Vipimo muhimu wakati wa ujauzito

Post hii inahusu zaidi vipimo muhimu wakati wa ujauzito ni vipimo ambavyo vinapaswa kupimwa na Mama ili kuangalia mambo mbalimbali katika damu au sehemu yoyote, pia vipimo hivi umsaidia sana Mama kujua afya yake.

Vipimo muhimu wakati wa ujauzito.

1. Upimaji wa damu ili kuangalia kiwango cha damu kilichomo mwilini, kwa kawaida mjamzito kabla ya kujifungua anapaswa kuwa na damu ya kutosha kwa sababu wakati wa kujifungua Mama utoa damu nyingi sana kwa hiyo kila mwezi mama uchukua dawa za follic ili kuweza kuongeza damu na pia akina Mama uambiwa kula vyakula muhimu vya kuongeza damu kwa hiyo wajawazito wote nwanapaswa kupima na kuangalia kiasi cha damu kilichomo mwilini mwa Mama.

 

2. Upimaji wa damu ili kuangalia group la Mama na baba kama zinaendana, mara nyingi Watu wengi wameoana tu na hawajui magroup yao ya damu hali hii uleta shida kwa mtoto wakati wa kujifungua kwa sababu pengine ya kuwepo kwa RH ambayo usababisha kutokwa kwa mimba na kwa upima magroup yao ya damu kila mtu anaweza kujua watu gani anapaswa kuwapatia na mtu gani atapokea kutoka kwake.

 

3. Pia Mama mjamzito anapaswa kupima kaswende kwa sababu ugonjwa huu ni hatari pindi akiwa tumboni kwa hiyo wazazi wote wanapaswa kuudhulia kliniki kwa mara ya kwanza ili waweze kupima maambukizi ya kaswende, kama wote wanayo wanapaswa kutibiwa ili kuepu kujifungua mtoto mwenye ugonjwa huu maana ni hatari.

 

4. Pia Mama mjamzito anapaswa kupima  maambukizi ya Virusi vya Ukimwi na hatimaye kumwepusha mtoto kuzaliwa akiwa na Maambukizi, na pia kujua afya ya Mama  ili kuweza kuwa makini wakati wa kujifungua na kuepusha kuendelea kumpatia huduma na kuendelea vizuri, pia  Baba na Mama wote wanapaswa kujua hali zao na kuendelea na matibabu.

 

5.Mama mjamzito anapaswa kupima Malaria.

Tunajua kubwa Malaria ni tishio kwa Mama wakati wanapaswa kupima ugonjwa wa Malaria, kwa kuwa Mama mara nyingi upewa dawa za SP ili kuweza kuzuia Malaria kwa Mama mjamzito na mtoto kwa hiyo ni jambo la muhimu kupima Malaria na kuepuka shida yake mbalimbali.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2054

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Dalili za Utasa wa wanaume

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Utasa wa Mwanaume hutokana na uzalishaji mdogo wa mbegu za kiume, utendakazi usio wa kawaida wa manii au kuziba kwa manii ambayo huzuia utoaji wa mbegu za kiume. Magonjwa, majeraha, matatizo ya kiafya sugu, u

Soma Zaidi...
siku za kupata mimba

Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba na dalili za siku hizo.

Soma Zaidi...
Mambo ambayo mama anapaswa kujua akiwa mjamzito

Posti hii inahusu zaidi mambo anyopaswa kujua akiwa mjamzito. Ni mambo muhimu ya kuzingatia kwa mama akiwa mjamzito.

Soma Zaidi...
Zijuwe Dalili za minyoo na dalili kuu 9 za minyoo

Utajifunza dalili za minyoo, sababu za minyoo na namna ya kujiepusha na minyoo. Dalili kuu 5 za minyoo mwilini

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kabla ya kupata hedhi

Je unasumbuliwa na maumivu ya tumbo. Unadhani ni dalili za mimba na ukapima hakuna mimba.

Soma Zaidi...
Dalili za uvimbe kwenye kizazi

Posti hii inahusu zaidi Dalili za uvimbe kwenye kizazi,hizi ni Dalili ambazo ujitokeza kwa akina mama ambao wana uvimbe kwenye kizazi kwa hiyo endapo mama ameona Dalili kama hizi anapaswa kuwahi hospitali mara moja kwa uangalizi zaidi.

Soma Zaidi...
Utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito.

Post huu inahusu zaidi utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito, ni chakula anachopaswa kutumia na ambavyo hapaswi kutumia kwa Mama mjamzito mzito, kwa sababu Mama mjamzito anapaswa kuwa makini katika matumizi ya chakula ili kuweza kuongeza vitu muhimu mwil

Soma Zaidi...
Madhara ya kupungua kwa homoni ya projestron

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa homoni ya projestron ikipungua mwilini na pia kuweza kutambua dalili za kupungua kwa homoni hii ya progesterone.

Soma Zaidi...
Changamoto kubwa za tendo la ndoa kwa wanaume

Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao

Soma Zaidi...
SABABU ZA KUTOKA KWA MIMBA (sababu za kuharibika kwa ujauzito)

Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka.

Soma Zaidi...