Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.

Posti hii inaelezea kiufupi kabisa kuhusiana na Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.

   Je,Ni Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua?

Zifuatazo zinaonenyesha Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua;

 1. Kutoka Damu nyingi ukeni na sehemu ya kidonda Kama amepasuliwa.hivyo Kuna baadhi yao Damu hutoka nyingi Sana na hupelekea mama kuwa katika Hali mbali mbaya.

 

2.kushindwa kupumua.

 

3.maumivu au kuumwa kichwa.maumivu haya huwa Ni makali Sana na hupelekea mama kushindwa kupumua vizuri.

 

4.kuvimba miguu (oedema)

 

5.kuvimba Matiti. Hii nayo ni Dalili mbaya kwa mama aliyejifungua.

 

6.kutokwa na usaha au majimaji yenye harufu mbaya.

 

7.kushindwa kukojoa.

 

8.Degedege.hii nayo Ni Dalili mbaya kwa mama aliyejifungua hivyo Dalili Kama hii hutakiwa kutolewa huduma ya haraka maana inaweza kusababisha madhara.

 

9.kuona maluweluwe (multiple vision)

 

10.kizunguzungu.

 

11.homa Kali.

 

Mwisho; mama aliyejifungua anatakiwa kupewa huduma nzuri ambayo utamsaidia wakati akipata Dalili za hatari hivyo basi Ni vyema kabisa kwa mama aliyejifungua apewe huduma nzuri na yauangalifu Ndani ya masaa ishirini na nne ili kuangalia Kama anamabadiliko mazuri au mabaya kwa mama na kwa Mtoto pia.

 

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2784

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa

Post hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, mara nyingi tatizo hili uwakumba akina mama mbalimbali ambapo mtoto uzaliwa akiwa na uzito mkubwa

Soma Zaidi...
Madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu,ni madhara ambayo utokea kwa mtu anayetumia madawa ya kupunguza maumivu.

Soma Zaidi...
Je endapo mama atafanya tendo la ndoa wiki moja kabla ya kuingia hedhi anaweza kupata ujauzito?

Zipo siku maalumu ambazo mwanamke hupata mimba. Siku hizi huzoeleka kwa jina la siku hatari. Je ungependa kufahamu mengi kuhusu siku hatari, endelea na makala hii.

Soma Zaidi...
Mwezi juzi niliingia tarhe 21 ila mwez uloisha nmeingia tarh 25 maana mzunguko wangu umekuwa mrefu nikahs naujauzito kumbe mzunguko umebadilika hapo tatz n nn

Posti hii utakwenda kutoa sababu kuu za kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi. Kama na wewe numiongini mwaka endelea kusoma

Soma Zaidi...
Zijue sababu zinazosababisha kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume

Kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume kunamaanisha kuwa Majimaji (shahawa) unayotoa wakati wa kufika kileleni huwa na mbegu chache kuliko kawaida. Hesabu yako ya manii inachukuliwa kuwa chini kuliko kawaida ikiwa una chini ya mbegu milioni 15. Kuwa na idad

Soma Zaidi...
Saratani zinazowasumbua watoto.

Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao.

Soma Zaidi...
Fahamu Ute unaotoka wakati wa ujauzito

Posti hii inahusu zaidi Ute unaotoka wakati wa ujauzito, kwa kawaida wakati wa ujauzito Kuna Ute ambao utoka na ni tofauti na kawaida pale mwanamke akiwa Hana mimba.

Soma Zaidi...
Siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba

Soma Zaidi...