image

Magonjwa madogo madogo kwa Mama wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi magonjwa madogo madogo kwa akina Mama wajawazito, ni magonjwa ambayo hayawezi kupelekea kupoteza maisha kwa Mama mjamzito, magonjwa haya upotea ikiwa Mama atajifungua.

Magonjwa madogo madogo kwa Mama wajawazito.

1. Kizungu Zungu na kutapika.

Ni mojawapo ya magonjwa kwa mama wajawazito ambayo hayawezi kupoteza maisha ya mama kwa hiyo hali huu umpata Mama akiwa na wiki nne mpaka kumi na sita, hasa hasa hali hiii utokea wakati wa asubuhi kwa akina Mama wengi na kwa wengine utokea mda wote, hali hii usababishwa na homoni za mimba ambazo ni progesterone, oestrogen na chorionic gonadotropin .

 

2. Na kwa wakati mwingine harufu ya chakula usababisha mama kubwa na kichefuchefu na kutapika kwa hiyo  wauguzi na wataalam wa afya wanapaswa  kuongea na Mama ili kuona hali huu ni ya kawaida kabisa na akina Mama wanapaswa kuambiwa ukweli kabisa na kuepuka woga usio na Maana kuhusu hali hii ya kuhisi kichefuchefu na kutapika.

 

3. Kuhisi maumivu kwenye kiuno na kwenye mgongo, hali huu uwapata akina Mama wakati wa ujauzito kwa sababu ya uzito wa mtoto anapoongezeka na anapobadilika mkao kwa hiyo Mama uhisi maumivu na pengine miguu kufa ganzi  kwa hiyo Mama anapaswa kufanya mazoezi, kunyoosha miguu kwa sentimita ishilini na tano, pia anaweza kutumia dawa ya vitamini B complex na calcium na pia Mazoezi ni lazima kwa kina Mama wajawazito.

 

4. Pia Mama wajawazito huwa wanakojoa mara kwa mara kwa sababu kibofu cha mkojo na uterus vimekaribiana sana kwa hiyo mtoto anakandamiza kibofu cha mkojo na kila mkojo unaoingia kwenye kibofu utolewa mara moja kwa hiyo Mama uonekane anakojoa Mara kwa Mara, pia kwa sababu ya mabadiliko ya kimwili kwa Mama mjamzito pengine uhisi kiu na kunywa maji mengi na baadae kuokoa sana, kwa hiyo wajawazito wanapaswa kuelewa kubwa huu si ugonjwa ila ni hali inayotokea na baadae ulisha baada ya kujifungua.

 

5. Na pia wajawazito wana hali ya kusikia ganzi kwenye mikono na vidole na pia kusikia vitu vinachoma kama vile pini na sindano huu ni kwa sababu ya maji maji ambayo kwenye nevu kwa hiyo Mama anapaswa kuweka mikono yake kwenye mito na kuvaa nguo raini wakati wa usiku, hali huu kwa wajawazito ni kawaida na wasiogope na uisha tu baada ya kujifungua, na wakati mwingine wajawazito ushindwa kutulia kwa sababu ya kukua kila siku kwa mtoto aliyeko tumboni.

 

6.Kuongezeka kwa kiasi au spidi ya damu kwenye uterus usababisha mtoto kutembea sana  ambapo hali hii usababisha mama kulala sana na kuwahi kusinzia mapema wakati wa jioni, pia Mama  kwa wakati mwingine uhisi wasiwasi pindi anapofikilia kujifungua kwa wakati huu Mama uhitaji mda mwingi wa kupata ushauri na kufarijiwa kuona kubwa ni hali ya kawaida. Kubadilika kwa homoni pia usababisha Mama kuwa mzito na kupata mawazo mengi sana. Kwa hiyo wauguzi wanapaswa kumwambia Mama kubwa akijifungua hali utapotea tu.

 

7. Tunaona wazi kuwa akina Mama wakati wa ujauzito kuna mabadiliko mengi ambayo utokea kwa hiyo jamii inayowazunguka kuanzia kwa mme, watoto, ndugu na jamii kwa ujumla kuwavumilia wajawazito na kuwapa ushirikiano wa hali na mali kuna pengine wahisi kukwazika waone kuwa ni hali ya kawaida ambayo ujitokeza na kuanza kuwaonyesha upendo kuwadhamini na kuwaelewa kwa kipindi chote cha ujauzito kwa hiyo kwa wale wanaowatesa wahawazito na kuonyesha kuwa maudhi yanayotokea kwao ni kuwa wanajifanyisha wapigwe marufuku na wapewe elimu kuhusu wajawazito wakati wa ujauzito.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1628


Sponsored links
πŸ‘‰1 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰2 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰3 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Mimi nilipima na kipimo mwenyewe nkakuta mistari miwili iliokoza lkn nikifanya tendo nakua naumia sana tatizo ni Nini docta
Je anapatwa maumivu 😭 makali wakati wa tendo la ndoa ama ukiwa katika hedhi? Soma makala hii hadi mwisho Soma Zaidi...

Maumivu wakati wa tendo la ndoa na baada
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu wakati wa tendo la ndoa na baada Soma Zaidi...

Mwezi juzi niliingia tarhe 21 ila mwez uloisha nmeingia tarh 25 maana mzunguko wangu umekuwa mrefu nikahs naujauzito kumbe mzunguko umebadilika hapo tatz n nn
Posti hii utakwenda kutoa sababu kuu za kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi. Kama na wewe numiongini mwaka endelea kusoma Soma Zaidi...

Uchunguzi wa Nimonia kwa mtoto na Tiba
Posti hii inahusu namna unavyoweza kumtambua mtoto mwenye Ugonjwa wa Nimonia na tiba anayopaswa kupata mtoto mwenye Nimonia Soma Zaidi...

Dalili za kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroid)
Post hii inaenda kufundisha kuhusiana na uvimbe wa kizazi kwa wanawake. Uvimbe wa kizazi no uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao unaweza kuwa ndan ya kizazi uvimbe huu ndan ya mwanamke hujulikana kama (uterine myoma au fibroid). Uvi Soma Zaidi...

Zijue Athari za kuweka vitu ukeni.
Posti hii inahusu zaidi athari za kuweka vitu ukeni, tunajua kwa wakati huu kadri ya kukua kwa sayansi na teknolojia watu wanaendelea kugundua mbinu mbalimbali ili waweze kuwafurahisha wapenzi wao wakati wa kufanya tendo la ndoa. Soma Zaidi...

Dalili za maumivu ya hedhi
Maumivu ya hedhi (dysmenorrhea) ni maumivu makali au ya kubana sehemu ya chini ya tumbo. Wanawake wengi hupatwa na Maumivu ya hedhi kabla tu na wakati wa hedhi zao. Kwa wanawake wengine, usumbufu huo ni wa kuudhi tu. Kwa wengine,  Soma Zaidi...

Imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba
Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba. Soma Zaidi...

Nini husababisha mtoto kukosa maji kabla ya kuzaliwa?
inaweza kutokea kuwa mtoto aliye tumboni akaishiwa maji hata kabla ya kuzaliwa. yes hali hii huweza kuwapata baadhiya watoto. Soma Zaidi...

Faida za uzazi wa mpango kwa watu wenye ugonjwa wa Ukimwi
Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, ni faida wanazozipata waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi. Soma Zaidi...

mambo ambayo utaulizwa mama mjamzito ukifika kituo cha afya unatakiwa utoe majibu sahihi.
Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo Mama mjamzito anaweza kuulizwa pindi anapokuja kwenye kliniki ya uzazi ,ni mambo muhimu na ya lazima yanayopaswa kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kuona maendeleo yake kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Sababu za kuharibika kwa ujauzito na dalili zake
Dalili za kuharibika kwa ujauzito na dalili za kuharibika kwa ujauzo Soma Zaidi...