa ini

picha
UJUE UGONJWA WA HOMA YA INI YENYE SUMU.

Homa ya ini yenye sumu ni kuvimba kwa ini lako kutokana na kuathiriwa na vitu fulani ambavyo umeathiriwa navyo. Homa ya ini yenye sumu inaweza kusababishwa na pombe, kemikali, dawa za kulevya au viongeza vya lishe.

picha
DAWA YA PANADOL AU PARACETAMOL KATIKA KUTULIZA MAUMIVU

Posti hii inahusu zaidi kazi ya paracetamol katika kutuliza maumivu, ni Aina ya dawa ambayo utumiwa sana katika kutuliza maumivu kwa wagonjwa.

picha
DAWA YA QUINENES KATIKA KUTIBU MALARIA

Post hii inahusu zaidi dawa e quinine katika kutibu Malaria ni dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ikiwa dawa nyingine zimeshindwa kufanya kazi.

picha
DALILI NA ISHARA ZA JIPU LA JINO

Jipu la jino ni mfuko wa usaha unaosababishwa na maambukizi ya bakteria.

picha
ZIJUE FAIDA YA KULA TUNDA LA TANGO.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.

picha
ZIJUE HATUA ZA KUFATA ILI KUEPUKA MARADHI YA TUMBO

Posti hii inaelezea kuhusiana na hatua za kufata ili kujikinga au kuepuka maradhi ya tumbo.kuna vitu vikikosekana husababisha maumivu ya tumbo.

picha
ZIFAHMU DALILI ZA HOMA YA INI KALI YA POMBE.

Posti hii inaonyesha dalili na Mambo Hatari yanayosababisha homa ya ini Kali ya pombe.

picha
UFAHAMU UGONJWA WA HEPATITIS B

Hepatitis B Ni maambukizi ya ini ambayo yamekuwa sugu kuanzia mwezi na kuendelea.

picha
FAHAMU UGONJWA WA HEPATITIS A

Hepatitis A ni ugonjwa wa kuambukiza wa ini unaosababishwa na virusi vya Hepatitis A. Virusi ni mojawapo ya aina kadhaa za virusi vya Hepatitis vinavyosababisha kuvimba na kuathiri uwezo wa ini wako kufanya kazi.

picha
DAWA YA ALBENDAZOLE KATIKA KUTIBU MINYOO.

Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali.

picha
SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA

Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazosababisha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

picha
MEBENDAZOLE KAMA DAWA YA KUTIBU MINYOO.

Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii.

picha
KAZI ZA DAWA YA ARTESUNATE KATIKA KUTIBU MALARIA

Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.

picha
NINI HUSABABISHA UGONJWA WA KIFUA NA MAUMIVU YA KIFUA?

Posti hii inazungumzia sababu zinazopelekea kuumwa na kifua.

picha
DAWA YA ALU KAMA DAWA INAYOTIBU UGONJWA WA MALARIA

Posti hii inahusu zaidi dawa ya ALU kama Dawa inayotibu Ugonjwa wa Malaria ,ni dawa ambayo utumiwa na watu wengi kwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria.

picha
DALILI ZA UGONJWA WA POMBE WAKATI MTOTO AKIWA TUMBONI

Ugonjwa wa ulevi wakati Mtoto akiwa tumboni (fetasi) ni hali ya mtoto inayotokana na unywaji pombe wakati wa ujauzito wa mama. Ugonjwa wa pombe wa fetasi husababisha uharibifu wa ubongo na matatizo ya ukuaji.

picha
DALILI ZA UVIMBE KWENYE MFUKO WA UZAZI (UTERINE FIBROID)

Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi hukua kutoka kwenye tishu laini za misuli ya uterasi. Fibroids nyingi ambazo zimekuwepo wakati wa ujauzito hupungua au kutoweka baada ya ujauzito, kwani uterasi inarudi kwenye ukubwa wa kawaida.

picha
DAWA YA FLUCONAZOLE KAMA DAWA YA FANGASI

Post hii inahusu zaidi dawa za fangasi na matumizi yake kwa kutumia dawa ya fluconazole kama dawa mojawapo ya fangasi.

picha
IMANI POTOFU JUU YA CHANJO.

Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.

picha
KAZI YA CHANJO YA KIFUA KIKUU

Posti hii inahusu kazi ya chanjo ya kifua kikuu kwa kitaalamu huitwa BCG. Ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na ukoma.

picha
KAZI YA CHANJO YA SURUA

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya Surua kwa watoto, ni Aina ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto na kufanya kazi mbalimbali mwilini ambazo ni kumkinga mtoto asipatwe na magonjwa.

Page 173 of 220

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.