Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kusinyaa kwa Misuli. Ni maradhi yanayopelekea uzalishwaji hafifu wa misuli, hivyo kupelekea misuli kukosa protini, kushunwa kukuwa na kusinyaa.
Dalili za udhaufu unaendelea wa misuli Ni pamoja na;
1.Kupata maumivu kwenye sehemu iliyokaza.
2.ngozi kuwa nyekundu.
3.kushindwa kugeuka au kutembea.
4.kukakamaa.
5.unaweza kupata ganzi.
MATATIZO
Shida za udhaifu unaoendelea wa misuli ni pamoja na:
1. Kutokuwa na uwezo wa kutembea. Baadhi ya watu wenye Ugonjwa wa Misuli hatimaye wanahitaji kutumia kiti cha magurudumu.
2. Kupungua kwa misuli.kwasababh ya udhaufu na uhafifu wa misuli pamoja na kusinyaa.
3. Matatizo ya kupumua. Udhaifu unaoendelea unaweza kuathiri misuli inayohusishwa na kupumua. Watu walio na uhafifu wa Misuli hatimaye wanaweza kuhitaji kutumia kifaa cha kusaidia kupumua (kipumuaji), mwanzoni usiku lakini ikiwezekana pia mchana.
4. Mgongo uliopinda (Scoliosis). Misuli iliyodhoofika inaweza kushindwa kushikilia mgongo sawa.
5. Matatizo ya moyo. Kusinyaa kwa misuli inaweza kupunguza ufanisi wa misuli ya moyo.
6. Matatizo ya kumeza. Ikiwa misuli inayohusika na kumeza itaathiriwa, matatizo ya lishe huenda ikatokea.
Mwisho; Tafuta ushauri wa kimatibabu ukigundua dalili za udhaifu wa misuli kama vile mlegevu kuongezeka na kuanguka ndani yako au mtoto wako.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu minyoo na athari zao kiafya
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo,ni dalili ambazo ujionesha kwa mtu akiwa na shida kwenye utumbo mdogo na tumbo la kawaida.
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukueleza ni nini hasa hizi figo, na ni yapi maradhi yake na ni kwa namna ggani utaweza kujilinda na maradhi ya figo.
Soma Zaidi...Dalili za mimba zinaweza kuanzia kuonekana mapema ndani ya wiki ya kwanza, japo sio rahisi nabhakuna uthibitishobwa uhakika juu ya kauli hii. Makala hii itakwebda kujibubswali la msingi la muuulizaji kama maumivu ya tumbo ni dalili ya ujauzito.
Soma Zaidi...Dr huwa nasikia maumivu makali sana juu ya tumbo yn kama kuna moto hivi na mgongon kama unadungwa sindano hivi je hizo ni dalili za vidonda vya tumbo?
Soma Zaidi...KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI Fanya miadi na daktari wako wa kawaida ikiwa una ishara au dalili zinazokupa wasiwasi.
Soma Zaidi...Zipo aina nyingi za fantasy ambazo ni rahisi kuathiri binadamu. Wipe ambao haiathiri mdomo, nyayo, shemu za siri na kwenye ngozi.
Soma Zaidi...posti hii inazungumziaTetekuwanga . Tetekwanga(varisela) ni maambukizi ya virusi ambayo husababisha kuwasha, kama vile upele. Tetekuwanga huambukiza sana watu ambao hawajapata ugonjwa huo wala kupewa chanjo dhidi yake. Kabla ya chanjo ya mara kwa mara
Soma Zaidi...Weupe kwenye ulimi unaweza kuwa ni hali ya kawaida. Weupe huu ukichanganyika na utandu huwenda ikaashiria uwepo wa hali fulani za kiafya.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili,sababu za Hatari,na namna ya kujizuia na fangasi wa kucha.
Soma Zaidi...