kuna adhkari nyingi sana ambazo Mtume wa Allah ametutaka tuwe tunadumu nazo. lajkini kuna adhkari ambayo imekusanya maneno matukufu na yanayopendwa sana na Allah.
Imepokewa Hadithi kutoka kwa Abu Hurairah kuwa MtumeS.A.W amesema:
" ÙƒÙŽÙ„Ùمَتَان٠ØÙŽØ¨Ùيبَتَان٠إÙÙ„ÙŽÙ‰ الرَّØÙ’Ù…ÙŽÙ†ÙØŒ خَÙÙÙŠÙَتَان٠عَلَى Ø§Ù„Ù„Ù‘ÙØ³ÙŽØ§Ù†ÙØŒ ثَقÙيلَتَان٠ÙÙÙŠ الْمÙÙŠØ²ÙŽØ§Ù†Ù Ø³ÙØ¨Ù’ØÙŽØ§Ù†ÙŽ Ø§Ù„Ù„Ù‘ÙŽÙ‡Ù ÙˆÙŽØ¨ÙØÙŽÙ…Ù’Ø¯ÙÙ‡ÙØŒ Ø³ÙØ¨Ù’ØÙŽØ§Ù†ÙŽ Ø§Ù„Ù„Ù‘ÙŽÙ‡Ù Ø§Ù„Ù’Ø¹ÙŽØ¸Ùيم٠" .
“Maneno mawili yanayopendwa na Mwingi wa Rehema, mepesi katika ulimi, mazito katika mizani, maneno haya ni kusema " Subhan Allah wa-bi hamdihi'' na''Subhan Allah Al-`Azim."
"Ametakasika Mwenyezi Mungu, na sifa njema ni zake.” (BUKHARI)
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hapa utajifunza mambo ambayo akiyafanya mtu aliyefunga, basi funga yake itaharibika.
Soma Zaidi...Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ عَبْدِ الرَّحْمَنِ بْنِ صَخْرٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: سَمِعْت رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم يَقُولُ: "م...
Soma Zaidi...Mafungu ya urithi yaliyotajwa katika haya sita yafutayo:1.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha namna ya kutwaharisha Najisi.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...