tatizo la kushindwa kujaza misuli ya mwilini na kusinyaa kwa misuli mwilini
Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kusinyaa kwa Misuli. Ni maradhi yanayopelekea uzalishwaji hafifu wa misuli, hivyo kupelekea misuli kukosa protini, kushunwa kukuwa na kusinyaa.
Dalili za udhaufu unaendelea wa misuli Ni pamoja na;
1.Kupata maumivu kwenye sehemu iliyokaza.
2.ngozi kuwa nyekundu.
3.kushindwa kugeuka au kutembea.
4.kukakamaa.
5.unaweza kupata ganzi.
MATATIZO
Shida za udhaifu unaoendelea wa misuli ni pamoja na:
1. Kutokuwa na uwezo wa kutembea. Baadhi ya watu wenye Ugonjwa wa Misuli hatimaye wanahitaji kutumia kiti cha magurudumu.
2. Kupungua kwa misuli.kwasababh ya udhaufu na uhafifu wa misuli pamoja na kusinyaa.
3. Matatizo ya kupumua. Udhaifu unaoendelea unaweza kuathiri misuli inayohusishwa na kupumua. Watu walio na uhafifu wa Misuli hatimaye wanaweza kuhitaji kutumia kifaa cha kusaidia kupumua (kipumuaji), mwanzoni usiku lakini ikiwezekana pia mchana.
4. Mgongo uliopinda (Scoliosis). Misuli iliyodhoofika inaweza kushindwa kushikilia mgongo sawa.
5. Matatizo ya moyo. Kusinyaa kwa misuli inaweza kupunguza ufanisi wa misuli ya moyo.
6. Matatizo ya kumeza. Ikiwa misuli inayohusika na kumeza itaathiriwa, matatizo ya lishe huenda ikatokea.
Mwisho; Tafuta ushauri wa kimatibabu ukigundua dalili za udhaifu wa misuli kama vile mlegevu kuongezeka na kuanguka ndani yako au mtoto wako.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Kitau cha Fiqh π2 Kitabu cha Afya π3 Dua za Mitume na Manabii π4 kitabu cha Simulizi π5 Simulizi za Hadithi Audio π6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Dalili za maambukizi kwenye magoti
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa Kuna maambukizi kwenye magoti, kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha maumivu au maambukizi kwenye magoti Kuna dalili za mwanzo ambazo zinajitokeza kama tutakavyoona hapo chini
Soma Zaidi...Upungufu wa furaha na mabadiliko ya hisia ya mara kwa mara.
βMakala haya yanachunguza kiini cha upungufu wa furaha (anhedonia) na mabadiliko ya hisia ya mara kwa mara (mood swings), yakichambua visababishi vya kibiolojia na kisaikolojia, pamoja na kutoa mwongozo wa kitaalamu wa kukabiliana nayo.
Soma Zaidi...HPV (Human Papillomavirus): Chanjo na saratani ya shingo ya kizazi.
βVirusi vya Human Papillomavirus (HPV) ni kundi la virusi vinavyoambukiza ngozi na utando wa ndani wa mwili. Ingawa maambukizi mengi ya HPV hupona yenyewe, aina fulani za virusi hivi zinaweza kusababisha mabadiliko ya seli yanayoendelea na kuwa saratani, hasa saratani ya shingo ya kizazi. Makala hii inachambua uhusiano kati ya HPV na saratani, umuhimu wa chanjo, na hatua za kinga ambazo kila jamii inapaswa kuzichukua.
Soma Zaidi...Njia za kuondokana na fangasi
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuweza kupambana na fangasi za ukeni ili kuweza kujiepusha na madhara mbalimbali kwenye maisha ambayo ni pamoja na ugumba na Maambukizi kwenye via vya uzazi.
Soma Zaidi...