Menu



Magonjwa madogo madogo kwa Mama wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi magonjwa madogo madogo kwa akina Mama wajawazito, ni magonjwa ambayo hayawezi kupelekea kupoteza maisha kwa Mama mjamzito, magonjwa haya upotea ikiwa Mama atajifungua.

Magonjwa madogo madogo kwa Mama wajawazito.

1. Kizungu Zungu na kutapika.

Ni mojawapo ya magonjwa kwa mama wajawazito ambayo hayawezi kupoteza maisha ya mama kwa hiyo hali huu umpata Mama akiwa na wiki nne mpaka kumi na sita, hasa hasa hali hiii utokea wakati wa asubuhi kwa akina Mama wengi na kwa wengine utokea mda wote, hali hii usababishwa na homoni za mimba ambazo ni progesterone, oestrogen na chorionic gonadotropin .

 

2. Na kwa wakati mwingine harufu ya chakula usababisha mama kubwa na kichefuchefu na kutapika kwa hiyo  wauguzi na wataalam wa afya wanapaswa  kuongea na Mama ili kuona hali huu ni ya kawaida kabisa na akina Mama wanapaswa kuambiwa ukweli kabisa na kuepuka woga usio na Maana kuhusu hali hii ya kuhisi kichefuchefu na kutapika.

 

3. Kuhisi maumivu kwenye kiuno na kwenye mgongo, hali huu uwapata akina Mama wakati wa ujauzito kwa sababu ya uzito wa mtoto anapoongezeka na anapobadilika mkao kwa hiyo Mama uhisi maumivu na pengine miguu kufa ganzi  kwa hiyo Mama anapaswa kufanya mazoezi, kunyoosha miguu kwa sentimita ishilini na tano, pia anaweza kutumia dawa ya vitamini B complex na calcium na pia Mazoezi ni lazima kwa kina Mama wajawazito.

 

4. Pia Mama wajawazito huwa wanakojoa mara kwa mara kwa sababu kibofu cha mkojo na uterus vimekaribiana sana kwa hiyo mtoto anakandamiza kibofu cha mkojo na kila mkojo unaoingia kwenye kibofu utolewa mara moja kwa hiyo Mama uonekane anakojoa Mara kwa Mara, pia kwa sababu ya mabadiliko ya kimwili kwa Mama mjamzito pengine uhisi kiu na kunywa maji mengi na baadae kuokoa sana, kwa hiyo wajawazito wanapaswa kuelewa kubwa huu si ugonjwa ila ni hali inayotokea na baadae ulisha baada ya kujifungua.

 

5. Na pia wajawazito wana hali ya kusikia ganzi kwenye mikono na vidole na pia kusikia vitu vinachoma kama vile pini na sindano huu ni kwa sababu ya maji maji ambayo kwenye nevu kwa hiyo Mama anapaswa kuweka mikono yake kwenye mito na kuvaa nguo raini wakati wa usiku, hali huu kwa wajawazito ni kawaida na wasiogope na uisha tu baada ya kujifungua, na wakati mwingine wajawazito ushindwa kutulia kwa sababu ya kukua kila siku kwa mtoto aliyeko tumboni.

 

6.Kuongezeka kwa kiasi au spidi ya damu kwenye uterus usababisha mtoto kutembea sana  ambapo hali hii usababisha mama kulala sana na kuwahi kusinzia mapema wakati wa jioni, pia Mama  kwa wakati mwingine uhisi wasiwasi pindi anapofikilia kujifungua kwa wakati huu Mama uhitaji mda mwingi wa kupata ushauri na kufarijiwa kuona kubwa ni hali ya kawaida. Kubadilika kwa homoni pia usababisha Mama kuwa mzito na kupata mawazo mengi sana. Kwa hiyo wauguzi wanapaswa kumwambia Mama kubwa akijifungua hali utapotea tu.

 

7. Tunaona wazi kuwa akina Mama wakati wa ujauzito kuna mabadiliko mengi ambayo utokea kwa hiyo jamii inayowazunguka kuanzia kwa mme, watoto, ndugu na jamii kwa ujumla kuwavumilia wajawazito na kuwapa ushirikiano wa hali na mali kuna pengine wahisi kukwazika waone kuwa ni hali ya kawaida ambayo ujitokeza na kuanza kuwaonyesha upendo kuwadhamini na kuwaelewa kwa kipindi chote cha ujauzito kwa hiyo kwa wale wanaowatesa wahawazito na kuonyesha kuwa maudhi yanayotokea kwao ni kuwa wanajifanyisha wapigwe marufuku na wapewe elimu kuhusu wajawazito wakati wa ujauzito.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2127

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Dalili za upungufu wa homoni ya progesterone

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.

Soma Zaidi...
DALILI ZA TEZI DUME

Tezi dume hii ni tezi inayopatikana katika katika mfumo wa uzazi wa mwanaume Ila hujulikana kama PROSTATE GLAND. pia hukua karibu na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo hutumika kuzalisha majimaji (simen) yanayobeba mbegu hivyo bas mk

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kulia

Soma Zaidi...
Je ukitokea mchubuko wakati wa ngono unaweza pata ukimwi?

Kupata Ukimwi ama HIV hufungamana na mambo mengi. Si kila anayefanya ngono zembe nabmuathiria naye lazima aathirike. Hiivsibkweli, ila tangu kuwa hali hii ni hatari kwani kupata maambukizi ni rahisi sana.

Soma Zaidi...
Madhara ya tumbaku na sigara

Post hii itakwenda kuangalia madhara ya tumbaku na sigara anayoweza kuyapata mvutaji

Soma Zaidi...
Je inaweza ukaingia period wakati unaujauzito?

Ukiwa mjamzito unaweza kushuhudia kutokwa na damu. Je damu hii ni ya hedhi?

Soma Zaidi...
Sababu za kutoona hedhi kwa wakati

Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa hedhi wakati mda wa kuona hedhi umefika ni tatizo linalowasumbua baadhi ya wasichana wachache katika jamii na hii ni kwa sababu zifuatazo.

Soma Zaidi...
Dalili za kupasuka kondo la nyuma (placenta)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kupasuka kwa kondo la nyuma (plasenta) (abruptio placentae) ni tatizo lisilo la kawaida lakini kubwa la ujauzito.Kondo la nyuma (Placenta) ni muundo ambao hukua ndani ya uterasi wakati wa ujauzito ili kumlisha mtoto ana

Soma Zaidi...
Huduma kwa mwenye maumivu ya tumbo la hedhi

Posti hii inahusu msaada kwa mwenye maumivu ya tumbo la hedhi, hizi ni huduma ambazo utolewa kwa wale wenye maumivu ya tumbo la hedhi.

Soma Zaidi...