Magonjwa madogo madogo kwa Mama wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi magonjwa madogo madogo kwa akina Mama wajawazito, ni magonjwa ambayo hayawezi kupelekea kupoteza maisha kwa Mama mjamzito, magonjwa haya upotea ikiwa Mama atajifungua.

Magonjwa madogo madogo kwa Mama wajawazito.

1. Kizungu Zungu na kutapika.

Ni mojawapo ya magonjwa kwa mama wajawazito ambayo hayawezi kupoteza maisha ya mama kwa hiyo hali huu umpata Mama akiwa na wiki nne mpaka kumi na sita, hasa hasa hali hiii utokea wakati wa asubuhi kwa akina Mama wengi na kwa wengine utokea mda wote, hali hii usababishwa na homoni za mimba ambazo ni progesterone, oestrogen na chorionic gonadotropin .

 

2. Na kwa wakati mwingine harufu ya chakula usababisha mama kubwa na kichefuchefu na kutapika kwa hiyo  wauguzi na wataalam wa afya wanapaswa  kuongea na Mama ili kuona hali huu ni ya kawaida kabisa na akina Mama wanapaswa kuambiwa ukweli kabisa na kuepuka woga usio na Maana kuhusu hali hii ya kuhisi kichefuchefu na kutapika.

 

3. Kuhisi maumivu kwenye kiuno na kwenye mgongo, hali huu uwapata akina Mama wakati wa ujauzito kwa sababu ya uzito wa mtoto anapoongezeka na anapobadilika mkao kwa hiyo Mama uhisi maumivu na pengine miguu kufa ganzi  kwa hiyo Mama anapaswa kufanya mazoezi, kunyoosha miguu kwa sentimita ishilini na tano, pia anaweza kutumia dawa ya vitamini B complex na calcium na pia Mazoezi ni lazima kwa kina Mama wajawazito.

 

4. Pia Mama wajawazito huwa wanakojoa mara kwa mara kwa sababu kibofu cha mkojo na uterus vimekaribiana sana kwa hiyo mtoto anakandamiza kibofu cha mkojo na kila mkojo unaoingia kwenye kibofu utolewa mara moja kwa hiyo Mama uonekane anakojoa Mara kwa Mara, pia kwa sababu ya mabadiliko ya kimwili kwa Mama mjamzito pengine uhisi kiu na kunywa maji mengi na baadae kuokoa sana, kwa hiyo wajawazito wanapaswa kuelewa kubwa huu si ugonjwa ila ni hali inayotokea na baadae ulisha baada ya kujifungua.

 

5. Na pia wajawazito wana hali ya kusikia ganzi kwenye mikono na vidole na pia kusikia vitu vinachoma kama vile pini na sindano huu ni kwa sababu ya maji maji ambayo kwenye nevu kwa hiyo Mama anapaswa kuweka mikono yake kwenye mito na kuvaa nguo raini wakati wa usiku, hali huu kwa wajawazito ni kawaida na wasiogope na uisha tu baada ya kujifungua, na wakati mwingine wajawazito ushindwa kutulia kwa sababu ya kukua kila siku kwa mtoto aliyeko tumboni.

 

6.Kuongezeka kwa kiasi au spidi ya damu kwenye uterus usababisha mtoto kutembea sana  ambapo hali hii usababisha mama kulala sana na kuwahi kusinzia mapema wakati wa jioni, pia Mama  kwa wakati mwingine uhisi wasiwasi pindi anapofikilia kujifungua kwa wakati huu Mama uhitaji mda mwingi wa kupata ushauri na kufarijiwa kuona kubwa ni hali ya kawaida. Kubadilika kwa homoni pia usababisha Mama kuwa mzito na kupata mawazo mengi sana. Kwa hiyo wauguzi wanapaswa kumwambia Mama kubwa akijifungua hali utapotea tu.

 

7. Tunaona wazi kuwa akina Mama wakati wa ujauzito kuna mabadiliko mengi ambayo utokea kwa hiyo jamii inayowazunguka kuanzia kwa mme, watoto, ndugu na jamii kwa ujumla kuwavumilia wajawazito na kuwapa ushirikiano wa hali na mali kuna pengine wahisi kukwazika waone kuwa ni hali ya kawaida ambayo ujitokeza na kuanza kuwaonyesha upendo kuwadhamini na kuwaelewa kwa kipindi chote cha ujauzito kwa hiyo kwa wale wanaowatesa wahawazito na kuonyesha kuwa maudhi yanayotokea kwao ni kuwa wanajifanyisha wapigwe marufuku na wapewe elimu kuhusu wajawazito wakati wa ujauzito.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2022/01/12/Wednesday - 04:55:31 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1376

Post zifazofanana:-

Huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu
Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia. Soma Zaidi...

Mambo ya kuangalia kwa mtu aliyepoteza fahamu
Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtu aliyepoteza fahamu, kama mtu amepoteza fahamu Kuna mambo muhimu yanapaswa kuangaliwa kwa makini kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Je, utamsaidia vipi mtu aliyeumwa na nyuki?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na kumsaidia mwenye aliyeumwa na nyuki.nyuki na wadudu ambao wakikushambulia Sana na ukikosa msaada unaweza kufa au kuwa katika Hali mbaya. Soma Zaidi...

Chakula cha minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya minyoo Soma Zaidi...

Dalili za mtoto Mwenye UTI
Posti hii inahusu zaidi dalili za mtoto Mwenye UTI,ni dalili ambazo uwapata watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano. Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa wa misuli kuwa dhaifu.
hali ambayo misuli unayotumia kwa hotuba ni dhaifu au unapata shida kuidhibiti mara nyingi inaonyeshwa na usemi wa kufifia au polepole ambao unaweza kuwa mgumu kuelewa. Sababu za kawaida za Ugonjwa huu ni pamoja na matatizo ya mfumo wa neva (neurolojia) kama vile kiharusi, jeraha la ubongo, uvimbe wa ubongo, na hali zinazosababisha ulemavu wa uso au udhaifu wa ulimi au koo. Dawa fulani pia zinaweza kusababisha dysarthria. Soma Zaidi...

Ujue Ugonjwa wa homa ya ini yenye sumu.
Homa ya ini yenye sumu'ni kuvimba kwa ini lako kutokana na kuathiriwa na vitu fulani ambavyo umeathiriwa navyo. Homa ya ini yenye sumu'inaweza kusababishwa na pombe, kemikali, dawa za kulevya au viongeza vya lishe. Soma Zaidi...

Dalili za mtu aliyekula chakula chenye sumu
Post hii inahusu zaidi mtu aliyekula chakula chenye sumu, chakula chenye sumu ni chakula ambacho kikitumiwa na mtu yeyote kinaweza kuleta madhara kwenye mwili wa binadamu hata kifo. Soma Zaidi...

Ndugu mke Wang viungo vina mlegea miguu inamuaka moto nn tatozo
Je unasumbuliwa na tatizo la kukosa nguvu, kuchoka ama kuhisi viungi vinelegea. Endelea na post hii. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa kuungua Mdomo (mouth burning syndrome)
Ugonjwa wa mdomo unaoungua'ni neno la kimatibabu kwa ajili ya kuwaka moto mara kwa mara mdomoni bila sababu dhahiri. Usumbufu huo unaweza kuathiri ulimi wako, ufizi, midomo, ndani ya mashavu yako, paa la mdomo wako au maeneo yaliyoenea ya mdomo wako wote. Ugonjwa wa mdomo unaoungua'hutokea ghafla na unaweza kuwa mbaya. Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa UTI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ugonjwa wa UTI Soma Zaidi...

Msaada kwa wenye Maambukizi kwenye mifupa
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwahudumia wenye Maambukizi kwenye mifupa, ni njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuwasaidia wenye Maambukizi kwenye mifupa. Soma Zaidi...