Post hii inahusu zaidi vipimo muhimu wakati wa ujauzito ni vipimo ambavyo vinapaswa kupimwa na Mama ili kuangalia mambo mbalimbali katika damu au sehemu yoyote, pia vipimo hivi umsaidia sana Mama kujua afya yake.
Vipimo muhimu wakati wa ujauzito.
1. Upimaji wa damu ili kuangalia kiwango cha damu kilichomo mwilini, kwa kawaida mjamzito kabla ya kujifungua anapaswa kuwa na damu ya kutosha kwa sababu wakati wa kujifungua Mama utoa damu nyingi sana kwa hiyo kila mwezi mama uchukua dawa za follic ili kuweza kuongeza damu na pia akina Mama uambiwa kula vyakula muhimu vya kuongeza damu kwa hiyo wajawazito wote nwanapaswa kupima na kuangalia kiasi cha damu kilichomo mwilini mwa Mama.
2. Upimaji wa damu ili kuangalia group la Mama na baba kama zinaendana, mara nyingi Watu wengi wameoana tu na hawajui magroup yao ya damu hali hii uleta shida kwa mtoto wakati wa kujifungua kwa sababu pengine ya kuwepo kwa RH ambayo usababisha kutokwa kwa mimba na kwa upima magroup yao ya damu kila mtu anaweza kujua watu gani anapaswa kuwapatia na mtu gani atapokea kutoka kwake.
3. Pia Mama mjamzito anapaswa kupima kaswende kwa sababu ugonjwa huu ni hatari pindi akiwa tumboni kwa hiyo wazazi wote wanapaswa kuudhulia kliniki kwa mara ya kwanza ili waweze kupima maambukizi ya kaswende, kama wote wanayo wanapaswa kutibiwa ili kuepu kujifungua mtoto mwenye ugonjwa huu maana ni hatari.
4. Pia Mama mjamzito anapaswa kupima maambukizi ya Virusi vya Ukimwi na hatimaye kumwepusha mtoto kuzaliwa akiwa na Maambukizi, na pia kujua afya ya Mama ili kuweza kuwa makini wakati wa kujifungua na kuepusha kuendelea kumpatia huduma na kuendelea vizuri, pia Baba na Mama wote wanapaswa kujua hali zao na kuendelea na matibabu.
5.Mama mjamzito anapaswa kupima Malaria.
Tunajua kubwa Malaria ni tishio kwa Mama wakati wanapaswa kupima ugonjwa wa Malaria, kwa kuwa Mama mara nyingi upewa dawa za SP ili kuweza kuzuia Malaria kwa Mama mjamzito na mtoto kwa hiyo ni jambo la muhimu kupima Malaria na kuepuka shida yake mbalimbali.
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Author Tarehe 2022/01/13/Thursday - 12:53:55 am Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1095
Dalili za Ugonjwa wa kula kupindukia
Ugonjwa wa kula kupindukia ni ugonjwa mbaya wa ulaji ambapo mara kwa mara unatumia kiasi kikubwa cha chakula na kuhisi huwezi kuacha kula.
Soma Zaidi...
Dawa za kutibu kiungulia
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za kutibu kiungulia Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango kwa akina Mama kuanzia miezi sita baada ya kujifungua mpaka mwaka mmoja
Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa mama aliyejifungua kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja. Soma Zaidi...
Saratani (cancer)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya cancer/saratani Soma Zaidi...
ninatatizo la miguu kuuma nimepima wanasema seli nyeupe za damu ipo chini Sana sasa nauliza dawa hizi za vitamin k na sindano vinaweza nisaidia?
Upungufu wa damu ni tatizo la kiafya, lakini kupunguwa seli nyeupe za damu ni tatizo zaidi, nikwa sabaabu seli hizi ndizo ambazo hupambana na wadudu shambulizi wanapoingia mwilini. Soma Zaidi...
ninaisi kma kunakitu kwenye koo alafu kuna ali ya weupe kwenye ulimi na Mashavu kwa ndan
Weupe kwenye ulimi unaweza kuwa ni hali ya kawaida. Weupe huu ukichanganyika na utandu huwenda ikaashiria uwepo wa hali fulani za kiafya. Soma Zaidi...
Dalili za Dengue.
Posti hii inahusu zaidi dalili za Dengue,ni Dalili ambazo huwa kwenye makundi matatu na kuwepo kwa makundi hayautegemea kuongezeka kwa tatizo kwa sababu tatizo likiongezeka bila kutibiwa na dalili uongezeka na kufikia kwenye sehemu isiyo ya kawaida kwa mgonjwa. Soma Zaidi...
Vyakula kwa wagonjwa wa sukari na utaratibu wao wa lishe
Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao. Soma Zaidi...
Dalili na ishara za ugonjwa sugu was Figo.
'Dalili na ishara za ugonjwa sugu wa figo hukua baada ya muda ikiwa uharibifu wa figo unaendelea polepole.' Kupoteza utendakazi wa figo kunaweza kusababisha mrundikano wa majimaji au uchafu wa mwili. Kulingana na jinsi ilivyo kali, upotezaji wa kazi ya figo unaweza kusababisha: Soma Zaidi...
Namna ya kutoa huduma kwa mgonjwa wa Dengue.
Posti hii inahusu zaidi huduma anayopaswa kupata mgonjwa wa ndengue, kwa sababu tunafahamu wazi Ugonjwa huu hauna dawa ila kuna huduma muhimu ambayo anaweza kupata na akaendelea vizuri. Soma Zaidi...
Vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula sumu
Post hii inahusu zaidi kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula chakula chenye sumu, kula sumu ni kitendo Cha kula kitu chochote kama dawa,pombe, kemikali na chakula kichafu. Soma Zaidi...