Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.

Posti hii inaelezea kiufupi kabisa kuhusiana na Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.

   Je,Ni Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua?

Zifuatazo zinaonenyesha Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua;

 1. Kutoka Damu nyingi ukeni na sehemu ya kidonda Kama amepasuliwa.hivyo Kuna baadhi yao Damu hutoka nyingi Sana na hupelekea mama kuwa katika Hali mbali mbaya.

 

2.kushindwa kupumua.

 

3.maumivu au kuumwa kichwa.maumivu haya huwa Ni makali Sana na hupelekea mama kushindwa kupumua vizuri.

 

4.kuvimba miguu (oedema)

 

5.kuvimba Matiti. Hii nayo ni Dalili mbaya kwa mama aliyejifungua.

 

6.kutokwa na usaha au majimaji yenye harufu mbaya.

 

7.kushindwa kukojoa.

 

8.Degedege.hii nayo Ni Dalili mbaya kwa mama aliyejifungua hivyo Dalili Kama hii hutakiwa kutolewa huduma ya haraka maana inaweza kusababisha madhara.

 

9.kuona maluweluwe (multiple vision)

 

10.kizunguzungu.

 

11.homa Kali.

 

Mwisho; mama aliyejifungua anatakiwa kupewa huduma nzuri ambayo utamsaidia wakati akipata Dalili za hatari hivyo basi Ni vyema kabisa kwa mama aliyejifungua apewe huduma nzuri na yauangalifu Ndani ya masaa ishirini na nne ili kuangalia Kama anamabadiliko mazuri au mabaya kwa mama na kwa Mtoto pia.

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 3289

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Tatizo la kutokwa na utelezi wenye damu baada ya hedhi

Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali za kutokwa na damu baada ya hedhi hili ni tatizo ambalo uwapata wanawake wengi pamoja na akina Mama kwa sababu ya kutokwa na damu yenye utelezi baada ya hedhi.

Soma Zaidi...
Je kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo?

Nimesoma makala yenu, sasa nina swaliJe kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo?

Soma Zaidi...
Fahamu madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke PID

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mathara yanayosababisha Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke

Soma Zaidi...
Je, wajua sababu zinazopelekea maumivu ya Matiti kwa wanawake?

Maumivu ya matiti ni malalamiko ya kawaida miongoni mwa wanawake yanaweza kujumuisha uchungu wa matiti, maumivu makali ya kuungua au kubana kwenye tishu zako za matiti. Maumivu yanaweza kuwa ya mara kwa mara au yanaweza kutokea mara kwa mara tu. Maumiv

Soma Zaidi...
Madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu,ni madhara ambayo utokea kwa mtu anayetumia madawa ya kupunguza maumivu.

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa homoni ya projestron

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.

Soma Zaidi...
Namna ya kumtunza mtoto aliyezaliwa

Post hii inahusu zaidi namna ya kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa, ni njia zitoleeazo na wakunga Ili kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa.

Soma Zaidi...
Damu, uteute na maji yanayotoka ukeni kipindi cha ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu damu, uteute na maji yanayotoka ukeni kipindi cha ujauzito

Soma Zaidi...
Dalili za mimba ya mtoto wa kiume ama mtoto wa kike

Posti hii inakwenda kukueleza jinsi ya kuwjuwa kama mtoto ni wa kike ama wa kiume.

Soma Zaidi...