Menu



tatizo la kushindwa kujaza misuli ya mwilini na kusinyaa kwa misuli mwilini

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kusinyaa kwa Misuli. Ni maradhi yanayopelekea uzalishwaji hafifu wa misuli, hivyo kupelekea misuli kukosa protini, kushunwa kukuwa na kusinyaa.

  Dalili za udhaufu unaendelea wa misuli Ni pamoja na; 

1.Kupata maumivu kwenye sehemu iliyokaza.

2.ngozi kuwa nyekundu.

3.kushindwa kugeuka au kutembea.

4.kukakamaa.

5.unaweza kupata ganzi.

 

MATATIZO

 Shida za udhaifu unaoendelea wa misuli ni pamoja na:

1. Kutokuwa na uwezo wa kutembea.  Baadhi ya watu wenye Ugonjwa wa Misuli hatimaye wanahitaji kutumia kiti cha magurudumu.

 

2. Kupungua kwa misuli.kwasababh ya udhaufu na uhafifu wa misuli pamoja na kusinyaa.

 

3. Matatizo ya kupumua.  Udhaifu unaoendelea unaweza kuathiri misuli inayohusishwa na kupumua.  Watu walio na  uhafifu wa Misuli hatimaye wanaweza kuhitaji kutumia kifaa cha kusaidia kupumua (kipumuaji), mwanzoni usiku lakini ikiwezekana pia mchana.

 

4. Mgongo uliopinda (Scoliosis).  Misuli iliyodhoofika inaweza kushindwa kushikilia mgongo sawa.

 

5. Matatizo ya moyo.  Kusinyaa kwa misuli inaweza kupunguza ufanisi wa misuli ya moyo.

 

6. Matatizo ya kumeza.  Ikiwa misuli inayohusika na kumeza itaathiriwa, matatizo ya lishe  huenda ikatokea.  

 

   Mwisho; Tafuta ushauri wa kimatibabu ukigundua dalili za udhaifu wa misuli kama vile mlegevu kuongezeka na kuanguka  ndani yako au mtoto wako.

 

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 2556


Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Dalili za minyoo ya tumbo
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za minyoo ya tumbo ambapo minyoo hawa husababishwa na mtu kula vyakula vichafu ambavyo havijaiva vizuri au maji machafu pia au bacteria. Soma Zaidi...

Dalili za Ugonjwa wa mapigo ya moyo
Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, Kupepesuka au kudunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza kuwa ya kutisha, kwa kawaida hayana madhara. Katik Soma Zaidi...

Undetectable viral load ni nini?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya undetectable viral load Soma Zaidi...

Dalili za minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo Soma Zaidi...

JITIBU KWA MUAROBAINI: faida za kiafya za muarobaini
1. Soma Zaidi...

Je ugonjwa wa pumu uneweza kusababisha kifo, na nini kifanyike kupunguza madhara?
Ugojwa wa pumu ni hatari na unaweza kutokea ghafla. Lakini je unaweza kusababisha kifo, makalahii itakwend akujibu swali hili Soma Zaidi...

Kwani minyoo hukaa sehem gani ya mwili?
Minyoo ni katika parasite, yaani ni viumbe wanaokaa kwenye mwili na kujipatia chakula chake humo. Katika miili yetu minyoo huishi na kula kuzaliana na kukuwa. Kama unahitaji kujuwa wapi hasa wanakaa mwilini mwetu, endelea na makala hii Soma Zaidi...

Dalili za gonorrhea
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya dalili za gonorrhea Soma Zaidi...

Dalili za saratani ya koo
Saratani ya Koo inarejelea Vivimbe vya Saratani vinavyotokea kwenye koo lako (koromeo), sanduku la sauti (larynx) au tonsils. Soma Zaidi...

Dalili za madhara ya figo
Posti hii inahusu dalili za figo.figo husawazisha maji mwilini pamoja na kuchuja mkojo. Soma Zaidi...