Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.
Posti hii inaelezea kiufupi kabisa kuhusiana na Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.
Je,Ni Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua?
Zifuatazo zinaonenyesha Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua;
1. Kutoka Damu nyingi ukeni na sehemu ya kidonda Kama amepasuliwa.hivyo Kuna baadhi yao Damu hutoka nyingi Sana na hupelekea mama kuwa katika Hali mbali mbaya.
2.kushindwa kupumua.
3.maumivu au kuumwa kichwa.maumivu haya huwa Ni makali Sana na hupelekea mama kushindwa kupumua vizuri.
4.kuvimba miguu (oedema)
5.kuvimba Matiti. Hii nayo ni Dalili mbaya kwa mama aliyejifungua.
6.kutokwa na usaha au majimaji yenye harufu mbaya.
7.kushindwa kukojoa.
8.Degedege.hii nayo Ni Dalili mbaya kwa mama aliyejifungua hivyo Dalili Kama hii hutakiwa kutolewa huduma ya haraka maana inaweza kusababisha madhara.
9.kuona maluweluwe (multiple vision)
10.kizunguzungu.
11.homa Kali.
Mwisho; mama aliyejifungua anatakiwa kupewa huduma nzuri ambayo utamsaidia wakati akipata Dalili za hatari hivyo basi Ni vyema kabisa kwa mama aliyejifungua apewe huduma nzuri na yauangalifu Ndani ya masaa ishirini na nne ili kuangalia Kama anamabadiliko mazuri au mabaya kwa mama na kwa Mtoto pia.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 web hosting 👉5 ai web app 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Zijue sababu za kutobeba mimba
Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali ambazo zinamfanya mama au dada kutobeba mimba. Kwa hiyo tutaziona hapo chini kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Huduma kwa mama mwenye mimba ambayo inataka kutoka.
Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba inataka kutoka, mimba za aina hiyo kwa kitaalamu huitwa inevitable pregnant ni lazima itoke tu hata kama kuna juhudi mbalimbali za wataalamu mimba hii utoka kabisa.
Soma Zaidi...Mm tumbo linaniuma mara kwa mara na linakua kama linages alaf kichwa kinauma mara kwa mara na nakosa choo wakati mwingine na kiuno kinauma je?inawezakua n ujauzito? Maana nilshirki tendo la ndoa siku ya tano baada ya kutoka hedhi
Dalili za mwanzo za ujauzito zinaweza kuwa ni changamoto kwamwanamke hasa ikiwa ndio mimba yake ya kwanza. Maumivu ya tumbo, kujaa kwa tumbo gesi, kukosa choo ama hamu ya kula na kadhalika huweza pia kuambatana na ujauzito.
Soma Zaidi...Mambo ya kuzingatia kwa Mama mwenye mimba
Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa Mama mwenye mimba, ni kipindi ambacho Mama uhitahi uangalizi wa karibu zaidi.
Soma Zaidi...Mimi imepita miezi mitatu sioni hedhi na wala sioni dalili ya kuwa na mimba unaweza ukaniambia tatizo la kuwa na hali hii
Kama na wewe una tatizo la kupitiliza siku zako za hedhi hli ya kuwa huna ujauzito, soma post hii ina majibu yako.
Soma Zaidi...Uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama.
Posti hii inahusu zaidi uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama, kwa kawaida uchungu unapaswa kuwa ndani ya masaa Kumi na mawili ila Kuna wakati mwingine uchungu unaweza kuwa zaidi ya masaa Kumi na mawili na kusababisha madhara yasiyo ya kawaida kwa Mama n
Soma Zaidi...