kuna adhkari nyingi sana ambazo Mtume wa Allah ametutaka tuwe tunadumu nazo. lajkini kuna adhkari ambayo imekusanya maneno matukufu na yanayopendwa sana na Allah.
Imepokewa Hadithi kutoka kwa Abu Hurairah kuwa MtumeS.A.W amesema:
" ÙƒÙŽÙ„Ùمَتَان٠ØÙŽØ¨Ùيبَتَان٠إÙÙ„ÙŽÙ‰ الرَّØÙ’Ù…ÙŽÙ†ÙØŒ خَÙÙÙŠÙَتَان٠عَلَى Ø§Ù„Ù„Ù‘ÙØ³ÙŽØ§Ù†ÙØŒ ثَقÙيلَتَان٠ÙÙÙŠ الْمÙÙŠØ²ÙŽØ§Ù†Ù Ø³ÙØ¨Ù’ØÙŽØ§Ù†ÙŽ Ø§Ù„Ù„Ù‘ÙŽÙ‡Ù ÙˆÙŽØ¨ÙØÙŽÙ…Ù’Ø¯ÙÙ‡ÙØŒ Ø³ÙØ¨Ù’ØÙŽØ§Ù†ÙŽ Ø§Ù„Ù„Ù‘ÙŽÙ‡Ù Ø§Ù„Ù’Ø¹ÙŽØ¸Ùيم٠" .
“Maneno mawili yanayopendwa na Mwingi wa Rehema, mepesi katika ulimi, mazito katika mizani, maneno haya ni kusema " Subhan Allah wa-bi hamdihi'' na''Subhan Allah Al-`Azim."
"Ametakasika Mwenyezi Mungu, na sifa njema ni zake.” (BUKHARI)
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hiibinakwenda kukufundisha mambo ambayo yanaharibu udhu.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha kuhusi swala ya tarawehe, faida zake na jinsi ya kuiswali.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu funga za sunnah na jinsi ya kuzigunga.
Soma Zaidi...Kwa nini Lengo la Funga halifikiwi na Wafungaji Wengi?
Soma Zaidi...