picha
KIUNGULIA NA TIBA ZAKE KWA WAJAWAZITO.

Posti hii inahusu kiungulia kwa wanawake wajawazito na tiba yake, ni ugonjwa au hali inayowapata wajawazito walio wengi kwa sababu...

picha
MAGONJWA MADOGO MADOGO KWA MAMA WAJAWAZITO.

Posti hii inahusu zaidi magonjwa madogo madogo kwa akina Mama wajawazito, ni magonjwa ambayo hayawezi kupelekea kupoteza maisha kwa Mama...

picha
UTARATIBU WA CHAKULA KWA MAMA MJAMZITO.

Post huu inahusu zaidi utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito, ni chakula anachopaswa kutumia na ambavyo hapaswi kutumia kwa Mama...

picha
TATIZO LA KUSHINDWA KUJAZA MISULI YA MWILINI NA KUSINYAA KWA MISULI MWILINI

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kusinyaa kwa Misuli. Ni maradhi yanayopelekea uzalishwaji hafifu wa misuli, hivyo kupelekea misuli...

picha
MAMBO YA KUZINGATIA KWA MAMA ILI APATE HUDUMA ENDELEVU.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na huduma kwa mama wajawazito na waliojifungua.

picha
MAMBO AMBAYO UTAULIZWA MAMA MJAMZITO UKIFIKA KITUO CHA AFYA UNATAKIWA UTOE MAJIBU SAHIHI.

Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo Mama mjamzito anaweza kuulizwa pindi anapokuja kwenye kliniki ya uzazi ,ni mambo...

picha
DALILI ZA HATARI KWA MAMA ALIYEJIFUNGUA.

Posti hii inaelezea kiufupi kabisa kuhusiana na Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.

picha
HUDUMA ZA MSINGI KWA MAMA MJAMZITO NA MTOTO.

Posti hii inahusu zaidi huduma muhimu anazopaswa kupewa mama mjamzito wakati akiwa na mimba, wakati wa kujifungua na baada ya...

picha
MAAMBUKIZI YA TISHU YA MATITI.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na maambukizi ya tishu ya matiti ambayo husababisha maumivu ya matiti, uvimbe, joto na uwekundu. Pia...

picha
MAAMBUKIZI YA TEZI ZA MATE

Psti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi ya tezi za mate ambao hujulikana Kama MABUSHA (mumps) ni maambukizi ya...

picha
ULEMAVU WA UBONGO NA MFUMO WA FAHAMU -MULTIPLE SCLEROSIS

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dadili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa ulemavu wa ubongo na mfumo wa fahamu ambao kitaalamu...

picha
FAHAMU UGONJWA WA SARATANI YA SELI NYEUPE.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Saratani ambayo hutokea katika aina ya seli nyeupe ya damu inayoitwa seli ya plasma. Seli za...

picha
UGONJWA WA DONDAKOO

Dondakoo ni ugonjwa mbaya unaosababishwa na sumu inayotengenezwa na bakteria. Husababisha mipako nene nyuma ya pua au koo ambayo...

picha
UGONJWA WA SURUA KWA WATOTO.

Surua ni ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na homa na upele mwekundu, unaotokea utotoni. Wakati mtu aliye na virusi akikohoa au...

picha
UMUHIMU WA JIHAD KATIKA KUSIMAMISHA UISLAMU KATIKA JAMII

Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)

picha
MAANA YA KUSIMAMISHA UISLAMU KATIKA DINI

Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)

picha
KWANINI MWANADAMU HAWEZI KUUNDA DINI SAHIHI

Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)

picha
SABABU YA UISLAMU KUWA NDIYO DINI SAHIHI PEKEE

Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

picha
SIFA AU VIGEZO VYA DINI SAHIHI

Dini sahihi anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

picha
UGONJWA WA MAAMBUKIZI YA MFUMO WA MKOJO KWA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO (UTI)

posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi kwenye mfumo wa mkojo ambapo kitaalamu hujulikana Kama UTI(Urinary Tract Infection (UTI)) hufafanuliwa kuwa...

picha
NAMNA YA KUZUIA MTOTO MWENYE KIFUA KIKUU (TB).

posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano. Kifua kikuu ni ugonjwa sugu...

picha
FAHAMU UGONJWA WA KIFUA KIKUU KWA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO

Posti hii inaonyesha mambo mbalimbali yanayoweza kusababisha Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano.

picha
FAHAMU UGONJWA WA MAAMBUKIZI KWENYE MFUPA

posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa ambao kitaalamu hujulikana Kama

picha
FAHAMU UGONJWA WA UTI WA MGONGO KWA WATOTO UITWAO POLIOMYELITIS

Poliomyelitis ni kuvimba kwa suala la kijivu la uti wa mgongo na wakati mwingine sehemu ya chini ya ubongo

Page 173 of 229

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.